Elections 2015 Rais Jakaya Kiwete ashitakiwa Mahakama ya Kimataifa ya ICC

Elections 2015 Rais Jakaya Kiwete ashitakiwa Mahakama ya Kimataifa ya ICC

Mallya naye....Kila siku kesi tu...

Hivi ile kesi ya kumshitaki Magufuli kutumia 'M4C' iliishia wapi?
 
Nimefurahi.Huu ni mwanzo mzuri.Well done UKAWA.
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kimemshitaki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete. Anaandika Josephat Isango.

Akizungumza na waandishi wa habari mapema leo mchana ukumbi wa Kisenga uliopo Millenium Tower, wakili wa Chadema, John Mallya amesema Kikwete ameshitakiwa Umoja wa Mataifa, Umoja wa Afrika na Mahakama ya kihalifu Uholanzi kwa sababu anatumia madaraka yake vibaya kutisha wananchi kuelekea uchaguzi mkuu.

Mallya alisema kuwa Mashitaka hayo yameelekezwa Umoja wa Mataifa lakini pia nakala za tuhuma dhidi ya Kikwete zimepelekwa pia Umoja wa Afrika (AU) na Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu wa kivita iliyopo The Hegue Uholanzi.

Kwa mujibu wa wakili huyo wa Chadema, barua hiyo ya tuhuma dhidi ya Kikwete imesainiwa na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Prof. Abdallah Safari.

Mashataka haya yanakuja ikiwa ni miezi miwili tangu Rais Kikwete kuilamu Mahakama hiyo ya kihalifu kwa kusema kuwa viongozi wa Afrika hawafurahii kwa namna ambavyo mahakama hiyo inavyofanya kazi zake kwa kuwashughulikia zaidi viongozi wa mataifa ya Afrika.

Kauli hiyo ya Rais Kikwete aliitoa jijini Dar es Salaam wakati akifungua mkutano wa 16 wa Umoja wa Wanasheria wa Jumuiya ya Maendeleo ya Uchumi Kusini mwa Afrika-SADC,

Hiyo ilikuwa ni siku tu moja baada ya ICC kueleza kwamba inafuatilia mwenendo wa uchaguzi nchini Tanzania.

Mwendesha Mashtaka Mkuu wa ICC, Fatou Bensouda, alikaririwa na vyombo vya habari vya Aljazeera na Gambia Today akisema kuwa Mahakama hiyo inatazama kwa umakini mkubwa yanayotokea Tanzania kuelekea Uchaguzi Mkuu kama ilivyofanya katika nchi za Kenya, Ivory Coast na Congo na kwamba itachukua hatua za haraka kama kutakuwa na uvunjaji wa haki za binadamu.

Kauli hiyo ya Bensouda ilitanguliwa na ile iliyotolewa na mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa.

Lowassa alilazimika kusema hayo katika ziara ya kutafuta wadhamini katika mikoa ya Arusha na Mwanza, Lowassa akilitahadharisha Jeshi la Polisi juu ya uwepo wa Mahakama ya ICC kutokana na kitendo chake cha kutumia nguvu dhidi ya wapinzani kwa kuupiga mabomu msafara wake.
 
sifa ya kuwa shabiki wa chadema uwe na akili ya kiwendawazimu.
hizo ni dalili za kushindwa uchaguzi hakuna hoja naona wanataka kubadilisha cd baada ya kushindwa miaka yote chadema ni waleta fujo
 
safi sana tunaunga mkono mashtaka 'apelekwe akajibu vitisho alivyotoa sisi wananchi ametunyima haki yetu na amani ya kufanya maamuzi sahihi yasiyo ingiliwa na vitisho.
 
watanzania wengi ni wajinga wa kutupa.... eti tunaanza kushtakiana nje ya nchi si ujinga kabisa huu... hata wao ICC wanatushangaa kwa kweli...

mfia maji haachi kutapatapa

Sasa yeye vitisho anavyotoa ni vya nini?ICC ndio inawaweza hawa akina nkulunzinza
 
ICC sio solution ya matatizo ya ndani ya nchi, leo Kenya walichinjana baadae wakina Uhuru walipelekwa ICC lkn leo wamerudi wanaendelea na kazi. Vp wale waliokufa au kuumia kutokana na machafuko hayo nini wamepata au familia zao wamepata nini? Tambua nchi iliamua kujiunga kwa hiyari hivyo hivyo inaweza ikiamua kujitoa hakuna sehemu inaweza kulazimishwa mf. South Africa imeamua kujitoa pia Sudan, vp Omar Bashir sio tena Rais? Huyo anaendelea, Mallya usipotoshe watu wakapata madhara kwa kuwajengea kiburi wasiheshimu sheria za nchi husika.
Serikali inayo wajibu kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na haki pia Rais anaweza kutangaza hali ya hatari au kutoa amri itakayopelekea kurestore order, ndio maana vyombo vya ulinzi vina uwezo wa kutumia nguvu pale inapostahili. Acheni upotoshaji ICC haipo kwa ajili ya Watu walishindwa kufuata taratibu na sheria ya nchi husika. Haki yako ni kupiga kura kisha waachie mawakala na waangalizi wafanye kazi yao watakapomaliza matokeo yatabandikwa kituoni hivyo ni haki yako kuja kuyaona. Mipango yenu mibaya ambayo mnaipanga mkitaka kutumia "mob justice" kama cover ya kufanya uhalifu Serikali inaijua yote ndio maana imetoa agizo hilo ili wale wanaotaka kuleta fujo watambulike na wachukuliwe sheria stahiki. Hakuna haja ya kuwaletea wengine matatizo nenda mwenyewe ili ukileta fujo utambulike kweupe usipate utetezi kuwa ulifuata mkumbo.
Amani ya Tanzania kwanza, mengine baadae Mungu Ibariki Tanzania
 
Sasa yeye vitisho anavyotoa ni vya nini?ICC ndio inawaweza hawa akina nkulunzinza

hata hao wawndesha mashtaka wa ICC wawe wajinga kiasi gani hawawezi kumtuhumu JK kwa hilo labda afanye kosa jingine.

kwani tanzania hakuna mahakama.... mbona watz mnajivua nguo wenyewe..!
 
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kimemshitaki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete. Anaandika Josephat Isango.

Akizungumza na waandishi wa habari mapema leo mchana ukumbi wa Kisenga uliopo Millenium Tower, wakili wa Chadema, John Mallya amesema Kikwete ameshitakiwa Umoja wa Mataifa, Umoja wa Afrika na Mahakama ya kihalifu Uholanzi kwa sababu anatumia madaraka yake vibaya kutisha wananchi kuelekea uchaguzi mkuu.

Mallya alisema kuwa Mashitaka hayo yameelekezwa Umoja wa Mataifa lakini pia nakala za tuhuma dhidi ya Kikwete zimepelekwa pia Umoja wa Afrika (AU) na Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu wa kivita iliyopo The Hegue Uholanzi.

Kwa mujibu wa wakili huyo wa Chadema, barua hiyo ya tuhuma dhidi ya Kikwete imesainiwa na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Prof. Abdallah Safari.

Mashataka haya yanakuja ikiwa ni miezi miwili tangu Rais Kikwete kuilamu Mahakama hiyo ya kihalifu kwa kusema kuwa viongozi wa Afrika hawafurahii kwa namna ambavyo mahakama hiyo inavyofanya kazi zake kwa kuwashughulikia zaidi viongozi wa mataifa ya Afrika.

Kauli hiyo ya Rais Kikwete aliitoa jijini Dar es Salaam wakati akifungua mkutano wa 16 wa Umoja wa Wanasheria wa Jumuiya ya Maendeleo ya Uchumi Kusini mwa Afrika-SADC,

Hiyo ilikuwa ni siku tu moja baada ya ICC kueleza kwamba inafuatilia mwenendo wa uchaguzi nchini Tanzania.

Mwendesha Mashtaka Mkuu wa ICC, Fatou Bensouda, alikaririwa na vyombo vya habari vya Aljazeera na Gambia Today akisema kuwa Mahakama hiyo inatazama kwa umakini mkubwa yanayotokea Tanzania kuelekea Uchaguzi Mkuu kama ilivyofanya katika nchi za Kenya, Ivory Coast na Congo na kwamba itachukua hatua za haraka kama kutakuwa na uvunjaji wa haki za binadamu.

Kauli hiyo ya Bensouda ilitanguliwa na ile iliyotolewa na mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa.

Lowassa alilazimika kusema hayo katika ziara ya kutafuta wadhamini katika mikoa ya Arusha na Mwanza, Lowassa akilitahadharisha Jeshi la Polisi juu ya uwepo wa Mahakama ya ICC kutokana na kitendo chake cha kutumia nguvu dhidi ya wapinzani kwa kuupiga mabomu msafara wake.

Kwa mataifa ya nje wanaweza muona kikwete km kiongozi alieiongoza Tz kwa weledi mkubwa,lkn kw upande wa wananchi wngi wa Tz kikwete amekuwa mwiba unaowachoma ndg zake watz.

Yako mambo mengi maovu yaliyofanywa eidha kwa amri yake au watendaji wake aliowajaza jeuri ya kufanya maovu hayo.

Mf.ktk kipindi chake tu matukio ya ukiukwaji wa haki za binadamu yaliongezeka Mara dufu hii ni kwa mujibu wa shirika la haki za binadamu

1.watu kupigwa wakati wakidai haki zao,eidha kwa maandamano au ktk vymbo vya hbr
2.mauwaji ya vikongwe na albino na kikwete hakuwahi fanya juhudi zzte kuwanusuru wala kukamatwa kwa wahusika zaidi ya kubambikizia watu kesi

Yako mengi mnaweza endelea Kutaja na mengine.


Wazungu huwa wakiwaangalia CDM na CUF wanawadharau sana alianza Seif kuwaambia wazuie misaada kwa Zanzibar akafanikiwa mwanzo lakini badae wakamdharau.

Sasa wameanza ujinga mwingine ICC haushitaki wewe CDM, Demokrasia hii imewalevya mnaropoka bila kufikiri mnatuaibisha

Mmeshindwa tayari, Kampeni zenyewe mnafanya za ujanja ujanja makao makuu ya mikoa na baadhi ya Wilaya hamjafika kabisa mtawezaje kushinda.


Mnatengeneza Mafuriko kuvuta Hisia za Watu hizi ni Kampeni za kizamani Sana, Ruanda Nzovwe Mbeya ni Uwanja mdogo sana kusema ni Historia imevunjwa

Aibu yenu.
 
Kweli naamin chadema hamna uwezo wa kuongoza nchi. Hivi kwann viongoz wenu hawaachi kulalamika?

Lakn acha tusubir tuone
 
Ni punguani pekee ndo anaweza asijue REPUTATION YA JK KIMATAIFA, jipeni moyo mazoba! Nadhani kuna midudu ya kiyahudi Tanzania isiyojua hata majukumu ya ICC
 
hata hao wawndesha mashtaka wa ICC wawe wajinga kiasi gani hawawezi kumtuhumu JK kwa hilo labda afanye kosa jingine.

kwani tanzania hakuna mahakama.... mbona watz mnajivua nguo wenyewe..!

Wewe mbumbumbu kweli, mahakama ya kumshtaki rais mwenye kinga?
 
Kunawatu mule chadema akili zao ziko mgongoni kama za panzi.
 
ICC sio solution ya matatizo ya ndani ya nchi, leo Kenya walichinjana baadae wakina Uhuru walipelekwa ICC lkn leo wamerudi wanaendelea na kazi. Vp wale waliokufa au kuumia kutokana na machafuko hayo nini wamepata au familia zao wamepata nini? Tambua nchi iliamua kujiunga kwa hiyari hivyo hivyo inaweza ikiamua kujitoa hakuna sehemu inaweza kulazimishwa mf. South Africa imeamua kujitoa pia Sudan, vp Omar Bashir sio tena Rais? Huyo anaendelea, Mallya usipotoshe watu wakapata madhara kwa kuwajengea kiburi wasiheshimu sheria za nchi husika.
Serikali inayo wajibu kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na haki pia Rais anaweza kutangaza hali ya hatari au kutoa amri itakayopelekea kurestore order, ndio maana vyombo vya ulinzi vina uwezo wa kutumia nguvu pale inapostahili. Acheni upotoshaji ICC haipo kwa ajili ya Watu walishindwa kufuata taratibu na sheria ya nchi husika. Haki yako ni kupiga kura kisha waachie mawakala na waangalizi wafanye kazi yao watakapomaliza matokeo yatabandikwa kituoni hivyo ni haki yako kuja kuyaona. Mipango yenu mibaya ambayo mnaipanga mkitaka kutumia "mob justice" kama cover ya kufanya uhalifu Serikali inaijua yote ndio maana imetoa agizo hilo ili wale wanaotaka kuleta fujo watambulike na wachukuliwe sheria stahiki. Hakuna haja ya kuwaletea wengine matatizo nenda mwenyewe ili ukileta fujo utambulike kweupe usipate utetezi kuwa ulifuata mkumbo.
Amani ya Tanzania kwanza, mengine baadae Mungu Ibariki Tanzania

ubarikiwe mkuu. Umeongea mema yote mwenye maskio na asikie lakn na mpumbavu acha aendelee na upumbavu.
 
Wewe mbumbumbu kweli, mahakama ya kumshtaki rais mwenye kinga?

we nawe ndio walewale akili kama za huyo mallya... subiri uone kama mtafanikiwa...

hakunq mtu wa kusapoti huo ujinga aisee yaani viongozi wa cdm ni kulalamika kila kukicha kila jambo mnahisi mnaonewa sasa imekuwa kero hizo ni dalili za kushindwa.
 
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kimemshitaki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete. Anaandika Josephat Isango.

Akizungumza na waandishi wa habari mapema leo mchana ukumbi wa Kisenga uliopo Millenium Tower, wakili wa Chadema, John Mallya amesema Kikwete ameshitakiwa Umoja wa Mataifa, Umoja wa Afrika na Mahakama ya kihalifu Uholanzi kwa sababu anatumia madaraka yake vibaya kutisha wananchi kuelekea uchaguzi mkuu.

Mallya alisema kuwa Mashitaka hayo yameelekezwa Umoja wa Mataifa lakini pia nakala za tuhuma dhidi ya Kikwete zimepelekwa pia Umoja wa Afrika (AU) na Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu wa kivita iliyopo The Hegue Uholanzi.

Kwa mujibu wa wakili huyo wa Chadema, barua hiyo ya tuhuma dhidi ya Kikwete imesainiwa na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Prof. Abdallah Safari.

Mashataka haya yanakuja ikiwa ni miezi miwili tangu Rais Kikwete kuilamu Mahakama hiyo ya kihalifu kwa kusema kuwa viongozi wa Afrika hawafurahii kwa namna ambavyo mahakama hiyo inavyofanya kazi zake kwa kuwashughulikia zaidi viongozi wa mataifa ya Afrika.

Kauli hiyo ya Rais Kikwete aliitoa jijini Dar es Salaam wakati akifungua mkutano wa 16 wa Umoja wa Wanasheria wa Jumuiya ya Maendeleo ya Uchumi Kusini mwa Afrika-SADC,

Hiyo ilikuwa ni siku tu moja baada ya ICC kueleza kwamba inafuatilia mwenendo wa uchaguzi nchini Tanzania.

Mwendesha Mashtaka Mkuu wa ICC, Fatou Bensouda, alikaririwa na vyombo vya habari vya Aljazeera na Gambia Today akisema kuwa Mahakama hiyo inatazama kwa umakini mkubwa yanayotokea Tanzania kuelekea Uchaguzi Mkuu kama ilivyofanya katika nchi za Kenya, Ivory Coast na Congo na kwamba itachukua hatua za haraka kama kutakuwa na uvunjaji wa haki za binadamu.

Kauli hiyo ya Bensouda ilitanguliwa na ile iliyotolewa na mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa.

Lowassa alilazimika kusema hayo katika ziara ya kutafuta wadhamini katika mikoa ya Arusha na Mwanza, Lowassa akilitahadharisha Jeshi la Polisi juu ya uwepo wa Mahakama ya ICC kutokana na kitendo chake cha kutumia nguvu dhidi ya wapinzani kwa kuupiga mabomu msafara wake.

Hivi JK angekuwa kama Paul Kagame ingekuaje? da ama kweli Tanzania inaonekana tuna hamu sana ya kupata kiongozi dikteta
 
ICC sio solution ya matatizo ya ndani ya nchi, leo Kenya walichinjana baadae wakina Uhuru walipelekwa ICC lkn leo wamerudi wanaendelea na kazi. Vp wale waliokufa au kuumia kutokana na machafuko hayo nini wamepata au familia zao wamepata nini? Tambua nchi iliamua kujiunga kwa hiyari hivyo hivyo inaweza ikiamua kujitoa hakuna sehemu inaweza kulazimishwa mf. South Africa imeamua kujitoa pia Sudan, vp Omar Bashir sio tena Rais? Huyo anaendelea, Mallya usipotoshe watu wakapata madhara kwa kuwajengea kiburi wasiheshimu sheria za nchi husika.
Serikali inayo wajibu kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na haki pia Rais anaweza kutangaza hali ya hatari au kutoa amri itakayopelekea kurestore order, ndio maana vyombo vya ulinzi vina uwezo wa kutumia nguvu pale inapostahili. Acheni upotoshaji ICC haipo kwa ajili ya Watu walishindwa kufuata taratibu na sheria ya nchi husika. Haki yako ni kupiga kura kisha waachie mawakala na waangalizi wafanye kazi yao watakapomaliza matokeo yatabandikwa kituoni hivyo ni haki yako kuja kuyaona. Mipango yenu mibaya ambayo mnaipanga mkitaka kutumia "mob justice" kama cover ya kufanya uhalifu Serikali inaijua yote ndio maana imetoa agizo hilo ili wale wanaotaka kuleta fujo watambulike na wachukuliwe sheria stahiki. Hakuna haja ya kuwaletea wengine matatizo nenda mwenyewe ili ukileta fujo utambulike kweupe usipate utetezi kuwa ulifuata mkumbo.
Amani ya Tanzania kwanza, mengine baadae Mungu Ibariki Tanzania

Kwa sisi wenye akili tunajua chadema wanafanya siasa za kihuni tu.
 
Back
Top Bottom