mdetichia
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 5,292
- 2,170
Mnaichezea amani kwenye tundu la choo?
Haki huinua Taifa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnaichezea amani kwenye tundu la choo?
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kimemshitaki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete. Anaandika Josephat Isango.
Akizungumza na waandishi wa habari mapema leo mchana ukumbi wa Kisenga uliopo Millenium Tower, wakili wa Chadema, John Mallya amesema Kikwete ameshitakiwa Umoja wa Mataifa, Umoja wa Afrika na Mahakama ya kihalifu Uholanzi kwa sababu anatumia madaraka yake vibaya kutisha wananchi kuelekea uchaguzi mkuu.
Mallya alisema kuwa Mashitaka hayo yameelekezwa Umoja wa Mataifa lakini pia nakala za tuhuma dhidi ya Kikwete zimepelekwa pia Umoja wa Afrika (AU) na Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu wa kivita iliyopo The Hegue Uholanzi.
Kwa mujibu wa wakili huyo wa Chadema, barua hiyo ya tuhuma dhidi ya Kikwete imesainiwa na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Prof. Abdallah Safari.
Mashataka haya yanakuja ikiwa ni miezi miwili tangu Rais Kikwete kuilamu Mahakama hiyo ya kihalifu kwa kusema kuwa viongozi wa Afrika hawafurahii kwa namna ambavyo mahakama hiyo inavyofanya kazi zake kwa kuwashughulikia zaidi viongozi wa mataifa ya Afrika.
Kauli hiyo ya Rais Kikwete aliitoa jijini Dar es Salaam wakati akifungua mkutano wa 16 wa Umoja wa Wanasheria wa Jumuiya ya Maendeleo ya Uchumi Kusini mwa Afrika-SADC,
Hiyo ilikuwa ni siku tu moja baada ya ICC kueleza kwamba inafuatilia mwenendo wa uchaguzi nchini Tanzania.
Mwendesha Mashtaka Mkuu wa ICC, Fatou Bensouda, alikaririwa na vyombo vya habari vya Aljazeera na Gambia Today akisema kuwa Mahakama hiyo inatazama kwa umakini mkubwa yanayotokea Tanzania kuelekea Uchaguzi Mkuu kama ilivyofanya katika nchi za Kenya, Ivory Coast na Congo na kwamba itachukua hatua za haraka kama kutakuwa na uvunjaji wa haki za binadamu.
Kauli hiyo ya Bensouda ilitanguliwa na ile iliyotolewa na mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa.
Lowassa alilazimika kusema hayo katika ziara ya kutafuta wadhamini katika mikoa ya Arusha na Mwanza, Lowassa akilitahadharisha Jeshi la Polisi juu ya uwepo wa Mahakama ya ICC kutokana na kitendo chake cha kutumia nguvu dhidi ya wapinzani kwa kuupiga mabomu msafara wake.
watanzania wengi ni wajinga wa kutupa.... eti tunaanza kushtakiana nje ya nchi si ujinga kabisa huu... hata wao ICC wanatushangaa kwa kweli...
mfia maji haachi kutapatapa
Sasa yeye vitisho anavyotoa ni vya nini?ICC ndio inawaweza hawa akina nkulunzinza
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kimemshitaki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete. Anaandika Josephat Isango.
Akizungumza na waandishi wa habari mapema leo mchana ukumbi wa Kisenga uliopo Millenium Tower, wakili wa Chadema, John Mallya amesema Kikwete ameshitakiwa Umoja wa Mataifa, Umoja wa Afrika na Mahakama ya kihalifu Uholanzi kwa sababu anatumia madaraka yake vibaya kutisha wananchi kuelekea uchaguzi mkuu.
Mallya alisema kuwa Mashitaka hayo yameelekezwa Umoja wa Mataifa lakini pia nakala za tuhuma dhidi ya Kikwete zimepelekwa pia Umoja wa Afrika (AU) na Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu wa kivita iliyopo The Hegue Uholanzi.
Kwa mujibu wa wakili huyo wa Chadema, barua hiyo ya tuhuma dhidi ya Kikwete imesainiwa na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Prof. Abdallah Safari.
Mashataka haya yanakuja ikiwa ni miezi miwili tangu Rais Kikwete kuilamu Mahakama hiyo ya kihalifu kwa kusema kuwa viongozi wa Afrika hawafurahii kwa namna ambavyo mahakama hiyo inavyofanya kazi zake kwa kuwashughulikia zaidi viongozi wa mataifa ya Afrika.
Kauli hiyo ya Rais Kikwete aliitoa jijini Dar es Salaam wakati akifungua mkutano wa 16 wa Umoja wa Wanasheria wa Jumuiya ya Maendeleo ya Uchumi Kusini mwa Afrika-SADC,
Hiyo ilikuwa ni siku tu moja baada ya ICC kueleza kwamba inafuatilia mwenendo wa uchaguzi nchini Tanzania.
Mwendesha Mashtaka Mkuu wa ICC, Fatou Bensouda, alikaririwa na vyombo vya habari vya Aljazeera na Gambia Today akisema kuwa Mahakama hiyo inatazama kwa umakini mkubwa yanayotokea Tanzania kuelekea Uchaguzi Mkuu kama ilivyofanya katika nchi za Kenya, Ivory Coast na Congo na kwamba itachukua hatua za haraka kama kutakuwa na uvunjaji wa haki za binadamu.
Kauli hiyo ya Bensouda ilitanguliwa na ile iliyotolewa na mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa.
Lowassa alilazimika kusema hayo katika ziara ya kutafuta wadhamini katika mikoa ya Arusha na Mwanza, Lowassa akilitahadharisha Jeshi la Polisi juu ya uwepo wa Mahakama ya ICC kutokana na kitendo chake cha kutumia nguvu dhidi ya wapinzani kwa kuupiga mabomu msafara wake.
Kwa mataifa ya nje wanaweza muona kikwete km kiongozi alieiongoza Tz kwa weledi mkubwa,lkn kw upande wa wananchi wngi wa Tz kikwete amekuwa mwiba unaowachoma ndg zake watz.
Yako mambo mengi maovu yaliyofanywa eidha kwa amri yake au watendaji wake aliowajaza jeuri ya kufanya maovu hayo.
Mf.ktk kipindi chake tu matukio ya ukiukwaji wa haki za binadamu yaliongezeka Mara dufu hii ni kwa mujibu wa shirika la haki za binadamu
1.watu kupigwa wakati wakidai haki zao,eidha kwa maandamano au ktk vymbo vya hbr
2.mauwaji ya vikongwe na albino na kikwete hakuwahi fanya juhudi zzte kuwanusuru wala kukamatwa kwa wahusika zaidi ya kubambikizia watu kesi
Yako mengi mnaweza endelea Kutaja na mengine.
hata hao wawndesha mashtaka wa ICC wawe wajinga kiasi gani hawawezi kumtuhumu JK kwa hilo labda afanye kosa jingine.
kwani tanzania hakuna mahakama.... mbona watz mnajivua nguo wenyewe..!
Wewe mbumbumbu kweli, mahakama ya kumshtaki rais mwenye kinga?
Wewe mbumbumbu kweli, mahakama ya kumshtaki rais mwenye kinga?
ICC sio solution ya matatizo ya ndani ya nchi, leo Kenya walichinjana baadae wakina Uhuru walipelekwa ICC lkn leo wamerudi wanaendelea na kazi. Vp wale waliokufa au kuumia kutokana na machafuko hayo nini wamepata au familia zao wamepata nini? Tambua nchi iliamua kujiunga kwa hiyari hivyo hivyo inaweza ikiamua kujitoa hakuna sehemu inaweza kulazimishwa mf. South Africa imeamua kujitoa pia Sudan, vp Omar Bashir sio tena Rais? Huyo anaendelea, Mallya usipotoshe watu wakapata madhara kwa kuwajengea kiburi wasiheshimu sheria za nchi husika.
Serikali inayo wajibu kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na haki pia Rais anaweza kutangaza hali ya hatari au kutoa amri itakayopelekea kurestore order, ndio maana vyombo vya ulinzi vina uwezo wa kutumia nguvu pale inapostahili. Acheni upotoshaji ICC haipo kwa ajili ya Watu walishindwa kufuata taratibu na sheria ya nchi husika. Haki yako ni kupiga kura kisha waachie mawakala na waangalizi wafanye kazi yao watakapomaliza matokeo yatabandikwa kituoni hivyo ni haki yako kuja kuyaona. Mipango yenu mibaya ambayo mnaipanga mkitaka kutumia "mob justice" kama cover ya kufanya uhalifu Serikali inaijua yote ndio maana imetoa agizo hilo ili wale wanaotaka kuleta fujo watambulike na wachukuliwe sheria stahiki. Hakuna haja ya kuwaletea wengine matatizo nenda mwenyewe ili ukileta fujo utambulike kweupe usipate utetezi kuwa ulifuata mkumbo.
Amani ya Tanzania kwanza, mengine baadae Mungu Ibariki Tanzania
Wewe mbumbumbu kweli, mahakama ya kumshtaki rais mwenye kinga?
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kimemshitaki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete. Anaandika Josephat Isango.
Akizungumza na waandishi wa habari mapema leo mchana ukumbi wa Kisenga uliopo Millenium Tower, wakili wa Chadema, John Mallya amesema Kikwete ameshitakiwa Umoja wa Mataifa, Umoja wa Afrika na Mahakama ya kihalifu Uholanzi kwa sababu anatumia madaraka yake vibaya kutisha wananchi kuelekea uchaguzi mkuu.
Mallya alisema kuwa Mashitaka hayo yameelekezwa Umoja wa Mataifa lakini pia nakala za tuhuma dhidi ya Kikwete zimepelekwa pia Umoja wa Afrika (AU) na Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu wa kivita iliyopo The Hegue Uholanzi.
Kwa mujibu wa wakili huyo wa Chadema, barua hiyo ya tuhuma dhidi ya Kikwete imesainiwa na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Prof. Abdallah Safari.
Mashataka haya yanakuja ikiwa ni miezi miwili tangu Rais Kikwete kuilamu Mahakama hiyo ya kihalifu kwa kusema kuwa viongozi wa Afrika hawafurahii kwa namna ambavyo mahakama hiyo inavyofanya kazi zake kwa kuwashughulikia zaidi viongozi wa mataifa ya Afrika.
Kauli hiyo ya Rais Kikwete aliitoa jijini Dar es Salaam wakati akifungua mkutano wa 16 wa Umoja wa Wanasheria wa Jumuiya ya Maendeleo ya Uchumi Kusini mwa Afrika-SADC,
Hiyo ilikuwa ni siku tu moja baada ya ICC kueleza kwamba inafuatilia mwenendo wa uchaguzi nchini Tanzania.
Mwendesha Mashtaka Mkuu wa ICC, Fatou Bensouda, alikaririwa na vyombo vya habari vya Aljazeera na Gambia Today akisema kuwa Mahakama hiyo inatazama kwa umakini mkubwa yanayotokea Tanzania kuelekea Uchaguzi Mkuu kama ilivyofanya katika nchi za Kenya, Ivory Coast na Congo na kwamba itachukua hatua za haraka kama kutakuwa na uvunjaji wa haki za binadamu.
Kauli hiyo ya Bensouda ilitanguliwa na ile iliyotolewa na mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa.
Lowassa alilazimika kusema hayo katika ziara ya kutafuta wadhamini katika mikoa ya Arusha na Mwanza, Lowassa akilitahadharisha Jeshi la Polisi juu ya uwepo wa Mahakama ya ICC kutokana na kitendo chake cha kutumia nguvu dhidi ya wapinzani kwa kuupiga mabomu msafara wake.
ICC sio solution ya matatizo ya ndani ya nchi, leo Kenya walichinjana baadae wakina Uhuru walipelekwa ICC lkn leo wamerudi wanaendelea na kazi. Vp wale waliokufa au kuumia kutokana na machafuko hayo nini wamepata au familia zao wamepata nini? Tambua nchi iliamua kujiunga kwa hiyari hivyo hivyo inaweza ikiamua kujitoa hakuna sehemu inaweza kulazimishwa mf. South Africa imeamua kujitoa pia Sudan, vp Omar Bashir sio tena Rais? Huyo anaendelea, Mallya usipotoshe watu wakapata madhara kwa kuwajengea kiburi wasiheshimu sheria za nchi husika.
Serikali inayo wajibu kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na haki pia Rais anaweza kutangaza hali ya hatari au kutoa amri itakayopelekea kurestore order, ndio maana vyombo vya ulinzi vina uwezo wa kutumia nguvu pale inapostahili. Acheni upotoshaji ICC haipo kwa ajili ya Watu walishindwa kufuata taratibu na sheria ya nchi husika. Haki yako ni kupiga kura kisha waachie mawakala na waangalizi wafanye kazi yao watakapomaliza matokeo yatabandikwa kituoni hivyo ni haki yako kuja kuyaona. Mipango yenu mibaya ambayo mnaipanga mkitaka kutumia "mob justice" kama cover ya kufanya uhalifu Serikali inaijua yote ndio maana imetoa agizo hilo ili wale wanaotaka kuleta fujo watambulike na wachukuliwe sheria stahiki. Hakuna haja ya kuwaletea wengine matatizo nenda mwenyewe ili ukileta fujo utambulike kweupe usipate utetezi kuwa ulifuata mkumbo.
Amani ya Tanzania kwanza, mengine baadae Mungu Ibariki Tanzania