hapo kuna malalamiko yoyote. Hawa watu hawana mchezo watamwita uholanzi aanze kula kibano. hawatanii kabisaKweli naamin chadema hamna uwezo wa kuongoza nchi. Hivi kwann viongoz wenu hawaachi kulalamika?
Lakn acha tusubir tuone
Hivi kwa nini ccm mnavimatusi vya reja reja sana. Sababu nini.!?nyie malofa naona mnatumia nguvu nyingi kutafuta visingizio
mnajitoa tu ufahamu
subirini mrudushiwe akili zenu muweze kufikiri na kutafakari....na Magufuli atawanyoosha watu wazembe kama nyinyi
FANYENI KAZI ACHENI UZEMBE
RAIS ANAEKUJA SIO HUYO KILAZA WENU
Code:HAPA KAZI TU DKT MAGUFULI NDO RAIS WETU JMT
Na safari hii watakoma ubishi, na baada ya uchaguzi na vyama vyao vitakuwa vimefika mwisho, hivi wanadhani ICC ni mazuzu au wanadhani pia ICC ni wanasiasa, kwanza Mbowe na Lowasa ndo wanavunja sheria kimsingi ndo wanatakiwa kushitakiwa, wao ndo wanavunja sheria za tume kwa kuwambia vijana wasiondoke vituon baada ya kupiga kura.
Ulaya mawakala wanaaminika sana huwa hawachukui Rushwa, huku Tanzania Membe na wahindi matajiri wamechanga mabilioni huku Membe akitoa yale mapesa ya Marehemu Gadafi kwa ajili ya kazi moja tu kuwanunua mawakala wote wa Ukawa na vyama vingine usifananishe Tanzania na ulaya wala kenya hii Tanzania ina vitabia vya kipekee ndiyo Maana ICC itawakamata watoa kauli pekee si wapiga kura au walinzi wa kura
watanzania wengi ni wajinga wa kutupa.... eti tunaanza kushtakiana nje ya nchi si ujinga kabisa huu... hata wao ICC wanatushangaa kwa kweli...
mfia maji haachi kutapatapa
Hamjawa tayari kupewa dola mkuu,, yaani mawakala wenu wananunulika??? sasa utawala wenu si ndio utakuwa balaa kwa rushwa,, maana wakala ni mtu muhimu sana kwenye uchaguzi, ina maana hivyo vyama vyenu havina wazalendo???
Kwa kosa gani? Tuwekeni wazi Kwani we kipofu huoni polisi wanavyotumika kujaribu mabomu yao kwenye mikutano ya chadema? Tunabambikwa vyesi na kusondekwa ndani. Tunapigwa na kuvamiwa hovyo wewe huoni?
Huko ndio kunaitwa kutapatapa, mtaenda mpaka wapi, lakini nchi hamuipati, kama wapinzani wenyeweni hawa wapya akina mamvi,mr zero. nayule babu asiye meno etc, mjiandae upya 2020!
hapo kuna malalamiko yoyote. Hawa watu hawana mchezo watamwita uholanzi aanze kula kibano. hawatanii kabisa
Ukifanikiwa kusoma malengo makuu ya uwepo wa mahakama hii ya ICC ndo utaelewa nn tunachozungumza
Unaongea km kiongoz wko JK,et mahakama hii tangu kuanzishwa kwake inakandamiza viongozi wa nchi za kiafrika,ww unafikir viongoz wa ulaya na Asia wanaropoka km hao viongoz wenu?ulishawahi ckia nchi zao wakigoma kuondoka madarakani km kina Nkurunzinza?uliwahi ckia wakigombania raslmali za nchi zao wenyewe?uliona kiongoz akivunja katiba ya nchi Yao?
Kuna upuuz mkubwa sana unaofanywa na viongozi wetu wa kiafrika ambao unakinzana na mkataba wa icc,hawajasoma vzr mkataba ule na kuuelewa
Fatue Bensudar Ana kazi ya ziada kwa viongoz wa afrika
Ulaya mawakala wanaaminika sana huwa hawachukui Rushwa, huku Tanzania Membe na wahindi matajiri wamechanga mabilioni huku Membe akitoa yale mapesa ya Marehemu Gadafi kwa ajili ya kazi moja tu kuwanunua mawakala wote wa Ukawa na vyama vingine usifananishe Tanzania na ulaya wala kenya hii Tanzania ina vitabia vya kipekee ndiyo Maana ICC itawakamata watoa kauli pekee si wapiga kura au walinzi wa kura