Rais JK amsaliti mwl Nyerere

Rais JK amsaliti mwl Nyerere

Maoni ya watanzania wangapi? hiyo tume imefikia wananchi wangapi? unajua taratibu za kufanya research? walifanya sampling popoulation gani? kwa kutumia njia gani? siyo unaitisha watu 100 katika ya 100,000 unahoji 20 harafu unasema ni maoni ya watnzania wote.

Naipenda sana Tanzania yangu na wasomi wake. Mara tu baada ya kufundishwa njia za kufanya tafiti, basi kila kitu lazina utasikia sampli ilikuwa na ukubwa gani na je imewakilisha jamii nzima!?

Mimi nafikiri tume iliwafikia watanzania kadhaa kwa kadri ya uwezo wake, muda uliokuwepo na gharama; na katika hao waliofikiwa zaidi ya asilimia 60 walipendekeza serikali tatu.
 
Maccm utayajua tu!
Umetumwa au?
Nyerere ni mtu kama watu wengine!
Anakosea, anakula anakunya!
Mambo ya kusema afutwe kwa yote alielekeza haiwezekani! Nasistiza HAIWEZEKANI!
Mwenyewe serikali ilimshinda na akaamua kumuachia Mwinyi!
 
Back
Top Bottom