rugumye
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 561
- 179
Katiba mpya kurudisha nchi ya Tanganyika ni kukijeri mawazo ya waasisi wa Muungano wazee wetu, Hayati Mwl J.K NYERERE na Hayati ABEID AMAN KARUME. Kwa sababu kama kutakuwa na Tanganyika hakuna JinaTanzania kwa sababu Tanganyika ni muunganiko wa maneno kutoka TANGANYIKA NA ZANZIBAR. Naomba kutofautisha mada ya serikali tatu katika katiba mpya na hii ya jina la Tanganyika. Kwaani hatuwezi kuwa na serikali tatu kwa kuendelea kuwa na majina ya nchi ya sasa? Kwa maoni yangu ziwepo serikali 3 yaani 1. Tanzania visiwani 2. Tanzania Bara na 3. Serikali ya Muungano.
Tuangalie madhara ya kubadiri jina la Tanzania.
1. Tutawachanganya wageni hasa watalii kwaani dunia nzima inatambua nchi
ya Tanzania.
2. Utalii unaweza kushuka kwaani jina la Tanganyika ni jipya.
3. Tunaharibu historia ya nchi yetu –Hasara kwa vizazi vijavyo.
4. Itabidi baadhi ya nyaraka zibadirishwe kama vyeti vya elimu na nk
5. Wapinga Muungano watakuwa wameshinda
6. Uongozi wa CCM awamu ya 4 kushindwa kulinda mchango wa waasisi
wa Muungano.
7. Historia itaandikwa kuwa Rais Kikwete ndiye aliyebadiri jina la
nchi ya Tanzania.
8. Rais Kikwete atakuwa msaliti kwa baba wa taifa.
9. Kuongeza gharama kwa walala hoi kuhudumia vingozi wastaafu.
10. Baadae iwapo ZNZ watapata rais mwingine jeshi linaweza kuwa lisiwe la muungano hivyo kuundwa majeshi ya JWT-Jeshi la wananchi Tanganyika, JWZ-jeshi la wananchi Zanzibar, lkn tukumbuke kuwa kwa sasa wanajeshi wa pande zote mbili yapo ndani ya JWTZ. je wale Wazenj waliomo ndani ya JWTZ watafungasha virago kurudi Zenj? vitega uchumi walivyowekeza bara kama majumba na nk itakuwaje? Viongozi kama maalim Seif mwenye uchu wa urais hataki muungano kwaani anajua ndania ya muungano hawezi kuwa rais wa Zenj. je akipata nafasi ya kuwa rais ataamuaje?
Mifano mingine: Marekani waliungana nchi nyingi zaidi lakini jina la USA linatumika mpaka kesho?
Mwisho: Naomba tuongeze kipengele kwenye katiba cha kuzuia kubadiri jina la nchi.
Tuangalie madhara ya kubadiri jina la Tanzania.
1. Tutawachanganya wageni hasa watalii kwaani dunia nzima inatambua nchi
ya Tanzania.
2. Utalii unaweza kushuka kwaani jina la Tanganyika ni jipya.
3. Tunaharibu historia ya nchi yetu –Hasara kwa vizazi vijavyo.
4. Itabidi baadhi ya nyaraka zibadirishwe kama vyeti vya elimu na nk
5. Wapinga Muungano watakuwa wameshinda
6. Uongozi wa CCM awamu ya 4 kushindwa kulinda mchango wa waasisi
wa Muungano.
7. Historia itaandikwa kuwa Rais Kikwete ndiye aliyebadiri jina la
nchi ya Tanzania.
8. Rais Kikwete atakuwa msaliti kwa baba wa taifa.
9. Kuongeza gharama kwa walala hoi kuhudumia vingozi wastaafu.
10. Baadae iwapo ZNZ watapata rais mwingine jeshi linaweza kuwa lisiwe la muungano hivyo kuundwa majeshi ya JWT-Jeshi la wananchi Tanganyika, JWZ-jeshi la wananchi Zanzibar, lkn tukumbuke kuwa kwa sasa wanajeshi wa pande zote mbili yapo ndani ya JWTZ. je wale Wazenj waliomo ndani ya JWTZ watafungasha virago kurudi Zenj? vitega uchumi walivyowekeza bara kama majumba na nk itakuwaje? Viongozi kama maalim Seif mwenye uchu wa urais hataki muungano kwaani anajua ndania ya muungano hawezi kuwa rais wa Zenj. je akipata nafasi ya kuwa rais ataamuaje?
Mifano mingine: Marekani waliungana nchi nyingi zaidi lakini jina la USA linatumika mpaka kesho?
Mwisho: Naomba tuongeze kipengele kwenye katiba cha kuzuia kubadiri jina la nchi.