Rais Joe Biden kuchunguzwa baada ya kukutwa na Nyaraka za Siri Nyumbani kwake

Rais Joe Biden kuchunguzwa baada ya kukutwa na Nyaraka za Siri Nyumbani kwake

Ingekuwa ajamhuri ya watu wadanganyika chawa wangesema aachie madaraka kwa kwenda kinyume na baba au angepotea au angepata kesi moja matata.
Wewe unapenda demokrasia ya marekani ? Na ungependa taifa lako liwe na hio demokrasia kama ya marekani ?
 
Ones gotta pick a side or die in the middle, bongo ni kama China tu, ubeberu kidogo, ujamaa kidogo, ubepari kidogo, unyang’au kidogo, no wonder we always landing in the midst of nowhere…
Tupo tofauti sana na China sehemu mbalimbali.
 
Wewe unapenda demokrasia ya marekani ? Na ungependa taifa lako liwe na hio demokrasia kama ya marekani ?
Yes kwamba kila kiongozi anaweza kuchukuliwa hatua akizngua hiyo safi sana
 
Aiseee na wangetangaza kabla ya mid term lazima wangeipata.

Trump anachekelea
 
Yes kwamba kila kiongozi anaweza kuchukuliwa hatua akizngua hiyo safi sana
Unadhani kwa jinsi taifa letu lilivyo nyuma kwa kila kitu hiyo demokrasia ya marekani unayo ifagilia itatufaa ?
 
Unadhani kwa jinsi taifa letu lilivyo nyuma kwa kila kitu hiyo demokrasia ya marekani unayo ifagilia itatufaa ?
Itatufaa ili watu waogope kuiba wakijua hakuna wa kuwashitaki. Maana mtu akiwa raisi au waziri au mkuu wa polisi anaweza fanya chochote maana anakuwa juu ya sheria maana hakuna chombo chenye meno ya kumfanya lolote.

Takukuru yenyewe inafanya kazi kwa kuagizwa na waziri, waziri mkuu au raisi bila hivyo haijiamini kuchukua hatua
 
Itatufaa ili watu waogope kuiba wakijua hakuna wa kuwashitaki. Maana mtu akiwa raisi au waziri au mkuu wa polisi anaweza fanya chochote maana anakuwa juu ya sheria maana hakuna chombo chenye meno ya kumfanya lolote. Takukuru yenyewe inafanya kazi kwa kuagizwa na waziri, waziri mkuu au raisi bila hivyo haijiamini kuchukua hatua
Umewahi kujiuliza kwa nini demokrasia iliyopo China ni tofauti na demokrasia iliyopo Marekani ?
 
Umewahi kujiuliza kwa nini demokrasia iliyopo China ni tofauti na demokrasia iliyopo Marekani ?
Yah sana tu. Sasa sisi demokrasia yetu si ya china wala si ya marekani na haijatuletea maendeleo hivyo inabidi tuchague tuwe kama na ya china au tuwe na ya marekani kabisa au tuje na ya kwetu ambayo itatuletea maendeleo kuliko kuendelea kuwa na demokrasia ambayo mfumo wake upo upo tu.
 
Ingekuwa ajamhuri ya watu wadanganyika chawa wangesema aachie madaraka kwa kwenda kinyume na baba au angepotea au angepata kesi moja matata.
Ni kama vile taifa la Marekani haliwa amini wanasiasa wake ?
 
Ni kama vile taifa la Marekani haliwa amini wanasiasa wake ?
Sio kama haliwaamini bali ukizingua unachunguzwa kama ulikosea unawajibishwa hii inawafanya watu wawe responsible kwa matendo yao.

Hapa viongozi wanaweza fanya lolote maana hakuna wa kuwawajibisha. Kila binadamu ana tamaa ila anaogopa kitakachompata akiendekeza tamaa, ukiondoa hilo basi anaweza fanya mambo mengi.

Ni sawa uondoe polisi kusiwe na sheria ndipo utaona jinsi gani tulivyo wanyama.

Check and balance ni muhimu sana kwenye demokrasia.
 
Yah sana tu. Sasa sisi demokrasia yetu si ya china wala si ya marekani na haijatuletea maendeleo hivyo inabidi tuchague tuwe kama na ya china au tuwe na ya marekani kabisa au tuje na ya kwetu ambayo itatuletea maendeleo kuliko kuendelea kuwa na demokrasia ambayo mfumo wake upo upo tu.
Ni vizuri Kama umewahi kujiuliza.

Tunapo chukua uamuzi wa kuingiza demokrasia katika taifa mambo ya msingi tunayo paswa kuzingatia:-
i, Watu/maamuzi ya watu
ii, Tamaduni
iv, Kiwango cha elimu au uelewa cha hiyo jamii kuhusu hilo swala
v, Hali ya kimaisha/ kimaendeleo ya hiyo jamii
vi, Historia ya jamii mahali ilipo toka, ilipo na inapo paswa kwenda

Kuna vitu vingi vya msingi tunavyo paswa kuzingatia kabla ya kuanzisha aina ya demokrasia katika taifa hivyo nilivyo orodhesha ni vichache kati ya vingi, njia ya kucopy aina ya demokrasia inaweza isifanye kazi nchi kwetu labda tujifunze ila sio kucopy.
 
Ni vizuri Kama umewahi kujiuliza.

Tunapo chukua uamuzi wa kuingiza demokrasia katika taifa mambo ya msingi tunayo paswa kuzingatia:-
i, Watu/maamuzi ya watu
ii, Tamaduni
iv, Kiwango cha elimu au uelewa cha hiyo jamii kuhusu hilo swala
v, Hali ya kimaisha/ kimaendeleo ya hiyo jamii
vi, Historia ya jamii mahali ilipo toka, ilipo na inapo paswa kwenda

Kuna vitu vingi vya msingi tunavyo paswa kuzingatia kabla ya kuanzisha aina ya demokrasia katika taifa hivyo nilivyo orodhesha ni vichache kati ya vingi, njia ya kucopy aina ya demokrasia inaweza isifanye kazi nchi kwetu labda tujifunze ila sio kucopy.
Kwa hiyo wewe demokrasia yetu unaona inafaa hata baada ya miaka hiyo yote? Maana hii style yetu ya demokrasia matokeo yake ni goigoi.
Kwanza mimi naona haifai labda tuje na mfumo wetu unaofaa kama gadaffi alivyofanya libya na ni afadhali kama likitushinda tucopy ya US ili na viongozi wawajibike maana ni kama inawanufaisha watawala zaidi kuliko raia.
 
Sio kama haliwaamini bali ukizingua unachunguzwa kama ulikosea unawajibishwa hii inawafanya watu wawe responsible kwa matendo yao.

Hapa viongozi wanaweza fanya lolote maana hakuna wa kuwawajibisha. Kila binadamu ana tamaa ila anaogopa kitakachompata akiendekeza tamaa, ukiondoa hilo basi anaweza fanya mambo mengi.

Ni sawa uondoe polisi kusiwe na sheria ndipo utaona jinsi gani tulivyo wanyama.

Check and balance ni muhimu sana kwenye demokrasia.
Swala la viongozi kuwajibishwa kutokana na makosa yao wala sio shida, shida ni namna mashirika mbalimbali ndani ya U.S.A yanavyo wafuatilia viongozi wake wa serikalini ni kama wamepoteza imani na wao. Ufuatiliaji umekuwa wa kupindukia.
 
Swala la viongozi kuwajibishwa kutokana na makosa yao wala sio shida, shida ni namna mashirika mbalimbali ndani ya U.S.A yanavyo wafuatilia viongozi wake wa serikalini ni kama wamepoteza imani na wao. Ufuatiliaji umekuwa wa kupindukia.
Kama uko clean huna haja ya kuwa na wasiwasi.
Ila hata mimi naona demokrasia ya US kuna jinsi ilivyovurugika toka utokee mvutano kati ya republican na demos. Naona kama kuna kukomeshana fulani
 
Kwa hiyo wewe demokrasia yetu unaona inafaa hata baada ya miaka hiyo yote? Maana hii style yetu ya demokrasia matokeo yake ni goigoi.
Kwanza mimi naona haifai labda tuje na mfumo wetu unaofaa kama gadaffi alivyofanya libya na ni afadhali kama likitushinda tucopy ya US ili na viongozi wawajibike maana ni kama inawanufaisha watawala zaidi kuliko raia.
Siungi mkono kuwa demokrasia yetu inafaa, aina hii ya demokrasia iliyopo hapa nchini ni aina ya demokrasia aliyo anzisha Mwalimu Nyerere alipokuwa ana jenga taifa la kijamaa.

Ubaya ni kuwa mfumo wa kijamaa wa serikali inayo ongozwa na chama kimoja ulianguka toka muda sana hivyo mfumo wa uongozi wa serikali kupitia katiba ulipaswa kubadilika toka muda sana.

Wanacho fanya CCM na serikali kupitia chama kimoja hata China ya kijamaa ya chama kimoja hawafanyi.

Pale tulipo ruhusu mfumo wa vyama vingi ambapo tulikuwa tuna hama toka taifa la kijamaa la chama kimoja tulipaswa pia tubadili katiba iendane na mfumo mpya tulio kuwa tuna uingiza ila hatukufanya hivyo madhara yake ndio haya demokrasia yetu haieleweki kuwa ni ya kileberali au ya kijamaa ?kitu kilicho pelekea mifumo yote kuanguka.

Tunapaswa kujenga mfumo mpya wa kidemokrasia utakao endana na taifa na watu wake kutokana na hali tuliyo nayo taifa kwa sasa hata tutakayo kuwa nayo baadae.
 
Siungi mkono kuwa demokrasia yetu inafaa, aina hii ya demokrasia iliyopo hapa nchini ni aina ya demokrasia aliyo anzisha Mwalimu Nyerere alipokuwa ana jenga taifa la kijamaa.

Ubaya ni kuwa mfumo wa kijamaa wa serikali inayo ongozwa na chama kimoja ulianguka toka muda sana hivyo mfumo wa uongozi wa serikali kupitia katiba ulipaswa kubadilika toka muda sana.

Wanacho fanya CCM na serikali kupitia chama kimoja hata China ya kijamaa ya chama kimoja hawafanyi.

Pale tulipo ruhusu mfumo wa vyama vingi ambapo tulikuwa tuna hama toka taifa la kijamaa la chama kimoja tulipaswa pia tubadili katiba iendane na mfumo mpya tulio kuwa tuna uingiza ila hatukufanya hivyo madhara yake ndio haya demokrasia yetu haieleweki kuwa ni ya kileberali au ya kijamaa ?kitu kilicho pelekea mifumo yote kuanguka.

Tunapaswa kujenga mfumo mpya wa kidemokrasia utakao endana na taifa na watu wake kutokana na hali tuliyo nayo taifa kwa sasa hata tutakayo kuwa nayo baadae.
Naunga mkono hoja
 
Kama uko clean huna haja ya kuwa na wasiwasi.
Ila hata mimi naona demokrasia ya US kuna jinsi ilivyovurugika toka utokee mvutano kati ya republican na demos. Naona kama kuna kukomeshana fulani
Ndicho nilicho kuwa naona sasa ni kama kadiri siku na miaka inavyo kendwa ndivyo demokrasia ya marekani inazidi kuwa demokrasia kichaa.

Hili swala lina wakumba Taiwan sasa baada ya kuvamia muundo wa demokrasia wa magharibi raia wake wana lalamika kuwa ukuaji wa kimaendeleo wa taifa unazidi kufifia tofauti na China mainland namna wanavyo kua kimaendeleo.

Bunge lao limekuwa ulingo wa ngumi na chanzo moja wapo cha kuchelewesha maendeleo, kwa timu za upinzani bungeni kupinga pinga sera na miradi mbalimbali ya kimaendeleo tofauti na China mainland namna inavyo songa mbele.
 
Ndicho nilicho kuwa naona sasa ni kama kadiri siku na miaka inavyo kendwa ndivyo demokrasia ya marekani inazidi kuwa demokrasia kichaa.

Hili swala lina wakumba Taiwan sasa baada ya kuvamia muundo wa demokrasia wa magharibi raia wake wana lalamika kuwa ukuaji wa kimaendeleo wa taifa unazidi kufifia tofauti na China mainland namna wanavyo kua kimaendeleo.

Bunge lao limekuwa ulingo wa ngumi na chanzo moja wapo cha kuchelewesha maendeleo, kwa timu za upinzani bungeni kupinga pinga sera na miradi mbalimbali ya kimaendeleo tofauti na China mainland namna inavyo songa mbele.
Yes hata mimi naona hili pia limeikumba. Maana sasa hivi ni pinga pinga
 
Back
Top Bottom