Ashura9
JF-Expert Member
- Oct 21, 2012
- 740
- 485
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, Joseph Kabila amempa kila mchezaji wa timu ya taifa, gari aina ya Toyota yenye thamani ya dola 60,000, kwa kushinda michuano ya CHAN. Rais Kabila pia aliwapa medali za dhahabu. DRC waliichapa Mali 3-0 jijini Kigali na kuwa timu ya kwanza kushinda michuano hiyo mara mbili.


Image copyright AFP
Image caption DR Congo walilaza Mali 3-0 kwenye fainali
Image caption Kila mchezaji ametunukiwa gari la $60,000
Mwandishi wa BBC Mbelechi Msochi anasema mchezaji Heritier Luvumbu Nzinga aliyeumia kwenye michuano hiyo pia ameahidiwa kwamba atasafirishwa ng'ambo kwa matibabu.
Chanzo: BBC


Image copyright AFP
Image caption DR Congo walilaza Mali 3-0 kwenye fainali
Image caption Kila mchezaji ametunukiwa gari la $60,000
Mwandishi wa BBC Mbelechi Msochi anasema mchezaji Heritier Luvumbu Nzinga aliyeumia kwenye michuano hiyo pia ameahidiwa kwamba atasafirishwa ng'ambo kwa matibabu.
Chanzo: BBC