Rais Kagame 2019 tu alisafiri nje mara 59. Leo safari 9 tu za nje za Rais Samia kelele kila kona. Je, ni Ushamba?

Tanzania ya Samia ni noma,

Umeme bei Chee EAC
Petrol bei Chee EAC
Disel bei Chee EAC
M|taa bei Chee EAC
Data (MB) bei Chee EAC
Maji bei Chee EAC
Uache kusifia sana watakuoa sasa
 
Mbona mnapenda kujilinganisha na Rwanda🇷🇼?
Yaani kila kitu Rwanda, Kagame
 
Hongera sana Rais wetu
 
Huwezi kuifananisha Tz na Rwanda andiko lako limekosa uhalali na uhalisia kuanzia hapo tu
 
TuaChie nchi yetu
 
Kwanini, Mbona WB, AfDB, IMF wanaifanisha na Tanzania na nchi nyinginezo za dunia,
Hajui ni ngumu kumuelewesha, ila mwambia Rwanda wanatengeza magari tayari,
 
😍😍😍
 
Hii ID naona imekuja mpya kwa mkakati maalum wa kumtetea hangaya.
Kila term huwa zinakuja Id mpya kwa ajili ya wakati huo tu.
Probably huwa zinanufaika na utawala wa awamu hiyo.
Wakina kawe alumn na wenzie sahivi wamepotea baada ya mwendazake kwenda zake.
Mkuu hongera ni muda wako wa kula keki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…