Rais Kagame 2019 tu alisafiri nje mara 59. Leo safari 9 tu za nje za Rais Samia kelele kila kona. Je, ni Ushamba?

Rais Kagame 2019 tu alisafiri nje mara 59. Leo safari 9 tu za nje za Rais Samia kelele kila kona. Je, ni Ushamba?

Hii ID naona imekuja mpya kwa mkakati maalum wa kumtetea hangaya.
Kila term huwa zinakuja Id mpya kwa ajili ya wakati huo tu.
Probably huwa zinanufaika na utawala wa awamu hiyo.
Wakina kawe alumn na wenzie sahivi wamepotea baada ya mwendazake kwenda zake.
Mkuu hongera ni muda wako wa kula keki.
CCM hakunaga cha kulipwa ni Uzalendo tu wa watu kwa chama chao,
 
Nikupe faida chache za baadhi ya safari tisa za Rais Samia ,

Alipokwenda Uganda alienda kubatilisha Mkataba wa bomba la mafuta uliokuwa unaendelea baina ya Rais Museni na Rais Uhuru Kenyatta na akafanikiwa kuurudisha mikononi mwetu,

1.Mradi huu wa bomba la mafuta unathamani ya $15BL karibu Tshs 33trl hizi pesa kwa kiasi kikubwa zitawanufaisha Watanzani,

2. Mradi huu utaajiri watu elfu 10

3. Tanzania itapata gawio katika kila pipa la mafuta likalosafirishwa,

HII NI SAFARI MOJA TU YA RAIS SAMIA

_____________________________________
wewe ni mboge la mpumbavu..kwamba bomba la mafuta limerudishwa Tanzania na Samia..kweli?
 
 
Hii ID naona imekuja mpya kwa mkakati maalum wa kumtetea hangaya.
Kila term huwa zinakuja Id mpya kwa ajili ya wakati huo tu.
Probably huwa zinanufaika na utawala wa awamu hiyo.
Wakina kawe alumn na wenzie sahivi wamepotea baada ya mwendazake kwenda zake.
Mkuu hongera ni muda wako wa kula keki.
Daah
 
Nakubaliana na mleta mada, investors wanapopata assurance kutoka kwa namba moja hata confidence ya kuja kuwekeza inakuwa juu.
 
Back
Top Bottom