CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
- Thread starter
-
- #161
Kagame yuko vizuri Sana, Sio mbaya kumtolea mfanoKagame kaiunganishia Rwanda ile biashara ya Arsenal na PSG ya Visit Rwanda. Leo hii Messi anavaa jezi yenye maneno yanayomkaribisha mtu Rwanda.
Kagame ni genious kwa maana halisi. Mama kufanya Royal Tour wajuaji wa Tanzania wakaanza kuchonga midomo kama kawaida yao.
Tanzania kuifananisha na Rwanda kwa vyovyote vile, ni kutuvunjia heshima, na nidharau na kejeli kwa CCM chama tawala toka tupate Uhuru.
Umewahi kukanyaga ardhi ya Rwanda??Tanzania kuifananisha na Rwanda kwa vyovyote vile, ni kutuvunjia heshima, na nidharau na kejeli kwa CCM chama tawala toka tupate Uhuru.
Kagame yupo vizuri kwenye kuitangaza Rwanda. Imefikia kipindi mabaya yote ya Rwanda yamefutika!Kagame yuko vizuri Sana, Sio mbaya kumtolea mfano
Tutafika tuRais Paul Kagame wa Rwanda mwaka 2019 tu alisafiri nje mara 59 | Rais Samia wa Tanzania Safari 9 tu nje Wazalendo kelele kila kona, Je, Ni ushamba, Uzalendo, Wivu au roho Mbaya Tu.
______
Minong'ona inayoendelea juu ya Safari za Rais Samia nje si za kupuuzwa zinahitaji Ufafanuzi zaidi tena kwa mifano halisia,
Hoja za kubishaniwa ni Mbili tu
1. Ziara za Rais zinafuja pesa ya Umma
2. Ziara za Rais zinafungua nchi
Nimekupa jumla ya ziara za rais wa nchi inayopigiwa mfano kwa maendeleo ya kasi zaidi barani Africa iliyoko Africa Mashariki yaani RWANDA
UWEKEZAJI WA NJE RWANDA (FDI)
______________
Tuangalie uwekezaji wa nje FY2018|19
Mwaka 2017|18 Uwekezaji wa nje wa Rwanda yaani FDI ulifikia $ 0.382BL sawa na Tshs 840.2BL
Tuangazie pia uwekezaji Wa nje FY2018|19
• Mwaka 2018|19 Wakati Rais Kagame anaenda nje X59 nchi ya Rwanda ilipokea uwekezaji toka nje ( Foregh Direct Investment -FDI wa $ 0.91BL karibu sawa na Tshs 2trilioni, hii ni sawa na ongezeko la uwekezaji wa nje kwa Tshs 1.2trilioni ambazo ni sawa na 143%,
Inaitwa the more You go the more You get.
||Kagame Safari 59, faida ya Safari ni uwekezaji wa Tshs 1.2trl ,Je Safari ni faida au hasara?! Jibu waambie na wenzako wanaopinga ziara za Rais nje
• Pamoja na CORONA, Mwaka 2018|19 Wakati wawekezaji wakikimbilia kuwekeza kwenye kanchi kenye watu wasiozidi 12M Sisi Tanzania wenye watu zaidi 60m tuliambulia uwekezaji wa nje yaani FDI ya $1.1BL karibu Tshs 2.2trilioni na hawa niwale waliojilita wenyewe tu,
• Nchi yenye ukubwa kama mkoa wa Tabora inapata uwekezaji karibu sawa na Tanzania,Shida ilikuwa nani awafuate wawekezaji, Mwekezaji akifuatwa na Rais wa nchi anakuwa na assurance kubwa kuliko akifuatwa na Waziri,Kwa Ufafanuzi huu wanaopenda kuelewa mtakuwa mmeelewa umuhimu wa ziara za Rais nje ya nchi
• Nimwenye roho ya kimasikini tu ndio anawaza gharama za rais kusafiri nje badala ya kuwaza uwekezaji wa matrilioni na mabilioni tutakaoupata kama matokeo ya ziara za Rais nje,Ukitaka kula lazima uliwe in JK voice
Yule hakutoka ndio maana tulipata kiduchu | Huyu anatoka kama wenzake mwacheni tutapata chochote kitu
Rwanda Development Board registers US$ 1.3 billion worth of investments in 2020 - Official Rwanda Development Board (RDB) Website
The Rwanda Development Board (RDB) registered investments worth US$ 1.3 billion in 2020, a decrease of 47.1% from the previous year. In 2019, RDB registered investments worth US$ 2.46 billion. The decline in investments was attributed to the COVID-19 pandemic that affected the global economy...rdb.rw
View attachment 1945274
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Too theoreticalKagame Alishamwambia Kikwete point blank " KUWA KAMA RWANDA WANGEKUWA NA BANDARI YA DAR ES SALAAM KUSINGEKUWA NA HAJA YA WAO KUHANGAIKA KWENDA NJE KUOMBA MISAADA!" Mkwere Akaona ametukanwa kumbe alikuwa anaambiwa ukweli Kuwa anakalia uchumi wake pale bandarini!
Hata Hangaya anahangaika hovyo kuvaa ngozi eti anavutia watalii; anachotakiwa kufanya ni kuziba mianya ya hao watu wake wanaoiba mabillioni ya shilling huko kwenye malipo ya miradi yenu ya kimkakati!! Kila siku gharama za miradi zinapanda kwa ufisadi [ COST OVERRUNS] wa wasaidizi wake!! Imagine kama kwenye kujenga meli tu wizi ulikuwa hivyo mpaka Hangaya kupagawa,Je huko kwenye bwawa la Nyerere na SGR wizi ni wa kiwango gani?
Put the practical side ,if you think this is too theoretical!!!Too theoretical
Wacha nilale nitaandika kesho utanielewaPut the practical side ,of you think this is too theoretical!!!
Ili mradi usikimbie, kesho uje ujibu!Wacha nilale nitaandika kesho utanielewa
Unayohoja mkuu wanguUmewahi kukanyaga ardhi ya Rwanda??
Kuna timu za Ulaya kila wakivaa jezi wnaitambulisha Rwanda duniani.
Watalii wanaifahamu Rwanda kuliko wanavyoijua Serengeti au Zanzibar.
Kuna mahali hatuko sawa.
Tukome kuijenga ccm.
Tuanze kuijenga nchi yetu!
Kagame wa Nyoko! Antuhusu nini hadi umtolee mfano kwetu? Akili ndogo kama hii ya kwako, unatawaliwa hata na ngiri.Rais Paul Kagame wa Rwanda mwaka 2019 tu alisafiri nje mara 59 | Rais Samia wa Tanzania Safari 9 tu nje Wazalendo kelele kila kona, Je, Ni ushamba, Uzalendo, Wivu au roho Mbaya Tu.
______
Minong'ona inayoendelea juu ya Safari za Rais Samia nje si za kupuuzwa zinahitaji Ufafanuzi zaidi tena kwa mifano halisia,
Hoja za kubishaniwa ni Mbili tu
1. Ziara za Rais zinafuja pesa ya Umma
2. Ziara za Rais zinafungua nchi
Nimekupa jumla ya ziara za rais wa nchi inayopigiwa mfano kwa maendeleo ya kasi zaidi barani Africa iliyoko Africa Mashariki yaani RWANDA
UWEKEZAJI WA NJE RWANDA (FDI)
______________
Tuangalie uwekezaji wa nje FY2018|19
Mwaka 2017|18 Uwekezaji wa nje wa Rwanda yaani FDI ulifikia $ 0.382BL sawa na Tshs 840.2BL
Tuangazie pia uwekezaji Wa nje FY2018|19
• Mwaka 2018|19 Wakati Rais Kagame anaenda nje X59 nchi ya Rwanda ilipokea uwekezaji toka nje ( Foregh Direct Investment -FDI wa $ 0.91BL karibu sawa na Tshs 2trilioni, hii ni sawa na ongezeko la uwekezaji wa nje kwa Tshs 1.2trilioni ambazo ni sawa na 143%,
Inaitwa the more You go the more You get.
||Kagame Safari 59, faida ya Safari ni uwekezaji wa Tshs 1.2trl ,Je Safari ni faida au hasara?! Jibu waambie na wenzako wanaopinga ziara za Rais nje
• Pamoja na CORONA, Mwaka 2018|19 Wakati wawekezaji wakikimbilia kuwekeza kwenye kanchi kenye watu wasiozidi 12M Sisi Tanzania wenye watu zaidi 60m tuliambulia uwekezaji wa nje yaani FDI ya $1.1BL karibu Tshs 2.2trilioni na hawa niwale waliojilita wenyewe tu,
• Nchi yenye ukubwa kama mkoa wa Tabora inapata uwekezaji karibu sawa na Tanzania,Shida ilikuwa nani awafuate wawekezaji, Mwekezaji akifuatwa na Rais wa nchi anakuwa na assurance kubwa kuliko akifuatwa na Waziri,Kwa Ufafanuzi huu wanaopenda kuelewa mtakuwa mmeelewa umuhimu wa ziara za Rais nje ya nchi
• Nimwenye roho ya kimasikini tu ndio anawaza gharama za rais kusafiri nje badala ya kuwaza uwekezaji wa matrilioni na mabilioni tutakaoupata kama matokeo ya ziara za Rais nje,Ukitaka kula lazima uliwe in JK voice
Yule hakutoka ndio maana tulipata kiduchu | Huyu anatoka kama wenzake mwacheni tutapata chochote kitu
Rwanda Development Board registers US$ 1.3 billion worth of investments in 2020 - Official Rwanda Development Board (RDB) Website
The Rwanda Development Board (RDB) registered investments worth US$ 1.3 billion in 2020, a decrease of 47.1% from the previous year. In 2019, RDB registered investments worth US$ 2.46 billion. The decline in investments was attributed to the COVID-19 pandemic that affected the global economy...rdb.rw
View attachment 1945274
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Khaaa, Mkuu robinson crusoe mbona kiivi?Kagame wa Nyoko! Antuhusu nini hadi umtolee mfano kwetu? Akili ndogo kama hii ya kwako, unatawaliwa hata na ngiri.
Nakubaliana na wewe 100%Kama CCM wangemchagua Samia Suluhu kuwa mombea uRais badala ya Magufuli mwaka 2015 basi Tanzania tungekuwa tumeipita Kenya kwa GNP na sasa tunakimbizana na Ethiopia na Morocco kwenye top 10 ya Africa.
Ile miradi ya NHC ya Kawe na Morocco, miradi ya NSSF ya Dege Eco Village, Bandari ya Bagamoyo na Gesi ya Mtwara zingekuwa zimetiki sana. Maana alipoishia Kikwette ndipo Samia angeanzia.
Lakini likikuja popoma la chemistry likajifanya linajuwa kila kitu likakimbilia kukata miti ya Selous Game reserve ili lipate Megawati 2100 za umeme. Likasimamisha miradi yote aliyoanzisha JK.
Very sorry boss! Kuna watu ni kero na hamnazo hadi huelewi kwa nini wanapewa nafasi hata ya kupiga kura. Watu kama hawa ni hatari kwa demokrasia. hawajui bora ni nani.Khaaa, Mkuu robinson crusoe mbona kiivi?
Nchi hii, sehemu kubwa ya bajeti ya serikali, inakwenda CCM. Makatibu wakuu hata hazina yetu inapewa amri na kuchota pesa kurudishwa makao makuu ya CCM. Hilo ndo balaa la nchi.Umewahi kukanyaga ardhi ya Rwanda??
Kuna timu za Ulaya kila wakivaa jezi wnaitambulisha Rwanda duniani.
Watalii wanaifahamu Rwanda kuliko wanavyoijua Serengeti au Zanzibar.
Kuna mahali hatuko sawa.
Tukome kuijenga ccm.
Tuanze kuijenga nchi yetu!
HakikaNafurahi kuona CCM yangu ya Zamani ya hoja inarudi kwa kasi,
Siasa ni hoja kwa hoja,
Awamu hii Chadema mtajua hamjui,
Unao ushahidi?Nchi hii, sehemu kubwa ya bajeti ya serikali, inakwenda CCM. Makatibu wakuu hata hazina yetu inapewa amri na kuchota pesa kurudishwa makao makuu ya CCM. Hilo ndo balaa la nchi.
Chapa kazi MamaRais Paul Kagame wa Rwanda mwaka 2019 tu alisafiri nje mara 59 | Rais Samia wa Tanzania Safari 9 tu nje Wazalendo kelele kila kona, Je, Ni ushamba, Uzalendo, Wivu au roho Mbaya Tu.
______
Minong'ona inayoendelea juu ya Safari za Rais Samia nje si za kupuuzwa zinahitaji Ufafanuzi zaidi tena kwa mifano halisia,
Hoja za kubishaniwa ni Mbili tu
1. Ziara za Rais zinafuja pesa ya Umma
2. Ziara za Rais zinafungua nchi
Nimekupa jumla ya ziara za rais wa nchi inayopigiwa mfano kwa maendeleo ya kasi zaidi barani Africa iliyoko Africa Mashariki yaani RWANDA
UWEKEZAJI WA NJE RWANDA (FDI)
______________
Tuangalie uwekezaji wa nje FY2018|19
Mwaka 2017|18 Uwekezaji wa nje wa Rwanda yaani FDI ulifikia $ 0.382BL sawa na Tshs 840.2BL
Tuangazie pia uwekezaji Wa nje FY2018|19
• Mwaka 2018|19 Wakati Rais Kagame anaenda nje X59 nchi ya Rwanda ilipokea uwekezaji toka nje ( Foregh Direct Investment -FDI wa $ 0.91BL karibu sawa na Tshs 2trilioni, hii ni sawa na ongezeko la uwekezaji wa nje kwa Tshs 1.2trilioni ambazo ni sawa na 143%,
Inaitwa the more You go the more You get.
||Kagame Safari 59, faida ya Safari ni uwekezaji wa Tshs 1.2trl ,Je Safari ni faida au hasara?! Jibu waambie na wenzako wanaopinga ziara za Rais nje
• Pamoja na CORONA, Mwaka 2018|19 Wakati wawekezaji wakikimbilia kuwekeza kwenye kanchi kenye watu wasiozidi 12M Sisi Tanzania wenye watu zaidi 60m tuliambulia uwekezaji wa nje yaani FDI ya $1.1BL karibu Tshs 2.2trilioni na hawa niwale waliojilita wenyewe tu,
• Nchi yenye ukubwa kama mkoa wa Tabora inapata uwekezaji karibu sawa na Tanzania,Shida ilikuwa nani awafuate wawekezaji, Mwekezaji akifuatwa na Rais wa nchi anakuwa na assurance kubwa kuliko akifuatwa na Waziri,Kwa Ufafanuzi huu wanaopenda kuelewa mtakuwa mmeelewa umuhimu wa ziara za Rais nje ya nchi
• Nimwenye roho ya kimasikini tu ndio anawaza gharama za rais kusafiri nje badala ya kuwaza uwekezaji wa matrilioni na mabilioni tutakaoupata kama matokeo ya ziara za Rais nje,Ukitaka kula lazima uliwe in JK voice
Yule hakutoka ndio maana tulipata kiduchu | Huyu anatoka kama wenzake mwacheni tutapata chochote kitu
Rwanda Development Board registers US$ 1.3 billion worth of investments in 2020 - Official Rwanda Development Board (RDB) Website
The Rwanda Development Board (RDB) registered investments worth US$ 1.3 billion in 2020, a decrease of 47.1% from the previous year. In 2019, RDB registered investments worth US$ 2.46 billion. The decline in investments was attributed to the COVID-19 pandemic that affected the global economy...rdb.rw
View attachment 1945274
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA