johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wakati hapa nyumbani kundi la wagombea wa kiume limepita bila kupingwa huku wanawake wakiendelea na uchaguzi na wengine kuenguliwa, kule Rwanda Rais Kagame amemteua mwanamama kuongoza idara ya Intelejensia ya nchi hiyo.
Wanaume tukiendekeza kitonga akina Ummy ndio watakaobeba mikoba siku za usoni kwa sababu wanajijengea ujasiri kwa kupambana na mambo magumu.
Akina baba tunakumbushana tusijisahau sana.
Maendeleo hayana vyama!
Wanaume tukiendekeza kitonga akina Ummy ndio watakaobeba mikoba siku za usoni kwa sababu wanajijengea ujasiri kwa kupambana na mambo magumu.
Akina baba tunakumbushana tusijisahau sana.
Maendeleo hayana vyama!