Rais Kagame ateua mwanamke kuongoza Idara ya Intelejensia

Wanawake washapewa nafasi za ubunge wa viti maalum hii ipo fair, kama ndio ivi basi mnavyotaka kuwe na wabunge wengi wa kike basi kuwe na utaratibu wa kuwa na jinsia tofauti kati ya mbunge na mbunge viti maalum
Sasa kupita bila kupingwa kuna tofauti gani na viti maalumu vya hao wanawake?
 
Richard Mabala amesema kina Kassim Majaliwa na wapenda kitonga wenzake hawajapita bila kupingwa bali "wamepita bila kuenguliwa" 🤣
 
Nami ninamshangaa! Anaacha kujadili maada anamrukia Lissu. Naona Lissu kamwingia sana moyoni. Mpaka anamkosesha akili na ufahamu.
 
Katika michango yako humu JF hii itakuwa ya kwanza kwa mimi kuwa ni ya ajabu sana, kila Mtanzania ana haki ya kuwa kiongozi kutokana na uwezo wake wa kutatua matatizo ya Watanzania. Ubaguzi hautakubalika kwa namna yoyote ile. Hilo la PK mwachieni mwenyewe. Rwanda ni kamkoa tu hatutakiwi kukatilia maanani sana although we can watch them.

JPM anaonyesha nani ni mwamba hapa Afrika. JK Nyerere alianza na ukombozi sasa JPM anaenda kuiweka Tanzania kuwa economic giant kwenye ukanda wetu. Tuchape kazi bila kuwa na haya makando kando.


Hapa Kazi tu!
 
Hii inahusiana nini na mada iliyo mezan?
 
Uko nje ya mada bwashee!
 
Uko nje ya mada bwashee!
Kuna mtu ame-hack ID yako nini?
 
Uko nje ya mada bwashee!
Rwanda siyo Tanzania kijana, priority zao ni tofauti na za Tz, lakini uwezo wa wanawake wa Rwanda si sawa na watz, kingine wao hawana ushabiki kwenye mambo ya nchi km huu unaofanya wewe.
 
Rwanda siyo Tanzania kijana, priority zao ni tofauti na za Tz..lakini uwezo wa wanawake wa Rwanda si sawa na watz, kingine wao hawana ushabiki kwenye mambo ya nchi km huu unaofanya wewe..
Ushabiki uko Simba na Yanga!
 
Lissu aliwawekea pingamizi JPM na Lipumba ili apate kitonga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…