Kukichwa kutapambazuka...!Welcome today’s release of Paul Rusesabagina. Thankful to know Paul will be rejoining his family soon. Grateful to the Rwandan Government for making reunion possible. Also appreciate assistance by Government of Qatar.
Kazi kwenu
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Nyakati...imekuwaje tena wakati huyu mtu alipigwa miaka ya kutosha
Kwa hisani ya mabeberuNyakati...
Kagame anatakiwa atengeneze katiba nzuri kw ajili ya succession, taa zishawakaKukichwa kutapambazuka...!
Kwenye hili mwana majanga naungana na weweNani alisema Magu baba lao? Thubutu! Kumbe beberu atakuwa nani basi?
View attachment 2564672
Paul Rusesabagina aliingizwa kwenye 18 za mtu mrefu, kisiki cha mpingo, ngozi ngumu, asiyeambilika, dikteta Paulo Kagame.
Paul Rusesabagina (Aug 2020) kwenye safari ya mchongo kwenda Burundi katika ndege binafsi ya kukodi aliteremshwa kikuku, Kigali Rwanda bila kutegemea. Akashtakiwa ki Mbowe Mbowe na kukabidhiwa miaka 25 jela na kazi ngumu.
Ununda pori wa namna hii haukumezeka vyema na mabeberu. Ikumbukwe kutokana na masekeseke ya jirani zetu hawa, bwana Rusesabagina ana makazi yake ya kudumu USA. Yaani kwa lile beberu kweli kweli.
"Aungurumapo Simba mcheza nani?"
Ni Paulo na Rusesabagina, Museveni au Ruto na agenda zao uchwara?
Kigali kimeshaeleweka Rusesabagina leo ni mtu huru!
Shikamoo beberu. Kwa kuwakazia madikteta uchwara wa pande za kwetu unawapa wengine kutabasamu.
Source: Newtimes Rwanda
Sahihi. Sio rahisi kuachiwa tu eti Kwasababu ameomba kuonewa huruma.Usikute kesha penyezewa sindano au madawa ya sumu ya kumwondolea huko huko aendako.
AMEANDIKA MAVI MATUPI NDANI YAKE UKICHUJA UNAPATA LABDA MBOLEA KIDOGODuuu sijaelewa, why usingetoa taarifa vizuri bila kuharibu uzi namna hii
Kagame anaonesha ukomavu wa kisiasa.
Nakala kwa: GENTAMYCINEWelcome today’s release of Paul Rusesabagina. Thankful to know Paul will be rejoining his family soon. Grateful to the Rwandan Government for making reunion possible. Also appreciate assistance by Government of Qatar.
Kazi kwenu
-----
Paul Rusesabagina aliingizwa kwenye 18 za mtu mrefu, kisiki cha mpingo, ngozi ngumu, asiyeambilika, dikteta Paulo Kagame.
Paul Rusesabagina (Aug 2020) kwenye safari ya mchongo kwenda Burundi katika ndege binafsi ya kukodi aliteremshwa kikuku, Kigali Rwanda bila kutegemea. Akashtakiwa ki Mbowe Mbowe na kukabidhiwa miaka 25 jela na kazi ngumu.
Ununda pori wa namna hii haukumezeka vyema na mabeberu. Ikumbukwe kutokana na masekeseke ya jirani zetu hawa, bwana Rusesabagina ana makazi yake ya kudumu USA. Yaani kwa lile beberu kweli kweli.
"Aungurumapo Simba mcheza nani?"
Ni Paulo na Rusesabagina, Museveni au Ruto na agenda zao uchwara?
Kigali kimeshaeleweka Rusesabagina leo ni mtu huru!
Shikamoo beberu. Kwa kuwakazia madikteta uchwara wa pande za kwetu unawapa wengine kutabasamu.
Source: Newtimes Rwanda
View attachment 2567414