GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kuna ubaya juu ya hilo kama ni Threat kwa National Security ya Rwanda? Siku zingine muwe mnatumia Akili. Hata CIA au Scotland Yard au FSB au Mossad ukienda nao Kinyume na kuwa Tishio kwa Mataifa yao utaondoka / utauliwa nao tu.Kagame atamuua