Rais kagundua ukweli: Mawazo ya upinzani ni bora kuliko ya bunge hili feki

Rais kagundua ukweli: Mawazo ya upinzani ni bora kuliko ya bunge hili feki

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Kwa kawaida tu ukimuuliza Mtanzania wa kawaida bunge lililopita limeleta wazo gani lolote tofauti ambalo unalikumbuka? Jibu ni kwamba hakuna lolote wanalo likimbuka kwasababu wamejaa wabunge wengi fake wasiojua kuweka hoja? Lakini ubaya zaidi wananchi wengi wanaona bunge kama sio halali.

Kwa muda mfupi tu Lema amerudi juzi tu tayari ameleta mjadala mkubwa na wa kibunifu

Je kipato cha 10,000 kwa siku ni umasikini?
Je bodaboda ni kazi au umasikini?

Hata kama hatukubaliani ni hoja ya msingi na inaleta changamoto muhimu kwa serikali.

Hizi ndiyo hoja ambazo Raisi anataka kujua ili zijamasishe serikali. Imefikia wakati mawaziri wamezubaa mpaka ikabidi wakafundishwe Arusha na akawapeleka wakati Lema karudi makusudi waone ukweli na kukomaa kimawazo badala ya kutumia Polisi

Siasa pembeni Lema mfano katoa mawazo ya jinsi ya kuuza Tanzanite haya mawazo ni ya nchi sio chama.Viongozi badala ya kutoa mawazo wanajiita machawa wakati Mama anatafuta mawazo ya kimaendeleo na utendaji sio chawa.
 
Kwa kawaida tu ukimuuliza Mtanzania wa kawaida bunge lililopita limeleta wazo gani lolote tofauti ambalo unalikumbuka? Jibu ni kwamba hakuna lolote wanalo likimbuka kwasababu wamejaa wabunge wengi fake wasiojua kuweka hoja? Lakini ubaya zaidi wananchi wengi wanaona bunge kama sio halali.

Kwa muda mfupi tu Lema amerudi juzi tu tayari ameleta mjadala mkubwa na wa kibunifu

Je kipato cha 10,000 kwa siku ni umasikini?
Je bodaboda ni kazi au umasikini?

Hata kama hatukubaliani ni hoja ya msingi na inaleta changamoto muhimu kwa serikali.

Hizi ndiyo hoja ambazo Raisi anataka kujua ili zijamasishe serikali. Imefikia wakati mawaziri wamezubaa mpaka ikabidi wakafundishwe Arusha na akawapeleka wakati Lema karudi makusudi waone ukweli na kukomaa kimawazo badala ya kutumia Polisi

Siasa pembeni Lema mfano katoa mawazo ya jinsi ya kuuza Tanzanite haya mawazo ni ya nchi sio chama
Nahisi wanaamini bodaboda wataendesha bodaboda zao mpaka uzeeni
 
Kwa kawaida tu ukimuuliza Mtanzania wa kawaida bunge lililopita limeleta wazo gani lolote tofauti ambalo unalikumbuka? Jibu ni kwamba hakuna lolote wanalo likimbuka kwasababu wamejaa wabunge wengi fake wasiojua kuweka hoja? Lakini ubaya zaidi wananchi wengi wanaona bunge kama sio halali.

Kwa muda mfupi tu Lema amerudi juzi tu tayari ameleta mjadala mkubwa na wa kibunifu

Je kipato cha 10,000 kwa siku ni umasikini?
Je bodaboda ni kazi au umasikini?

Hata kama hatukubaliani ni hoja ya msingi na inaleta changamoto muhimu kwa serikali.

Hizi ndiyo hoja ambazo Raisi anataka kujua ili zijamasishe serikali. Imefikia wakati mawaziri wamezubaa mpaka ikabidi wakafundishwe Arusha na akawapeleka wakati Lema karudi makusudi waone ukweli na kukomaa kimawazo badala ya kutumia Polisi

Siasa pembeni Lema mfano katoa mawazo ya jinsi ya kuuza Tanzanite haya mawazo ni ya nchi sio chama
Mawazo hayatusaidii sie wananchi maana hata wewe una mawazo. Sie tunataka utendaji.
1. Miundombinu ya kisasa
2. Maji ya uhakika
3. Umeme wa uhakika
4. Mazingira ya uhakika kutafutia kipato chetu.
5. Huduma za afya za uhakika.
6. Huduma za serikali rafiki
7. Elimu bora
8. Ulinzi na usalama wa uhakika kwa raia wema( free from ujambazi, panyaroad, ugaidi)
9. Gharama rahisi za maisha ikiwemo uhakika wa chakula
10. Kupiga vita maovu kama ushoga na taasisi zinazojinasibu na hayo mambo.
 
Mawazo hayatusaidii sie wananchi maana hata wewe una mawazo. Sie tunataka utendaji.
1. Miundombinu ya kisasa
2. Maji ya uhakika
3. Umeme wa uhakika
4. Mazingira ya uhakika kutafutia kipato chetu.
5. Huduma za afya za uhakika.
6. Huduma za serikali rafiki
7. Elimu bora
8. Ulinzi na usalama wa uhakika kwa raia wema( free from ujambazi, panyaroad, ugaidi)
9. Gharama rahisi za maisha ikiwemo uhakika wa chakula
10. Kupiga vita maovu kama ushoga na taasisi zinazojinasibu na hayo mambo.


Utendaji kwanye yapi bila mawazo hata hiyo list yako ni mawazo
 
Anapita kwenye nyao za Mkapa
Hakika.Mka[a alikaa na wapinzani akina Lipumba, Cheyo, Bob Makani nk na wakajadili. Raisi Kikwete pia alikaa nao akina Mbowe wakati wa sakata la katiba mpya, wakayajenga, kabla CCM haijaharibu mchakato.
 
Ukweli usiopingika wabunge walio wengi wa ccm uwezo wao wa uenga hoja zinazoweza kumsaidia mh Rais katika kutekeleza majukumu take ni mdogo Sana.Hakia wepo wa wabunge wa upinzani ulileta changamoto kubwa kwa seriali andio maana hasta kipindi Cha Mzee jk mambo mengi yaliwezekana kupitia hoja za wapinzani kama akina Lissu, Msigwa,Mnyika,Mdee,Buaya,Heche, na wengine wengi tofauti na ilivyo Sasa wabunge wanaamini Kila hoja inayowasilishwa bungeni na mawaziri ni msaafu a biblia na haipaswi kupingwa kwa kujengea hoja mbadala.Kitendo hii kimewaharibu hasta baadhi ya wabunge wachache wa ccm kama akina ole sendeka kufa kimawazo.
 
Mama anajikosha kwa chadema ili wasiwaambie wananchi kuwa maisha yanazidi kuwa magumu, na ili aongezewe muda kidogo wakati tunasubiri katiba mpya
 
Mawazo hayatusaidii sie wananchi maana hata wewe una mawazo. Sie tunataka utendaji.
1. Miundombinu ya kisasa
2. Maji ya uhakika
3. Umeme wa uhakika
4. Mazingira ya uhakika kutafutia kipato chetu.
5. Huduma za afya za uhakika.
6. Huduma za serikali rafiki
7. Elimu bora
8. Ulinzi na usalama wa uhakika kwa raia wema( free from ujambazi, panyaroad, ugaidi)
9. Gharama rahisi za maisha ikiwemo uhakika wa chakula
10. Kupiga vita maovu kama ushoga na taasisi zinazojinasibu na hayo mambo.
Orodha hiyo yooote bila katiba mpya ni bure hakuna kitakachofanyika hapo kikawa na ufanisi
 
Ukweli usiopingika wabunge walio wengi wa ccm uwezo wao wa uenga hoja zinazoweza kumsaidia mh Rais katika kutekeleza majukumu take ni mdogo Sana.Hakia wepo wa wabunge wa upinzani ulileta changamoto kubwa kwa seriali andio maana hasta kipindi Cha Mzee jk mambo mengi yaliwezekana kupitia hoja za wapinzani kama akina Lissu, Msigwa,Mnyika,Mdee,Buaya,Heche, na wengine wengi tofauti na ilivyo Sasa wabunge wanaamini Kila hoja inayowasilishwa bungeni na mawaziri ni msaafu a biblia na haipaswi kupingwa kwa kujengea hoja mbadala.Kitendo hii kimewaharibu hasta baadhi ya wabunge wachache wa ccm kama akina ole sendeka kufa kimawazo.
Ukiwa nje ni rahisi kukemea wa ndani. Wanachadema wanaweza wakawa na uwezo wa kuikemea ccm na mwenyekiti lakini wakakosa uwezo wa kuikemea chadema na mwenyekiti.
 
Kwa kawaida tu ukimuuliza Mtanzania wa kawaida bunge lililopita limeleta wazo gani lolote tofauti ambalo unalikumbuka? Jibu ni kwamba hakuna lolote wanalo likimbuka kwasababu wamejaa wabunge wengi fake wasiojua kuweka hoja? Lakini ubaya zaidi wananchi wengi wanaona bunge kama sio halali.

Kwa muda mfupi tu Lema amerudi juzi tu tayari ameleta mjadala mkubwa na wa kibunifu

Je kipato cha 10,000 kwa siku ni umasikini?
Je bodaboda ni kazi au umasikini?

Hata kama hatukubaliani ni hoja ya msingi na inaleta changamoto muhimu kwa serikali.

Hizi ndiyo hoja ambazo Raisi anataka kujua ili zijamasishe serikali. Imefikia wakati mawaziri wamezubaa mpaka ikabidi wakafundishwe Arusha na akawapeleka wakati Lema karudi makusudi waone ukweli na kukomaa kimawazo badala ya kutumia Polisi

Siasa pembeni Lema mfano katoa mawazo ya jinsi ya kuuza Tanzanite haya mawazo ni ya nchi sio chama
Hilo limethibitika wazi wazi
 
Ukweli usiopingika wabunge walio wengi wa ccm uwezo wao wa uenga hoja zinazoweza kumsaidia mh Rais katika kutekeleza majukumu take ni mdogo Sana.Hakia wepo wa wabunge wa upinzani ulileta changamoto kubwa kwa seriali andio maana hasta kipindi Cha Mzee jk mambo mengi yaliwezekana kupitia hoja za wapinzani kama akina Lissu, Msigwa,Mnyika,Mdee,Buaya,Heche, na wengine wengi tofauti na ilivyo Sasa wabunge wanaamini Kila hoja inayowasilishwa bungeni na mawaziri ni msaafu a biblia na haipaswi kupingwa kwa kujengea hoja mbadala.Kitendo hii kimewaharibu hasta baadhi ya wabunge wachache wa ccm kama akina ole sendeka kufa kimawazo.
😅😅😅
 
Back
Top Bottom