BIG DOGG
JF-Expert Member
- Sep 15, 2024
- 1,869
- 2,707
Hakisogezwi kitu hapo tutaingia mzigoni kuotetea tanganyika acha woga wakoHii kitu iliwahi ongelewa humu miaka ya nyuma ni kama ramani ilichezeshwa mahali.
Iliwahi tokea hadi hiyo mipaka ikawa inalindwa muda wote.
Hata sasa najua wapo wanajeshi wetu muda wote wanalinda huo mpaka.
Ila, nakuapia akikomaa mpaka utasogezwa, note me.