Rais kapata Uongozi kwa neema na rehema za Mungu, ajiepushe na Kiburi!

Rais kapata Uongozi kwa neema na rehema za Mungu, ajiepushe na Kiburi!

BOB LUSE

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2014
Posts
3,738
Reaction score
3,199
Kinyume na Watangulizi wake,Raisi wetu, hakuchaguliwa Kwa nafasi anayoishikilia,Alipata baada ya Boss wake kitwaliwa.
Mtangulizi wake alikuwa jeuri, mjuaji, katili na mwenye kiburi. Alipenda atawale muda mrefu, Mungu hakumpa hiyo nafasi.
RAIS husikilizi vilio vya wananchi katika maeneo haya
1) Bandari kubinafsishwa Kwa Mkataba wenye hila
2) Tozo Kila mahali,lakini Bado nchi Haina Hela.
3) Kuharibu uchumi,Bei ya dollars, mafuta,vifaa vya ujenzi,vyakula m.k
4) Utekaji,kupoteza watu
5) kupitisha Sheria za kukandamiza watu.
6) Upendeleo Kwa makundi Fulani na kuonea makundi mengine.

Nichukue nafasi hii kukujulisha kuwa Mungu yupo na anatutathmini kazi zetu, usiponyenyekea na kutenda HAKI.
Haijalishi unamipango mizuri kiasi Gani,hutatoboa.
 
Kinyume na Watangulizi wake,Raisi wetu, hakuchaguliwa Kwa nafasi anayoishikilia,Alipata baada ya Boss wake kitwaliwa.
Mtangulizi wake alikuwa jeuri, mjuqji, katili na mwenye kiburi. Alipenda atawale muda mrefu, Mungu hakumpa hiyo nafasi.
RAIS husikilizi vilio vya wananchi katika maeneo haya
1) Bandari kubinafsishwa Kwa Mkataba wenye hila
2) Tozo Kila mahali,lakini Bado nchi Haina Hela.
3) Kuharibu uchumi,Bei ya dollars, mafuta,vifaa vya ujenzi,vyakula m.k
4) Utekaji,kupoteza watu
5) kupitisha Sheria za kukandamiza watu.
6) Upendeleo Kwa makundi Fulani na kuonea makundi mengine.

Nichukue nafasi hii kukujulisha kuwa Mungu yupo na anatutathmini kazi zetu, usiponyenyekea na kutenda HAKI.
Haijalishi unamipango mizuri kiasi Gani,hutatoboa.
Umemaliza baba!
 
Asali ikishakolea huwa hawasikii wala hawaoni kabisa, hivyo unachokifanya ni kumpigia mbuzi gitaa. Wanastukaga ikiwa ni too late.
Ile misafara inawafanya wajisikie wako peponi,hakuna anayekubishia Kwa lolote,matokeo unajiiona mungu mdogo.
 
Unatakiwa mwanzo mpya wa utawala wa nchi hii tukianza na Katiba mpya itakayoweka misingi ya kujitawala, kuwa na sera za kitaifa zitakazotekelezwa bila kutegemea vyama vya siasa.

Tunahitaji kufanya maamuzi juu muundo wa Muungano tulionao sasa kwa kufanya referendum na kuhakikisha Tanganyika inarudishiwa mamlaka yake kama ilivyo Zanzibar.

Masuala haya mazito ya nchi yanatakiwa kufanyiwa maamuzi na kutekelezwa ndani ya kipindi hiki cha awamu ya tano ngwe pili. kama ikishindikana uchaguzi ujao wa 2024/25 uahirishwe hadi 2030 wakati tukishughulikia kuweka mambo sawa.
Serikali iliyopo madarakani kwa sasa itumie kipindi hicho cha miaka mitano ya mpito kusimamia mageuzi yanayohitajika wazi wazi.

Kufumbia macho takwa hili la Katiba mpya na kuendelea kujipanga kufanya uchaguzi mwakani wakati tukijua hila za CCM kubakia madarakani ni kujidanganya.
Kama hatutatumia busara ya kufanya mambo yetu wakati huu kwa amani, tutalazimika kufanya hivyo baada ya kuvurugana na kuumizana.
 
Kinyume na Watangulizi wake,Raisi wetu, hakuchaguliwa Kwa nafasi anayoishikilia,Alipata baada ya Boss wake kitwaliwa.
Mtangulizi wake alikuwa jeuri, mjuaji, katili na mwenye kiburi. Alipenda atawale muda mrefu, Mungu hakumpa hiyo nafasi.
RAIS husikilizi vilio vya wananchi katika maeneo haya
1) Bandari kubinafsishwa Kwa Mkataba wenye hila
2) Tozo Kila mahali,lakini Bado nchi Haina Hela.
3) Kuharibu uchumi,Bei ya dollars, mafuta,vifaa vya ujenzi,vyakula m.k
4) Utekaji,kupoteza watu
5) kupitisha Sheria za kukandamiza watu.
6) Upendeleo Kwa makundi Fulani na kuonea makundi mengine.

Nichukue nafasi hii kukujulisha kuwa Mungu yupo na anatutathmini kazi zetu, usiponyenyekea na kutenda HAKI.
Haijalishi unamipango mizuri kiasi Gani,hutatoboa.
Na Mimi Leo nilikuwa na tafakari haya Kwa mtazamo, kwamba unapokuwa Raisi jukumu lake ni kujenga nchi na sio kujenga familia yake au marafiki zake, hivyo teuzi zinazofanyika zilenge katika kujenga Taifa na sio kujenga kikundi fulani. Na usimamizi wa shughuli Zote za serikali na kichama zilenge kwenye ujenzi wa Taifa
 
Back
Top Bottom