kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Hakuna ubishi kuwa Karia ni mwana Simba na mwana coastal Union. Lakini hakuna ubishi Manara amezikera sana Simba na coastal Union msimu huu kwa matukio tofauti. Adhabu aliyopewa Haji Manara ya kufungiwa miaka 2 na kulipa 20,000,000 ni sehemu ya ukweli huu wa Simba, coastal Union, Yanga, Karia na Manara?
Hapa wote Rais Karia na Manara walitakiwa kuitwa kwenye tume ya maadili wakahijiwe kwakuwa wote walionekana wakijibizana jukwaani kila mtu akijichukulia mwenyewe sheria mkononi.
Hapa wote Rais Karia na Manara walitakiwa kuitwa kwenye tume ya maadili wakahijiwe kwakuwa wote walionekana wakijibizana jukwaani kila mtu akijichukulia mwenyewe sheria mkononi.