Rais Karia adhabu hii ya Manara imejumlisha na utani wetu?

Rais Karia adhabu hii ya Manara imejumlisha na utani wetu?

Hivi kutukana kaanza leo? Mbona alipokuwa Ukolokoloni fc alitukana Sana watu incl. Waandishi na viongozi mbalimbali lakini nyie mlikuwa mkimtukuza kwa vitendo hivyo. Tusiwe wepesi wa kusahau ndg kwa sababu ya ushabiki maandaxi, binafsi siipendi tabia zake za matusi. Hii tabia ya matusi alianza kotambo Hadi na nyie mashabiki wa ukolokolo fc mkaiiga na kuifuatilia. Hebu fuatitlia kwenye jukwaa Ni shabiki wa timu gani wanaongoza kwa matusi Kama so nite Simba SC. Kumbuka Charity begins at home never grows bad. Kuna mtu anajiita Gentamycine humu, Ana tofauti gani na Manara kwa kutukana? Na wengine mpo wengi humu. Hivyo tukubali kwa kuwa Simba SC Ni chuo Cha mitusi, na Manara amefuxu kwa mitusi Kama baadhi yenu mlivyo including kubwa lao Gentamycine a k a Popoma. Nasubiria mitusi yenu Kama kawaida yenu.
Kuna siku aliwatukana watu woooote wanaoipenda na kuishabikia Yanga isipokuwa baba yake na Rais Kikwete TU lakini Karia na wenzake walikuwa kimya. Yaani aliwatukana watu wote wote kabisa wakiwemo Mawaziri, wabunge, nk wanaoipenda Yanga. Hivi Karia ni mkubwa kuliko Mawaziri akina Mwigilu?
 
Matusi ni kosa la jinai. Binafsi sikutarajia siku ile kumuona Rais Karia amesimama anabishana kwa nguvu zote na Manara hadharani, badala yake ningetegemea kuona Manara amekamatwa na polisi kwa kosa la kumtukana Rais Karia bila kosa lolote.
wamedhihirisha kuwa TFF ni kataasisi ambako ni kituko kuliko kangaroo courts. hiyo ndio picha yao halisi. ina maana hawana hata akili ya kufowasii mbele matokeo ya jambo wanayoyafanya. walitakiwa kupredict kwamba kufanya hivyo wangepunguza heshima kwenye macho ya umma, wangempa adhabu ndogo au yeyote reasonable. na mchakato usiwe biased. hapo sasa karia ameshajichinja, lazima ataondoka
 
Kuna siku aliwatukana watu woooote wanaoipenda na kuishabikia Yanga isipokuwa baba yake na Rais Kikwete TU lakini Karia na wenzake walikuwa kimya. Yaani aliwatukana watu wote wote kabisa wakiwemo Mawaziri, wabunge, nk wanaoipenda Yanga. Hivi Karia ni mkubwa kuliko Mawaziri akina Mwigilu?
Kama hawakufungua shauri kuhusu kutukanwa ina maana walikubaliana na kauli ya zeruzeru,na hata kauli zao hapa jukwaani ni kweli wako hivyo. Haiwezekani mtu awatusi kiasi hicho na leo katiwa hatiana kwa kosa kama hilo hilo halafu wanashupaza shingo kumtetea kuwa anaonewa. Hawa watu ni kweli ni hamnazo
FB_IMG_1655579378566.jpg
 
Makosa hayafanani kaka. Hapa tungependa kukisikia kile alichokisema kila mhusika kwenye mabishano Yale.
Malinzi alimfungia Manara miaka Saba aliyetengua adhabu ni Karia baada ya kuingia madarakani Kwa kifupi Manara amenasa pia ajue siku hazifanani
 
Malinzi alimfungia Manara miaka Saba aliyetengua adhabu ni Karia baada ya kuingia madarakani Kwa kifupi Manara amenasa pia ajue siku hazifanani
Manara ni mtukutu lakini kosa lake adhabu yake ni hii? au hasira ya mambo mengine imejumlishwa humo pia?
 
Kama hawakufungua shauri kuhusu kutukanwa ina maana walikubaliana na kauli ya zeruzeru,na hata kauli zao hapa jukwaani ni kweli wako hivyo. Haiwezekani mtu awatusi kiasi hicho na leo katiwa hatiana kwa kosa kama hilo hilo halafu wanashupaza shingo kumtetea kuwa anaonewa. Hawa watu ni kweli ni hamnazoView attachment 2300160
Tisi ni kosa la jinai, kama Manara kamtukana mtu aende mahakamani kudai haki yake. Je hii adhabu aliyopewa na TFF itamnufaishaje aliyetukanwa. Je sehemu ya 20m inaenda kwake?
 
Imeisha iyoo,ilikua ni swala la muda tu,Manara kupambana na Simba amekanyaga mstari mwekundu.
Simba ni lidude flani hivi kuuuubwa sana[emoji375][emoji375]
 
sheria za kipopoma sana hizi, yani wamemhukumu Manara moja kwa mona wakati issue ilihusishsha wote wa wili
Lakini, si Manara mwenyewe alisema hatambui kufungiwa kwake hadi apewe barua? By the way, hivi ameishapewa nini maana yupo kimya sana.
 
Kwa hiyo wewe ukitukanana na Rais unataka na Rais ahojiwe
Ukimtukana Rais huendi kulala nyumbani kwako siku hiyohiyo. Huyu 'rais' hana ulinzi? hapakuwa na ulinzi, hakuna aliyeyasikia matusi hayo hadi Haji akaenda kulala nyumbani kwake? Hapa mlalamikaji ndiye aliyeamua aina ya adhabu kwa Haji
 
Simba wachukue mandonga mtu kazi kuhamasisha
 
Back
Top Bottom