Rais Kenyatta Afunga Campaign Kwa Maombi, Kalonzo Kwa Chuki

Rais Kenyatta Afunga Campaign Kwa Maombi, Kalonzo Kwa Chuki

One nation under God. It gives great joy to see one is giving thanks and praise to the most high hata akiwa anafake but it soothe and honour God.



Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Kweli mkuu, wala sijawai dhani Uhuru anafake. Hii ndo character yake hata kabla awe rais. Tunawafahamu wale wanaopita kwa waganga kule Nigeria. Kesho yake unawaona Israel. Kwao ni maigizo tu. Juzi juzi waliwaambia wafuasi wao wasifanye ngono usiku wa kuamkia siku ya kupiga kura! Maombi ni kitu simpo sana lakini muhimu zaidi ya mengine yote!

Uhuru muuaji tu, Ukikuyu wako umekupa upofu mbele ya Uhuru. Unafiki wa kuomba haumsafishi hata kidogo.
 
Uhuru muuaji na mdhamini mkuu wa Mungiki, Kalonzo hana damu ya mtu mikononi mwake. Unajifanya mjinga kumtetea Mkikuyu mwezako lakini huwezi kuubadili ukweli kuwa Uhuru ni muuaji.
 
Back
Top Bottom