technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Wao wanataka mahindi siyo unga!Tunarudi tena kufanya export ya uhakika
Ushauri naomba tuwekeze kwenye viwanda vya sembe tuwe tunapeleka unga sio mahindi.
Inawezekana siyo laini kama unavyoyafikiria!Mwendazake aliendesha nchi kwa utemi na ugumu ugumu mno, unaona sasa kumbe mambo ni laini hivi....
likewise Mtanganyika huwezi kununua ardhi Zanzibar hata kama una hela kibao ila mzanzibari kuhusu kumiliki hata kitalu cha wanyama achilia mbali ardhi tu.Hakuna uwezekano wa Rais wa Zanzibar kuwa Mtanganyika.. lakini uwezekano wa Mzanzibari kuwa rais wa Tanzania... ambayo Ni kama Tanganyika upo je swala la vitu ambavyo si vya muungano na ambavyo vipo ndani ya mipaka ya Tanganyika inakuwaje Mzanzibari kuanza kutia sahihi na kuanza kuuza mfano Gas na Mafuta havipo ktk mambo 22 ya muungano.
Leo ukianimbia sijui Samia ni Rais wa jamuhuri ya muungano ya Tanzania haya eneo ya ilo jamuhuri ni wapi? Watuonyeshe tu kwamba hapa ni Eneo la Jamuhuri hapa kwa maana sifa ya Taifa au Serikali lazima iwe na eneo na mipaka yake eneo la Zanzibari linajulikana kila mtu analijua.
Unataka usikie nini? Wakati Kenya wana makampuni zaidi ya 500 sisi ni 30 tu,huoni kama wao ndio wanafaidika? Au unataka ule upuuzi wa Magufuli uendelee rafikiyetu ni Nkurunziza tu.ipo siku yatagaga watatuweka wazi hizi offer tunazo zipata kwa sabab zisizo eleweka
sisikii tz imetowa nin bali imepewa tu
Suluhu ni dawaSumu imeisha?
Ukweli mwendazake alikua hayuko sawa kichwaniIngawa si mwehu, ila ametia sana hasara, na kuaribu mahusiano, ona leo IMF awanatoa fedha kwa haraka wakati wa jiwe akiomba apati kitu.
Bunge lijadili tena umuhimu wake kwa uhuru si kujipendekeza kulikofanywa!
Haya ndo mapungufu tena ni makubwa sana wanasema jamuhuri ya muungano ambayo aina ardhi au eneo lake eneo lake ni Tanganyika lakini Zanzibar inakuwa kama nchi ambayo Mtanganyika hana haki zote ikiwemo kupata vitambulisho vya ukazi lakini kwenye eneo la Mtanganyika mzanzibari ana haki zote za kufanya anachotakalikewise Mtanganyika huwezi kununua ardhi Zanzibar hata kama una hela kibao ila mzanzibari kuhusu kumiliki hata kitalu cha wanyama achilia mbali ardhi tu.
Kwamba sumu imeondolewa kwenye mahindi?Suluhisho limepatikana!
Sababu ya mahindi kuzuiliwa ilikuwa ni sumu kuvu, Kenya ndio walisema hivyo.Yule mwehu wa chato apepe jehanamu
Meko ndio alisema mahindi ya Tanzania yana sumu kuvu?Uhuru ako na shida ipi? Kuwa straight, sema Meko ndio alikuwa tatizo..
Kenya hawaitaji sembe kutoka kwetu, wanahitaji mahindi tu.Tunarudi tena kufanya export ya uhakika
Ushauri naomba tuwekeze kwenye viwanda vya sembe tuwe tunapeleka unga sio mahindi.
sisi ndio wenye mahindi. we can force themWao wanataka mahindi siyo unga!
Twende tukafungue kwao tusage unga tuwapige mabei ya kufwa mtuWao wanataka mahindi siyo unga!
Mkuu mbona unateseka!!Hakuna uwezekano wa Rais wa Zanzibar kuwa Mtanganyika.. lakini uwezekano wa Mzanzibari kuwa rais wa Tanzania... ambayo Ni kama Tanganyika upo je swala la vitu ambavyo si vya muungano na ambavyo vipo ndani ya mipaka ya Tanganyika inakuwaje Mzanzibari kuanza kutia sahihi na kuanza kuuza mfano Gas na Mafuta havipo ktk mambo 22 ya muungano.
Leo ukianimbia sijui Samia ni Rais wa jamuhuri ya muungano ya Tanzania haya eneo ya ilo jamuhuri ni wapi? Watuonyeshe tu kwamba hapa ni Eneo la Jamuhuri hapa kwa maana sifa ya Taifa au Serikali lazima iwe na eneo na mipaka yake eneo la Zanzibari linajulikana kila mtu analijua.
Kwani wewe unatakaje?Hakuna uwezekano wa Rais wa Zanzibar kuwa Mtanganyika.. lakini uwezekano wa Mzanzibari kuwa rais wa Tanzania... ambayo Ni kama Tanganyika upo je swala la vitu ambavyo si vya muungano na ambavyo vipo ndani ya mipaka ya Tanganyika inakuwaje Mzanzibari kuanza kutia sahihi na kuanza kuuza mfano Gas na Mafuta havipo ktk mambo 22 ya muungano...
Acha kiherehere kama baoWao wanataka mahindi siyo unga!