Rais Kenyatta amwalika rais wa China, Xi Jinping kuzindua reli ya SGR

Rais Kenyatta amwalika rais wa China, Xi Jinping kuzindua reli ya SGR

Kaka, tulieni, sijui hapa watu wanatusiana nini??? Mambo ya ukoloni sijui yausikana aje na mada. Kila mtu hivi ajue kunatofauti ya Kenya na Tanzania.

Tanzania ipo kwenye karne zenye Kenya ilikuwa miaka arobaini iliyopita.

Hili halina ubishi, Ashakum si Matusi. Huu ni ukweli hata kama mchungu

Magufuli, doing things Moi was doing in 1974
160113165941-magufuli-cleans-exlarge-169.jpg

Moi in 1974
p13.jpg


But this is what Uhuru, The President of Kenya does

View attachment 509715 View attachment 509717
View attachment 509718 View attachment 509719 View attachment 509720 View attachment 509721 View attachment 509722
Ndo maana hujui kuwa ukoloni ni nini! Nadhani wewe ndo unatakiwa kutulia!

Yaani kwa akili yako unaona kusimama na kupiga picha na wazungu ndo maendeleo! Oh my God! Ukoloni hautakuisha kabisa wewe!

Ingekuwa hilo tu Tz tungekuwa mbali sna maana JK alipiga picha na wazungu wengi sana!
 
And u will never find someone Like Mugabe in such photos,
do u know why?
Because Kenya ni Vibaraka wa Wazungu.
And because of that where is "The great Zimbabwe?" Now the poorest country in Africa, Remember Zimbabwe had Electric trains in early 90's (Something that is News in Tanzania who are struggling to build one. Kenya has none till today) a prosperous country in Africa that songs were written and sung about.

Thinking like yours has brought it down to it's knees, we are clever than that.
 
Ndo maana hujui kuwa ukoloni ni nini! Nadhani wewe ndo unatakiwa kutulia!

Yaani kwa akili yako unaona kusimama na kupiga picha na wazungu ndo maendeleo! Oh my God! Ukoloni hautakuisha kabisa wewe!

Ingekuwa hilo tu Tz tungekuwa mbali sna maana JK alipiga picha na wazungu wengi sana!

Yaani wewe kweli huna akili ama nini?? Mzungu ni nini? WEWE UNAONA KUPIGA PICHA AMA HIZO PICHA ZINAPIGWA DEALS ZIKIFANYIKA???? NANI ALIKWAMBIA PICHA NDIO MUHIMU HAPA?? WALLAHI WEWE MTU AJABU SANA
 
Yaani wewe kweli huna akili ama nini?? Mzungu ni nini? WEWE UNAONA KUPIGA PICHA AMA HIZO PICHA ZINAPIGWA DEALS ZIKIFANYIKA???? NANI ALIKWAMBIA PICHA NDIO MUHIMU HAPA?? WALLAHI WEWE MTU AJABU SANA
Sasa weww inayejiita una akili, mbona hujaweka haba deals zilizosainiwa? badala yake umeweka tu picha!

Kuna msemo unasema, nyani haoni kundule, nadhani wewe hujui jinsi ulivyo mtu wa ajabu kwa kuweka tu picha na kusema ni deals zinafanyika!

Twambie hapa hizo deals ziko worthy kiasi gani ili tujadili! Picha ziko kila sehemu!
 
In Fact, He can extend his visit to Kenya by going to your mom's house and **** her, we dont give a F**K about that.

What I was saying is: Tanzania has a very solid diplomatic ties with CHINA than any African states, a diplomatic relationship that is annually celebrated by both countries in a very special way.

Tanzania People Defence Force was the first army in Africa and in the world bring into play Chinese weapons in countless of battle fields throughout the cold war (Liberation of Southern Africa, Uganda war, Seychelles wars to mention but few)

TAZARA was the single longest railway in sub-Saharan Africa. TAZARA was the largest single foreign-aid project undertaken by China at the time, at a construction cost of US $500 million (the equivalent of US $3.08 billion today)

One Edward A. Freeman used to say "History is past politics, politics is the present history".

You started with your uncalled for insult against me, which in effect has emonly exposed your high level of foolishness, then embarked on this prattle about Tanzania's blah blah blah historic cordial relationship with China.
Who cares? We are in the present, and we are all looking into the future.

Among those who would not give rat's ass about that historic relationship is Xi Jingpin himself.

U are talking here about Tanzania's past relationship with China under Mao, that repressive regime that subjected millions of pipo, including Xi himself and his family when he was young, to untold suffering.
 
Kenya Dines with the big and mighty, walks with the Kings, as you can see, He is the only Black, representing all of Africa in the larger Middle and far east
c_3cyogxsaaqrlr-jpg.509719
Mambo ya kawaida tu hayo ambayo huku tz yanafanywa na mwanafunzi wa form 2 ambaye alihutubia UN kwenye kusaini mkataba wa kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa duniani!

TANZANIAN GIRL TO ADDRESS UN GENERAL ASSEMBLY DURING CLIMATE CHANGE SIGNING CEREMONY | UNIC Dar es Salaam


Mtazame vizuri hapa TANZANIAN GIRL TO ADDRESS UN GENERAL ASSEMBLY DURING CLIMATE CHANGE SIGNING CEREMONY | UNIC Dar es Salaam
 
FYI Tanzania has a very solid diplomatic relation with CHINA than any African country. Tanzania was the first African state to initiate a diplomatic relation with China when most Africa states looked down upon China due to its past economic size - Kenya being one of those countries.

Kenya's diplomatic prostitution makes it unreliable partner and CHINA knows that no wonder they defrauded you fuckers.

Hayo mambo ya kujidanganya eti mna undugu na Wachina ndio inasababisha mnatafunwa hadi mumebaki mahandaki matupu na umaskini balaa.
Sisi kama alivyosema Iconoclastes huwa tunanuniana kwenye mahesabu hadi kinaeleweka, sio kama nyie mnakenua meno wanakuja na kuva mavazi ya vyama vyenu na kujihusisha hado kwenye siasa za ndani za nchi yenu na kuwatafuna. Hebu ona hii picha hapa balozi wa Uchina mlivyomshobokea hadi kumpa mavazi ya chama.

Balozi+wa+China+Tanzania.jpg
 
namkubali sana JPM...my hero infact! Tz not really...umesahau Tz is a Least Developed Country....lipi la kukubali hapo ndugu?😀😀😀😀
JPM ni raia namba moja wa tz! Uelewe hilo dude! Ukimpenda means unaipenda tz kama unavyofanya siku zote japo unaishia kujitekenya tu eti sijui kitu gani
 
dah! Bongolala!😀😀yaani wanaramba matako ya wachina ila mchina anamsaka sana Mkenya na sio Mtz....they know u are a Least Develped Country,..thats why..😀😀😀😀
Umesahau kuwa wachina ndo wanatutafuta kutwa kucha!

Ngoja nikupe mfano!
1; Walitaka watupe pesa tujenge bandari ya bagamoyo tukazikataa!

2; Tumewanyang'anya tenda ya kujenga SGR na kiwapatia waturuki!

sasa nani anamtafuta mwenzie hapa[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
And u will never find someone Like Mugabe in such photos,
do u know why?
Because Kenya ni Vibaraka wa Wazungu.
hio ilikua function ya wachina sio wazungu...wacha tuwe vibaraka nyinyi zungusheni vibakuli kwa hao hao wazungu
 
Hayo mambo ya kujidanganya eti mna undugu na Wachina ndio inasababisha mnatafunwa hadi mumebaki mahandaki matupu na umaskini balaa.
Sisi kama alivyosema Iconoclastes huwa tunanuniana kwenye mahesabu hadi kinaeleweka, sio kama nyie mnakenua meno wanakuja na kuva mavazi ya vyama vyenu na kujihusisha hado kwenye siasa za ndani za nchi yenu na kuwatafuna. Hebu ona hii picha hapa balozi wa Uchina mlivyomshobokea hadi kumpa mavazi ya chama.

Balozi+wa+China+Tanzania.jpg
Umeshaona meno yetu, tumewanyima tenda ya kujenga reli na mkopo wao tumekataa


Hivi unamuona JPM ni mtu wa kukenulia mtu!
 
Umeshaona meno yetu, tumewanyima tenda ya kujenga reli na mkopo wao tumekataa


Hivi unamuona JPM ni mtu wa kukenulia mtu!

Hamuwezi mkajitoa kwa Wachina nyie, mambo ya reli ulikua mvutano baina ya wapambe wa JK na wale wa JPM.
 
Hamuwezi mkajitoa kwa Wachina nyie, mambo ya reli ulikua mvutano baina ya wapambe wa JK na wale wa JPM.
Sijaongelea kujitoa, nimesema kuweka masharti ambayo nanakuwa na unafuu kwa pande zote
 
naweza nikakuletea news ile ya wanafunzi waliofariki ila sitafanya hivo kwani lilikua jambo la kusikitisha...laana hutafutwa...I'm better than that.

But we need to do something to combat this. We have 25% of cars that Sweden have but accident prevalence is 16 times higher than what Scandinavian country experience.
 
Hayo mambo ya kujidanganya eti mna undugu na Wachina ndio inasababisha mnatafunwa hadi mumebaki mahandaki matupu na umaskini balaa.
Sisi kama alivyosema Iconoclastes huwa tunanuniana kwenye mahesabu hadi kinaeleweka, sio kama nyie mnakenua meno wanakuja na kuva mavazi ya vyama vyenu na kujihusisha hado kwenye siasa za ndani za nchi yenu na kuwatafuna. Hebu ona hii picha hapa balozi wa Uchina mlivyomshobokea hadi kumpa mavazi ya chama.

Balozi+wa+China+Tanzania.jpg

Lete ushahidi unaoonesha China walitupuna utajiri wetu.
 
Kwani hii definition ya Mzungu ili geuka lini.... I always thought Mzungu ment white man from the west (UK,EU,Canada,Australia,US) .. Sasa kwa hio picha.... Mchina ndo amealika watu, kwani ni lini mchina amekua Mzungu? Next to rais wa China ni Vladmir Putin, rais wa Russia..... Naona Rais wa uturuki hapo...infact wale niwaitao wazungu (eg UK, US) hawakuhudhuria huo mkutano kwasababu hawataki china kujenga hii miundombinu yote manake itafanya mchina kuwa na ushawishi mkubwa wa uchumi duniani....alafu isitoshe North Korea pia walituma mawaziri wao,nchi za G7 wore walikataa kuhudhuria
 
Back
Top Bottom