Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasukuma roho zinawauma, MTEGO huo wakumnasa shangazi yako auiyo inaitwa "SNARE" kwa kiingereza
mamako ambaye ndio dadakoWasukuma roho zinawauma, MTEGO huo wakumnasa shangazi yako au
Ni wachache watakaogundua kuwa hiki ni chambo tayari tuwe makini.
Huu uwoga na tumeaminishwa na wana siasa kuwaogopa wa Kenya na unyonge ndio shida kubwa, tunawaogopa nini hasa mbona tumejaza wahindi makampuni yote na kila siku wanaingia tu. Ajira ni ushindani na ufanisi ndio inabidi tujiongeze tuwe waadilifu ili sisi ndio tuwe na thamani kwao siku waombe wa Tanzania katika makampuni yao. Tabia ya kuaminishwa kuwaogopa wa Kenya hata sijui nani aliyeileta, Mimi simuogopi mkenya kwa lipi zaidi? tuache unyongeni kweli mkuu..
lengo lake ni tanzania iseme the same, ili pia waje wafanye biashr upande wa pili bila permit..
na sisi tukifuata hilo, wakenya watakuwa wame win
Kigelegele kwa Kenyatta aruhusu watanzania kuanzia sasa ruksa kufanya kazi na biashara kenya bila kuwa na work permit wala Business visa
Kasema mida hii mkutano wa wafanya biashara
WeuweeeeeeePiga kelele kwa Kenyatta akee😁😁😁😁😁😁
Seriously, EA hatutakiwi kuwa na barrier zozote za kibiashara. Tuna custom union ya maneno tu lakini haifanyi kazi. Tunazuia na kubania biashara za Kenya huku tukijaza masoko kwa bidhaa za India na China. EA inatakiwa kufunguka, iwe kama nchi moja. Hapo ndiyo tunaweza fikia shirikisho la kisiasa
Hujamsikia kanuni na taratibu zizingatiwe lkn?
Hata wakiruhusiwa kuja kufanya biashara kwetu huoni kuwa ni faida kwetu tutajifunza mengi? huoni wanaweza kuja kuzalisha ajira pia na kuongeza pato la kodi?Mtego huu, anataka na Samia aseme hivyohivyo kwa wakenya
It is sir. And i think we both told the same thing, look kufiri nje ya box ni kule kule tu kuwa na high intelligence. So the question comes kufikiri nje ya box kwa jicho gani ? Kenyans think out of box on wining usnot that high. its just sis hatutaki ku think out of box. tunafungia fikra zetu ndani wkt wao wakiopen fikra zao
Inaenda verse versa na ile kauli ya Mimi na mwenda zake ni kitu kimoja!!Hili ni pigo jingine kwa sukuma gang.
Kenya kulikuwa kunasumbua sana
Lazima uwe nayo ila huhitaji work permit wala business visa kama una cha kufanya kule
Yaani kwakweli tukusanye tu mamchele na makaranga tupelekeahsante Rais wangu kwa kufufua ushirikiano, sasa naandaa magunia yangu ya njugu mawe napeleka kenya kuuza.
Ahsante mama Samia.
Umeomaeeee?Inaenda verse versa na ile kauli ya Mimi na mwenda zake ni kitu kimoja!!
Mama Samia kaamua kufuta maovu yoote yaliyo tokea awamu ya 5 maana kaona hayafai hata kidogo.sema hawa jamaa sjawahi kua na imani nao, uwekezaji ni muhimu sawa ila sheria ziwekwe nzuri haya mambo ya kubrand mlima kilimanjaro kenya iwe mwisho
Shida yetu iko hapo..tunamuogopa kila mtu..hv why lakini?sijui niNyerere au nani alitujaza ujinga wa kuogopa ogopa kila kitu! Tujaribu tukiona wanatuzid akili mamlaka zipo!khaasema hawa jamaa sjawahi kua na imani nao, uwekezaji ni muhimu sawa ila sheria ziwekwe nzuri haya mambo ya kubrand mlima kilimanjaro kenya iwe mwisho