Mrs Van
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 7,416
- 16,603
Pads ni muhimu. Nakumbuka hata mimi nikiwa nasoma kuna kipindi tulikua tunagaiwa pads bure halafu ile system ikapotea. Ilkua inasaidia mno kwa ambaye hakua na uwezo wa kununua.So which is which. Umeniambia nikuoatia shule ambazo hakuna chakula shuleni nimekuwekea umeanza kukenua kenua meno. Ni kweli watoto wa kike wanahita pads lakini siyo kipaumbele katika familia.
Sasa nauliza mtakuwa mnapeleka pads kila mwezi au kila siku. Na hizo pads ni za kiasi gani?
Nakuhakikishia huo ni mradi wa GOK kupiga pesa mingi kubwa kubwa.
Wasichana wengi hubaki nyumban sababu ya kukosa pads wakiwa kwenye siku zao.
Pad sio sawa na vipande vya kanga sababu kanga haitomfanya msichana awe comfortable shuleni.
Ungekua mwanamke ungeelewa hali hiyo inavyotokea.