oneflash
JF-Expert Member
- Oct 4, 2014
- 814
- 600
Uganda locked up as early as possible. That alone played a significant roleUganda wamepima watu wengi kuliko Kenya, mbona maambukizi ni machache?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uganda locked up as early as possible. That alone played a significant roleUganda wamepima watu wengi kuliko Kenya, mbona maambukizi ni machache?
Sent using Jamii Forums mobile app
LOL kwa hiyo muarabu wa Oman akiingia hapa jf ana uwezo wa kuchangia mada kabisa na kuelewa kila kinachozungumzwa humu japo kwa 5%?Nani hajui kiswahili kiko na mahusiano na kiarabu?.
Hakuna mtu anaweza jua idadi kamili ya maambukizi mahali pale popote duniani. Lakini kwa kupima waweza kadiria na kujua ni wapi waathiriwa ni wengi!..
Kenya kila siku wanatoa takwimu zao usifananishe Uhuru na utopoloRais wa Kenya amewaambia wakenya hawata watoke ndani wakafanye kazi, akiongea na taifa leo rais uhuru kenyata amesema kuwa hawata endelea kukaa ndani watafuata mfumo wa mataifa mengine hii imetokea siku chache baada ya rais wa Tanzania John Magufuli kuruhusu michezo na vyuo vikuu kuanza kazi.
My take dunia inaanza kutuelewa
View attachment 1457675
Sent using Jamii Forums mobile app
Kunao wanaopima kwa ajili ya kumaliza kila mtu?
Nakuonea huruma sababu umeshindwa kujitetea.Ndio maambukizi yameongezeka lakini sio kama vile hakungekuwa na hizo hatua zikizowekwa. Halafu ukumbuke idadi ya vipimo vimeongezwa hapo lazima idadi ya waathiriwa itaenda juu!..
Lockdown uchwara.Yes lockdown ilikuwa kwa hotspots kama Eastleigh and old Mombasa
Watanzania ni independent thinkers Wakenya akili zao zimeshikwa na wazungu. tanzanians we are not copy cats hatu copy na kupaste solution za corona za wengine because we are independent thinkers tukiongozwa na independent thinker Genious Raisi MagufuliWalioitukana tanzania na rais magufuli wafungue threads za kuomba msamaha. Kama walivyofungua threads za kukashifu na kutukana rais na taifa letu teule. Rais Magufuli ni mpole muelewa na mkarimu atawasamehe,
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunapomsifu jiwe kwa East Africa chonde tusimsahau na nkurunzinza make naye hakufungia raia wake waliendelea kuchapa kazi kama tz tu.Magufuli anazidi kuonekana Kama ana akili nyingi kuzidi hawa marais wa EAC
They're back to their root!![emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Takwimu zao zinasaidia nini sasa?Kenya kila siku wanatoa takwimu zao usifananishe Uhuru na utopolo
Kenya kila siku wanatoa takwimu zao usifananishe Uhuru na utopolo