Jiwe ndiyo mentor wa Nkurunzinza.Tunapomsifu jiwe kwa East Africa chonde tusimsahau na nkurunzinza make naye hakufungia raia wake waliendelea kuchapa kazi kama tz tu
Hahahahaha... Mbowe, Zitto na Membe wanaumbuka vibaya!Kenya wala hawaigi umagufuli. Msingi mkuu wa umagufuli ni kuzuia data, ili watu waseme Korona hakuna Tanzania. Kenyatta ametoa data kama anavyofanya daima. Hajafukuza wataalamu wa afya. Sisi tuko wenyewe tu, sema kidoogo tunafanana na Brazil. Sema nao hawajazuia data
ili andiko lako naliandika kwenye pvc laini pana sana naprint alafu nalifunga mtaani juu ya nguzo za umeme linakatiza mtaa uku na uku.Watanzania ni independent thinkers Wakenya akili zao zimeshikwa na wazungu. Tanzanias we are not copy cats hatu copy na kupaste solution za corona za wengine because we are independent thinkers tukiongozwa na independent thinker Genious Raisi Magufuli
Ukitoa takwimu kila siku unasaidia kupunguza maambukizi/vifo?Kenya kila siku wanatoa takwimu zao usifananishe Uhuru na utopolo
Nkuruzinza humuita Magu kaka, ni mentor wakeTunapomsifu jiwe kwa East Africa chonde tusimsahau na nkurunzinza make naye hakufungia raia wake waliendelea kuchapa kazi kama tz tu
Jifungieni hadi ugonjwa uishe au mpate dawa toka kwa wazungu.And who told you that curfews and cessation of movement was meant to be forever?. We are very greatfull for the curfew and lockdowns. It has helped in cubbing the spread of the virus to the rest of the country.
Kwanini taarifa zinafichwa na watu walikuwa wanazikwa usiku?Sasa hiyo 'curfew' na lockdown ilikuwa na kazi gani? sometimes sisi binadamu tunakuwa kama wajinga vilee..haina maana kutesa watu bure sasa hivi watu wanarudi kuchangamana kama kawa,hata kama hakuambukizwa kipindi cha 'curfew', ataambukizwa sasa.
Mnyonge mnyongeni lakini Magufuli ni genious.
Kwanini taarifa zinafichwa na watu walikuwa wanazikwa usiku?
Ushahidi wa kitu gani mkuu?
Sometimes kubali kushindwa kimyakimya. Its betterNdio maambukizi yameongezeka lakini sio kama vile hakungekuwa na hizo hatua zikizowekwa. Halafu ukumbuke idadi ya vipimo vimeongezwa hapo lazima idadi ya waathiriwa itaenda juu!..
Swahili na Arab wapi na wapi budaWakati unapokizungumza kiswahili huwa wewe ni muarabu?..
Nae itafika mahali hutasikia data wala bando.Kenya wala hawaigi umagufuli. Msingi mkuu wa umagufuli ni kuzuia data, ili watu waseme Korona hakuna Tanzania. Kenyatta ametoa data kama anavyofanya daima. Hajafukuza wataalamu wa afya. Sisi tuko wenyewe tu, sema kidoogo tunafanana na Brazil. Sema nao hawajazuia data
You don't need to approve it, do you?🤣
And why should it worry you?
- Rais alisema serikali imeafikia uamuzi wa kuwa haiwezi kuendelea kuwafungia watu.
- Alisema sasa itafikia wakati wa watu wenyewe kujilinda dhidi ya maambukizi ya coronavirus
- Nchi jirani ya Tanzania ni mojawapo wa zile ambazo hazikufunga shughuli zake za kuchapa kazi kwa ajili ya covid-19
Rais Uhuru Kenyatta ameashiria huenda 'curfew' iliyowekwa ikafunguliwa baada ya kukamilika wiki ijayo siku 21 zilizowekwa zikikamilia.
"Tumeona sisi kama serikali kuwa hatuwezi kuendelea kuwa na lockdown . . . na 'curfew'. Sasa ni lazima Wakenya warudi kwenye makazi yao na shughuli zao," Rais alisema.
Rais alisema sasa nijukumu la Wakenya kuhakikisha kuwa maambukizi ya coronavirus yanakabiliwa wakati ambapo taifa litafunguliwa.
"Sasa kwa sababu hatuwezi kuendelea na kufunga, tukifungua, halafu ugonjwa huu uendelee ujue ni wewe, na mimi na Matiang'i kuhakikisha kuwa tunalinda kila mmoja," alisema Rais.
Rais Uhuru Kenyatta alisema serikali imeafikia uamuzi wa kuwa haiwezi kuendelea kuwafungia watu.
"Nimewaeleze hawa mawaziri, haswa wa Afya kuwa Wakenya sasa wajue ni wakati wa kulindana.
Wewe ukienda kazi ni wajibu wako kulinda mama na watoto, kama serikali zile zingine kila pahali hatuwezi kuendelea kufungia watu," aliongeza Rais.
Rais alisema hayo wakati ambapo idadi ya maambukizi imefikia watu 1192 na watu 50 kufariki.
Wakenya wamekuwa kwenye kafyu ya kutokuwa nje ifikapo saa moja usiku kwa siku 28.
Kaunti tano za Nairobi, Mombasa, Kwale, Kilifi na Mandera pia zilifungiwa kwa kuwa na idadi kubwa ya maambukizi.
Mitaa ya Eastleigh Nairobi na ule wa Kale Mombasa pia ilifungwa na hakuna watu kuingia au kutoka.