Rais Kenyatta: Hatuwezi kuendelea na lockdown

Rais Kenyatta: Hatuwezi kuendelea na lockdown

Kushindwa kufunga hata vilabu vya pombe kumenishangaza mno. Nchi zote zilizo siriazi zilifunga mikusanyiko yote isiyo ya lazima kama baa lakini sisi kwa mzaha hatukufunga kabisa hata vijiwe. Hii ni level ya chini sana ya tahadhari.
Mtu unawezaje kuisifia curfew ya kuanzia saa 1usiku hadi saa 11 alfajir,kisha mchana kutwa watu wanaendelea kujamiiana...kana kwamba corona haisambai mchana..huu ni uchizi
 
Kwa kifinyo tuliowapa hawa makapuku Cha siku 2 tu joto la jiwe limempata mpaka Rais wa Zambia akaona bora ayamalize mapemaa kabla kujakucha akaamua Jana nae afungue mpaka maana kahisi hawa wa bongo washamalizana na mkenya watanigeukia Mimi hawa akaamua bora awe muungwana

Sent using Jamii Forums mobile app
Mipasho tunaweza ila maendeleo ni kizungumkuti mpaka leo bado ni LDC


Sent using Jamii Forums mobile app
 
And who told you that curfews and cessation of movement was meant to be forever?. We are very greatfull for the curfew and lockdowns. It has helped in cubbing the spread of the virus to the rest of the country.

Try to be honest even for a little while!! Scientifically if you opt for a lockdown, it must stay up to when the infection have declined significantly. Of all the countries which opted for this strategy, only China and South Korea did it correctly and were successful!! All other countries failed miserably and were forced abandon the lockdown shamefully! They underestimated the cost for lockdown and found themselves that they are no longer able to sustain it!!

Magufuli was smart from the very beginning and knew that lockdown is not sustainable for our case!
Those countries which went for lockdown have not reaped the fruits of lockdown since the infection is still high, and they have crippled their economy and people have lost employment!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usipokuwa mwelewa utaongea tu kila kitu. Ugonjwa usiojulikana vizuri ukiingia mahali kama watu wapo siriazi lazima uchukue tahadhari zote. Kenya walikuwa sahihi sana na sio kuweka watu rehani kama alivyofanya magu. Sasa baada ya ugonjwa kuanza kueleweka namna zake ndio hata mataifa makubwa yanafungua. Mnadanganyika kirahisi sana watanzania.
Nilitaka ku comment nimeacha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wote walifunga lilikuwa zoezi la muda .jiulize nchi kama italy nk wamefungua kwa sababu ya tz?
Sasa unalinganisha kenya na Italy?
Tatizo ni kwamba kiongozi wa nchi hana msimamo wa kwake ila anaiga wengine wanafanyaje bila kuzingatia utofauti wa mazingira kati ya kenya na hizo nchi zingine. Wote mmemsikia sababu aliyotoa ili kufungua uchumi. Amesema serikali zingime na nchi nyingine zinafungua kwa hiyo na sisi hatuwezi kuendelea ...... Haupaswi kufungua kwa sababu wengine wamefungua! Ukifanya hivyo inaonyesha ulifunga kwa sababu wengine walifunga!
Kwa hiyo hao wengine unaowaiga wakiamua kufunga tena na kenya italockdown tena!!!
 
Sawa kabisa labda itakua kiswahil kinawasumbua ndio maana hawaielewi , Yani Rais ajui anachofanya kwasababu gani sawasawa yeye mshabiki tu wa lockdown maana wazungu kesho wakisema tunafunga kuanzia saa 6 mchana nao watasema hivyo hivyo
Sasa unalinganisha kenya na Italy?
Tatizo ni kwamba kiongozi wa nchi hana msimamo wa kwake ila anaiga wengine wanafanyaje bila kuzingatia utofauti wa mazingira kati ya kenya na hizo nchi zingine. Wote mmemsikia sababu aliyotoa ili kufungua uchumi. Amesema serikali zingime na nchi nyingine zinafungua kwa hiyo na sisi hatuwezi kuendelea ...... Haupaswi kufungua kwa sababu wengine wamefungua! Ukifanya hivyo inaonyesha ulifunga kwa sababu wengine walifunga!
Kwa hiyo hao wengine unaowaiga wakiamua kufunga tena na kenya italockdown tena!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si suala ugonjwa kutokufahamika wala suala la kuweka watu rehani bali uchambuzi makini wa ipi njia sahihi inayowezekana ukitilia maanani mazingira halisi ya nchi husika. Lakini kitu kilichomtofautisha Magufuli na marais wengine ni uwezo wake wa kumtegemea Mungu. Mungu ndiye anajua mwisho kutokea mwanzo, ukimtegemea atakupa maamuzi sahihi. Credit ya haki ya Magufuli ni ya kumtegemea Mungu na utukufu wote anapewa Mungu. Na yeye anajua hivyo, ndiyo maana kama mwanzo alivyoagiza siku tatu za maombi ya kufunga wakati tatizo limeingia pia ameagiza siku tatu za maombi ya kumshukuru Mungu!!
Huwezi kufanana na mtu anayemtegemea Mungu!!
 
Back
Top Bottom