Rais Kikwete afanya mazungumzo na Diamond na kukubidhiwa CD ya nyimbo zake

Rais Kikwete afanya mazungumzo na Diamond na kukubidhiwa CD ya nyimbo zake

heaven on desert

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2013
Posts
1,025
Reaction score
393
president akikabidhiwa cd.jpg

10419817_10152912602540283_921242297_n.jpg



Diamond bado yupo nchini MarekaNI ,Alikoenda kwa ajili ya maonyesho ya Mziki, na kesho anatarajia kurudi nyumbani, tayari kwa safari ya SA kwenye tuzo za MTV. Mojawapo ya mambo mema yaliyotokea ni pamoja na Raisi Kikwete kukutana na Diamond, kufanya mazungumzo na moja ya kile walichozungumza ni namna ya Kumpa sapoti kwenye nyanja za kimataifa,na mwisho Diamond alimkabidhi Raisi cd yenye nyimbo zake zote na rais aliomba kupewa na namba za Diamond.

Ahsanteni, Nalog out


(kwa kinatomaso hizi hapa links za video za matukio hayo yote :

https://www.facebook.com/photo.php?v=10152913275590283&set=vb.631880282&type=2&theater

https://www.facebook.com/photo.php?v=10152913272855283&set=vb.631880282&type=2&theater

https://www.facebook.com/photo.php?v=10152913267130283&set=vb.631880282&type=2&theater
 
Hongera Diamond! Lakini mkuu heaven on desert huwa una haribu nyuzi zako mwenyewe kwa kuweka mambo yasiyo ya msingi kabisa.
Hivi kweli unafikiri kuna mtu atabisha kuwa Diamond ajaonana na Jk?

Duu kuna mambo hata ukishauriwa sijui kwanini huachi?
Una kichwa kigumu sana kama changu......
 
Last edited by a moderator:
Hongera Diamond! Lakini mkuu heaven on desert huwa una haribu nyuzi zako mwenyewe kwa kuweka mambo yasiyo ya msingi kabisa.
Hivi kweli unafikiri kuna mtu atabisha kuwa Diamond ajaonana na Jk?

Duu kuna mambo hata ukishauriwa sijui kwanini huachi?
Una kichwa kigumu sana kama changu......
Nionyeshe nilipoandika neno "nani anabisha kuwa Diamond hajaonana na Kikwete" hii ni habari kama habari nyingine,kwani watnzania wote mlikuwa eneo la tukio kuwa mnazotaarifa hizi?acha kunitia hasira nionekane nina majibu mabaya bure,ndio mana Diamond huwa hajibu coments za watu kwa sababu ya watu kama wewe..mtu atakujibu vibaya aharibu CV.
 
Last edited by a moderator:
Hongera Diamond! Lakini mkuu heaven on desert huwa una haribu nyuzi zako mwenyewe kwa kuweka mambo yasiyo ya msingi kabisa.
Hivi kweli unafikiri kuna mtu atabisha kuwa Diamond ajaonana na Jk?

Duu kuna mambo hata ukishauriwa sijui kwanini huachi?
Una kichwa kigumu sana kama changu......
Hebu andika wewe vile wewe unaona ndio sahihi .
 
Last edited by a moderator:
kumbe safari za kwa obama unaachwa kariakoo tu? kwahiyi wewe route zako unachukuliwa zile za mtwara na nairobi?
 
Kweli rais wetu ana kazi nyingi, ndiyo maana mara nyingine huwa anatafsirika vibaya, angemwambia tu "aisee dogo tukirudi home hebu tuonane" hawa hapa sawa
 

Attachments

  • 1401723139431.jpg
    1401723139431.jpg
    22.5 KB · Views: 1,192
  • 1401723167146.jpg
    1401723167146.jpg
    47.8 KB · Views: 1,193
  • 1401723189790.jpg
    1401723189790.jpg
    8.1 KB · Views: 1,182
  • 1401723218346.jpg
    1401723218346.jpg
    54.4 KB · Views: 1,178
Nionyeshe nilipoandika neno "nani anabisha kuwa Diamond hajaonana na Kikwete" hii ni habari kama habari nyingine,kwani watnzania wote mlikuwa eneo la tukio kuwa mnazotaarifa hizi?acha kunitia hasira nionekane nina majibu mabaya bure,ndio mana Diamond huwa hajibu coments za watu kwa sababu ya watu kama wewe..mtu atakujibu vibaya aharibu CV.
Pengine haya maandishi yako yameonesha hutulii na kusoma upya unacho kiandika.

Hebu niambie Maana ya Tomaso.

Huna sababu ya kuleta habari na kuingiza maneno ambayo yataugeuza mjadala.

Mimi sitaacha kukushauri kubadilika na sikutegemea kuwa utabisha katika hili.

Jenga mtindo wa kusoma habari zako kabla ya kuzipost, unashindwa kujua kitendo cha kutumia neno Tomaso linaweza kubadili mjadala.

Wewe ni kijana mdogo una muda wa kubadilika.

Samahani lakini.
 
Pengine haya maandishi yako yameonesha hutulii na kusoma upya unacho kiandika.

Hebu niambie Maana ya Tomaso.

Huna sababu ya kuleta habari na kuingiza maneno ambayo yataugeuza mjadala.

Mimi sitaacha kukushauri kubadilika na sikutegemea kuwa utabisha katika hili.

Jenga mtindo wa kusoma habari zako kabla ya kuzipost, unashindwa kujua kitendo cha kutumia neno Tomaso linaweza kubadili mjadala.

Wewe ni kijana mdogo una muda wa kubadilika.

Samahani lakini.
Kumbe povu lote kisa ni hicho,huo ni utani tu,wangapi hapa huandikaga weka picha or weka video..Acha zako bana..usijione una ushauuri kwenye hakuna ,sijaona hapo kilichokututumua utoe eti ushauri
 
Kumbe povu lote kisa ni hicho,huo ni utani tu,wangapi hapa huandikaga weka picha or weka video..Acha zako bana..usijione una ushauuri kwenye hakuna ,sijaona hapo kilichokututumua utoe eti ushauri

Ukiwafata watz utapasuka tu,so na mimi ukicoment upuuzi na mimi nawajibu kipuuzi,coz hamanaga jema hata mtu ufanye nini
 
Kweli rais wetu ana kazi nyingi, ndiyo maana mara nyingine huwa anatafsirika vibaya, angemwambia tu "aisee dogo tukirudi home hebu tuonane" hawa hapa sawa

Hata wangeonana huku ,mngekosa baya la kusema basii!!
 
kumbe safari za kwa obama unaachwa kariakoo tu? kwahiyi wewe route zako unachukuliwa zile za mtwara na nairobi?

Unauhakika ..aah miTz mingine bana ..wacha mi nijiandae..safari ya SA-mtv Kesho kutwa tu... endeleeni kubisha ntakuja
 
Kumbe povu lote kisa ni hicho,huo ni utani tu,wangapi hapa huandikaga weka picha or weka video..Acha zako bana..usijione una ushauuri kwenye hakuna ,sijaona hapo kilichokututumua utoe eti ushauri

Samahani kwa kukukwaza.
na hayo maneno ni batili kuanzia sasa.
 
Kisura achana nao hao! Mwambie mkurugenzi kila la kheri kwenye hizo tunzo za jumamosi!
 
Back
Top Bottom