Rais Kikwete afanya mazungumzo na Diamond na kukubidhiwa CD ya nyimbo zake

Rais Kikwete afanya mazungumzo na Diamond na kukubidhiwa CD ya nyimbo zake

Hata wangeonana huku ,mngekosa baya la kusema basii!!

At least wangeongelea bongo tungeongea mengine kabisa tofauti na haya, mbona tumezoea kuwaona wote jukwaani bongo hii hii na hatuchongi kivile? Ila hii ya ilala na temeke kukutania new york ndiyo inayo tunoa midomo na kutufanya tubwabwaje humu.
 
Daa Tanzania Raisi tumekosa

Hata raia awaje watanzania amridhiki sijui mpate wa aina ghani mtaridhika....kwani kuna ubaya ghani raia kujichanganya na wasanii au watu maarufu? Au mnamtaka awe kama yule babu wa kusini kabla yake.....
 
Hata raia awaje watanzania amridhiki sijui mpate wa aina ghani mtaridhika....kwani kuna ubaya ghani raia kujichanganya na wasanii au watu maarufu? Au mnamtaka awe kama yule babu wa kusini kabla yake.....


Tanzania kila kitu tumekosa hadi wafikiriaji !
 
Domo anafanikisha biashara ya mwanae,hakuna jipya
 
pole lutashobya na ushauri wote bado anakutusi
 
Nionyeshe
nilipoandika neno "nani anabisha kuwa Diamond hajaonana na Kikwete" hii
ni habari kama habari nyingine,kwani watnzania wote mlikuwa eneo la
tukio kuwa mnazotaarifa hizi?acha kunitia hasira nionekane nina majibu
mabaya bure,ndio mana Diamond huwa hajibu coments za watu kwa sababu ya
watu kama wewe..mtu atakujibu vibaya aharibu CV.

Sasa ulipotumia kauli, "Akina Tomaso", ulimaanisha nini kama sio wabishi wanaoamini kwa vithibitisho?
 
Ukiwafata watz utapasuka tu,so na mimi ukicoment upuuzi na mimi nawajibu kipuuzi,coz hamanaga jema hata mtu ufanye nini

Kosa lako n moja kijana, huna shule kichwani mwako.. Lait ungekuwa na shule usingeachwa na huyo unaempigia promo huku angemov naww popote pale aendapo ili uweze mtangaza vzur..,,rud darasan muda bdo unao HOD


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
Back
Top Bottom