Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 12,340
- 16,383
Hata wangeonana huku ,mngekosa baya la kusema basii!!
View attachment 162153hahaha mzee bana huwa akifika air port anawaulizi nini
Subiri kuna na ya tyson nawaletea
Daa Tanzania Raisi tumekosa
Hata raia awaje watanzania amridhiki sijui mpate wa aina ghani mtaridhika....kwani kuna ubaya ghani raia kujichanganya na wasanii au watu maarufu? Au mnamtaka awe kama yule babu wa kusini kabla yake.....
hilo shati la jk...mmmh.!
na rais aliomba kupewa na namba za Diamond.
View attachment 162153hahaha mzee bana huwa akifika air port anawaulizi nini
Subiri kuna na ya tyson nawaletea
Will you come home and teach us how to play ball??? Thats a tax free investment...
Nionyeshe
nilipoandika neno "nani anabisha kuwa Diamond hajaonana na Kikwete" hii
ni habari kama habari nyingine,kwani watnzania wote mlikuwa eneo la
tukio kuwa mnazotaarifa hizi?acha kunitia hasira nionekane nina majibu
mabaya bure,ndio mana Diamond huwa hajibu coments za watu kwa sababu ya
watu kama wewe..mtu atakujibu vibaya aharibu CV.
Ukiwafata watz utapasuka tu,so na mimi ukicoment upuuzi na mimi nawajibu kipuuzi,coz hamanaga jema hata mtu ufanye nini