Rais Kikwete afanya uteuzi wa Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu watano wapya

Rais Kikwete afanya uteuzi wa Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu watano wapya

nilishasema mtavimba mpaka mtapasuka bure,,,,na mkiindeleza kilomolomo atateua hadi tarehe 30,,,,just to prove a point...



Wewe unakosa hekima sawa na huyo JK! Mkuu lakini sikulaumu sana kwani hapo unapata kinywaji gani vile?
 
Sheria inaendana na busara. Dibagula, alipofungwa kule Morogoro, sheria ilifuatwa. Akahukumiwa; lakini mazingira ya uvunjifu wa amani uliifanya Mahakama ya juu ione busara ya kufuta kabisa ile hukumu kwa mkosaji. Unachoona hapo ni kwamba pamoja na sheria kuwa ilitumika vizuri, bado busara ilitawala na ikaifanya nchi ikatulia.
Kwa hili la JK kuendelea na uteuzi hadi dakika za majeruhi ni kweli Kikatiba yuko sahihi, lakini busara inagoma kabisa! Huwezi kuwa unajindaa kuondoka madarakani wiki moja ijayo halafu ukaunda safu unazotaka wewe. Hii ni gharama. Kumbuka, huyo anayekuja anaweza kupangua wote hao, na wakalipwa mafao! Mzigo ni kwa mwananchi maskini. Yeye atakuwa anakula maisha yake ya ustaafu kama kawaida. Fikiria, mtu dhaifu kabisa kama Kipande anampa madaraka baada ya kuvuruga Bandari! Huyu Rais ni wa pekee, si kwa Afrika Mashariki na Kati pekee, bali ulimwengu mzima. Tulipomuunga mkono mwaka 2005 hatukujua tunaunga mkono aina hii ya kiongozi! Mungu atusamehe. Watanzania watusamehe, na zaidi ya wote; Dk. Salim Ahmed Salim atusamehe!!





JF haiwezekani kabisa hii account imekuwa hacked tu ! Admin ebu fuatilieni hapa! Mkuu tuambizane basi kama huko kwengine huwa Unasaka tonge tu!
 
Yaani wengine tulikuwa hatujui kama hii katiba inamanufaa kwa mtu mmoja sio watanzania. Mmmmh sijui tutafika wapi!
 
Maswi karudi tena? nimeamini huyu jamaa sio mzima kichwani na hakitakii mema chama chake!
Maswi kapelekwa Kifungoni (RAS) kwa ajili ya madudu yake katika ESCROW, na Omary Chambo aliekua kifungoni ndio kamaliza adhabu na kurudi kwenye Ukatibu. Pia Engineer Madeni Kipande nae kapelekwa kifungoni (RAS) sababu ya madudu yake pale bandarini.
 
Hivi Kipande kazi yote alofanya kudhibiti wizi bandarini leo mwatwambia alifanya madudu?hivi nyie ni watu makini kweli?am a kweli mfa maji wa pwani kufa maji ni mazoea.
 
Yote yanafanywa kwa mujibu wa sheria.

Hakuna Raıs mzurı km Kikwete ukimwacha Nyerere.

Ni haki yake kisheria, lakini kibusara ninashaka.

Kuna watu mko mambumbu sana alafu eti mnataka kuongoza dola,dah!

busara ipi iliyokiukwa hapo?,,,,tatizo la bavicha bana ni ushabiki uliopitiliza,,,sasa hapa jk amekiuka busara ipi hasa?hebu tufafanulie....



tatizo lingine la bavicha ni wivu wa kike,,,,,

Unaumwa. Nenda kapate vipimo

Dah! mambo mengine unahitaji siku kadhaa ili uweze kuelewa kama haya ni mawasiliano na binadamu wa umri gani. Kwa ujumla Serikali ipo na inafanyakazi kwa mjibu wa sheria, tatizo ni matumizi ya sheria yanapohitaji uwezo wa kufikiri.

Sheria humpa madaraka mtu kwa kuamini mtu huyo ana akili timamu. Tatizo ni pale anayetumia sheria, anaposhindwa kutumia akili! Hapa ktk uteuzi, halikuwa jambo la kutimiza sheria tu, ni jambo la kutumia akili pia. Je, akili ilitumika?
 
huyu kalobelo si alikuwa RAS katavi !???!ila ni jembe sana uyu bwana Emmanuel!
 
Hivi akili nayo huwa na tezi??
Sijawahi mpenda huyu mzee
Leave In Pieces.
 

Attachments

  • 1449909894685.jpg
    1449909894685.jpg
    36.5 KB · Views: 350
Back
Top Bottom