Rais Kikwete afanya uteuzi wa Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu watano wapya

nilishasema mtavimba mpaka mtapasuka bure,,,,na mkiindeleza kilomolomo atateua hadi tarehe 30,,,,just to prove a point...



Wewe unakosa hekima sawa na huyo JK! Mkuu lakini sikulaumu sana kwani hapo unapata kinywaji gani vile?
 





JF haiwezekani kabisa hii account imekuwa hacked tu ! Admin ebu fuatilieni hapa! Mkuu tuambizane basi kama huko kwengine huwa Unasaka tonge tu!
 
Yaani wengine tulikuwa hatujui kama hii katiba inamanufaa kwa mtu mmoja sio watanzania. Mmmmh sijui tutafika wapi!
 
Maswi karudi tena? nimeamini huyu jamaa sio mzima kichwani na hakitakii mema chama chake!
Maswi kapelekwa Kifungoni (RAS) kwa ajili ya madudu yake katika ESCROW, na Omary Chambo aliekua kifungoni ndio kamaliza adhabu na kurudi kwenye Ukatibu. Pia Engineer Madeni Kipande nae kapelekwa kifungoni (RAS) sababu ya madudu yake pale bandarini.
 
Hivi Kipande kazi yote alofanya kudhibiti wizi bandarini leo mwatwambia alifanya madudu?hivi nyie ni watu makini kweli?am a kweli mfa maji wa pwani kufa maji ni mazoea.
 
Yote yanafanywa kwa mujibu wa sheria.

Hakuna Raıs mzurı km Kikwete ukimwacha Nyerere.

Ni haki yake kisheria, lakini kibusara ninashaka.

Kuna watu mko mambumbu sana alafu eti mnataka kuongoza dola,dah!

busara ipi iliyokiukwa hapo?,,,,tatizo la bavicha bana ni ushabiki uliopitiliza,,,sasa hapa jk amekiuka busara ipi hasa?hebu tufafanulie....



tatizo lingine la bavicha ni wivu wa kike,,,,,

Unaumwa. Nenda kapate vipimo

Dah! mambo mengine unahitaji siku kadhaa ili uweze kuelewa kama haya ni mawasiliano na binadamu wa umri gani. Kwa ujumla Serikali ipo na inafanyakazi kwa mjibu wa sheria, tatizo ni matumizi ya sheria yanapohitaji uwezo wa kufikiri.

Sheria humpa madaraka mtu kwa kuamini mtu huyo ana akili timamu. Tatizo ni pale anayetumia sheria, anaposhindwa kutumia akili! Hapa ktk uteuzi, halikuwa jambo la kutimiza sheria tu, ni jambo la kutumia akili pia. Je, akili ilitumika?
 
huyu kalobelo si alikuwa RAS katavi !???!ila ni jembe sana uyu bwana Emmanuel!
 
Hivi akili nayo huwa na tezi??
Sijawahi mpenda huyu mzee
Leave In Pieces.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…