Rais Kikwete afuate ushauri wa Dr Kitila Mkumbo kuhusu Katiba Mpya na kufunika mengi la sivyo...

Rais Kikwete afuate ushauri wa Dr Kitila Mkumbo kuhusu Katiba Mpya na kufunika mengi la sivyo...

La sivyo, hatakuwa na historia nzuri. Sisi chadema hatutaki kumwaga damu na hatuna historia hiyo. Kumbu kumbu zote za umwagaji damu zimekihusisha serikali ama Jeshi la Polisi, hakuna mahali ilipohusisha chadema. Tuko pamoja nadhani.
Mikael P Aweda
Historia nzuri ni kuifurahisha Chadema? Maana mpaka sasa hivi mamilioni ya watanzania wana imani na utendeji wake wa kazi! Kwa kumalizia mh. Raisi haihitaji ushauri wa Kitila Mkumbo kwanza kama nani yeye amshauri raisi? Wapo watendaji serikalini na ndani ya CCM wanalipwa kwa kazi kumshauri raisi; haithitaji msaada wa watu wenye uduni wa fikra!
 
-mussa tesha alimwagiwa tindikali na henry kileo na makada wenzake wa chadema huko igunga
-denis msaki nusura alishwe sumu na viongzi waandamizi wa chadema wakiongozwa na mkurugenzi wa ulinzi na uhasama chadema hq.
-ben sanane kada wa chadema mitandaoni akafanya mipango ovu ya kumlisha zitto sumu

Hilo na mengine mengi mnayoisingizia CDM YAPO MAHAKAMANI NA HADI SASA si ccm w,serikali na polisi wenu au hata wewe hapo aliyeweza kuthibitisha. Kwa akili zenu za kiccm mlidhani mkiua watu kwa mabomu na kusingizia cdm ndio itakuwa msaada kwenu msipotee katika historia ya TANZANIA. IMEKULA KWENU NA ZAIDI MNAZIDI KULAANIWA KWA MAUAJI MNAYOFANAY.
 
Binafsi hata wewe sijaona ulichochangia zaidi ya kulalamika kama mchezaji ambaye timu yake imeshindwa halafu anaanza kumlaumu au kumuomba refa amsaidie timu yake ishinde.

Nimeipenda miguu yako kwenye avatar
 
Urais ni taasisi siyo mawazo ya Rais Kikwete.

Huo ushauri ingekuwa vyema kama angeupeleka kwa Warioba ambaye ndiyo kiongozi wa tume ya katiba.
 
Mikael P Aweda
Historia nzuri ni kuifurahisha Chadema? Maana mpaka sasa hivi mamilioni ya watanzania wana imani na utendeji wake wa kazi! Kwa kumalizia mh. Raisi haihitaji ushauri wa Kitila Mkumbo kwanza kama nani yeye amshauri raisi? Wapo watendaji serikalini na ndani ya CCM wanalipwa kwa kazi kumshauri raisi; haithitaji msaada wa watu wenye uduni wa fikra!
Mkuu chama.

Inashangaza sana Watanzania zaidi ya milioni 45 wote wafuate mawazo ya Kitila Mkumbo kisa katoka Chadema.
 
Last edited by a moderator:
Ungemalizia tu kwamba la sivyo damu itamwagika kwa sababu nyie kumwaga damu mnaona ndiyo ukombozi.

Kwa nini unamlisha maneno mwenzio, kama ndio sera zenu kichinichini si uziseme tu, mmekariri mafundisho ya communication skills/marketing kuwa ukirudia rudia neno au jambo basi linakaa akilini mwa watu/wateja! ujue rudia yenu iko tofauti sana, hamuwezi katu kutuuzia idea zenu za kuua na kubambikia wengine, forget it, ha tu da nga nyi ki
 
Mkuu chama.

Inashangaza sana Watanzania zaidi ya milioni 45 wote wafuate mawazo ya Kitila Mkumbo kisa katoka Chadema.

Mkuu Ritz
Kamanda Mikael P Aweda ameamua kumkosea heshima raisi na watanzania kwa ujumla yaani Kitila Mkumbo ampe ushauri raisi?? Yaani huyo jamaa hata kutoa ushauri kwa diwani wa kata hafai eti leo ampe ushauri mh. Kikwete; hawa makamanda akili zao sielewi wameziweka poni duka gani; ushauri angeanza kuutoa huko Chadema wanakotia mimba wabunge wa viti maalum na vizee vinavyoendekeza ngono na kuishi na vimamda yaani pale pale Togo pananuka zinaa tupu angeanza kule kwanza tukaona umahiri wake .
 
Mtu mwnyewe wa kutoa ushauri kwa rais kitila mtu ambaye kila siku analalamika hata suruhu ya maswala yake binafsi kashindwa ataweza kumpa ushauri rais.
 
Mkuu chama.

Inashangaza sana Watanzania zaidi ya milioni 45 wote wafuate mawazo ya Kitila Mkumbo kisa katoka Chadema.
Mkuu inashangaza kweli kitila alienda siku moja singida kwenye jimbo la mwigulu jamaa alichoongea utacheka kichwa chake hakina kitu ndani yake hata bavicha yao hawezi kuingoja,

Kitila ni janga sugu la wazawa.
 
Mkuu inashangaza kweli kitila alienda siku moja singida kwenye jimbo la mwigulu jamaa alichoongea utacheka kichwa chake hakina kitu ndani yake hata bavicha yao hawezi kuingoja,

Kitila ni janga sugu la wazawa.


Huyo Dr Kitila Mkumbo unayemsema ndo huyu huyu anayeongea points tupu kwenye tv tunayemsikiliza kila wakati? Kama ni huyo sijakuelewa, labda hukupenda points zake.
 
Huyu Dr. Kitila Mkumbo mbona hatujamuona hata kwenye kundi la CHADEMA linalokwenda kuonana na Rais kutoa dukuduku zao kuhusiana na Katiba Mpya?.

Yaani Rais achukue ushauri wa kada wa CHADEMA anayetoa kupitia magazeti zaidi ya ule wa wanaokwenda kumuona uso kwa uso. This is fun!.

Kama huyu Dr. Kitila Mkumbo angekuwa ana heshimika kwa ugwiji wa mawazo na fikra ndani ya CHADEMA achilia mbali kwa Tanzania, kwa nini chama chake CHADEMA hakikumuweka kwenye jopo lake la constitution expert team ili naye akanywe "juice na chai" na Rais Ikulu.

Hawa hapa chini ndiyo watu ambao CHADEMA imeona wanafaa sana kwenda kuonana na Rais na kutoa mawazo yao uso kwa uso ikitambua kuwa mawazo yao yatasikilizwa na Rais Kikwete.

Inaonekana wewe kada wa CHADEMA unaidharau sana CHADEMA kwa kuwatuma hawa viongozi hapa chini kwenda kutoa mawazo ya CHADEMA kwa Rais Kikwete Ikulu
CHADEMA-Ikulu-leo.jpg
 
Huyo Dr Kitila Mkumbo unayemsema ndo huyu huyu anayeongea points tupu kwenye tv tunayemsikiliza kila wakati? Kama ni huyo sijakuelewa, labda hukupenda points zake.
Hivi kuisifia Chadema ndiyo kuongea points?
 
Hivi kuisifia Chadema ndiyo kuongea points?
Dr kitila huwa anatoa hoja za kitaalam, haendi kwa niaba ya chadema. this week in perspective alikochemsha naibu spika ni jukwaa la siasa? huko ndiko kitila anakoonesha umahiri wake na wla mimi sijamjadili kitila kiitikadi hapa.
 
Mikael
P Aweda

Historia nzuri ni kuifurahisha Chadema? Maana mpaka sasa hivi mamilioni
ya watanzania wana imani na utendeji wake wa kazi! Kwa kumalizia mh.
Raisi haihitaji ushauri wa
Kitila
Mkumbo
kwanza kama nani yeye amshauri raisi? Wapo watendaji
serikalini na ndani ya CCM wanalipwa kwa kazi kumshauri raisi;
haithitaji msaada wa watu wenye uduni wa fikra!

mkuu ushauri unatolewa na mtu ye yote. suala ni je, jk atawafurahisha wanaccma au watz? hawezi kuwaridhisha wote na lazima achague jambo moja. hii ndo hoja yangu kwa leo
 
Hivi nyie CDM katiba mpya mnaishadadia kwa nini? Acheni hii katiba tuliyonayo iendelee na nina hakika kwa katiba hii hii CDM itashinda uchaguzi 2015. Hivyo mtakapochukua uongozi wa nchi muitumie katiba hii hii kuwapiga maccm kwa kipindi cha miaka kumi ndiyo mfikirie kuunda katiba mpya kwa kuwahurumia maccm kama bado watakuwapo.

KUTESA KWA ZAMU
 
mkuu ushauri unatolewa na mtu ye yote. suala ni je, jk atawafurahisha wanaccma au watz? hawezi kuwaridhisha wote na lazima achague jambo moja. hii ndo hoja yangu kwa leo

Ni kweli ushauri unatolewa na mtu yoyote lakini sio kutoka kwa watu wenye uduni wa fikra kama nyie mnao utaratibu wa kupokea ushauri kutoka kwa watu wenye matatizo ya akili nyie endeleeni na utaratibu huo haishangazi sana kuona jinsi mambo yanavyokwenda ovyo ndani ya Chadema kama washauri wenyewe ndio hao!
 
Mkuu inashangaza kweli kitila alienda siku moja singida kwenye jimbo la mwigulu jamaa alichoongea utacheka kichwa chake hakina kitu ndani yake hata bavicha yao hawezi kuingoja,

Kitila ni janga sugu la wazawa.

Nawapa pole sana wanafunzi wa UDSM maana kama walimu wenyewe ndio wa mtindo ule basi ni balaa tupu!
 
Dr kitila huwa anatoa hoja za kitaalam, haendi kwa niaba ya chadema. this week in perspective alikochemsha naibu spika ni jukwaa la siasa? huko ndiko kitila anakoonesha umahiri wake na wla mimi sijamjadili kitila kiitikadi hapa.
Sasa umahiri wake kwa nini asiupeleke Chadema, juzi ujumbe wa Chadema ulikwenda Ikulu mbona atukumuona au viwanja vyake TBC 1 kwenye This week in perspective.
 
Back
Top Bottom