Rais Kikwete afuate ushauri wa Dr Kitila Mkumbo kuhusu Katiba Mpya na kufunika mengi la sivyo...

Rais Kikwete afuate ushauri wa Dr Kitila Mkumbo kuhusu Katiba Mpya na kufunika mengi la sivyo...

Kati ya mabo magumu kwa kikwete ni kutaka kufurahisha kila mtu. Anataka aliyeko sahihi na siye sahihi wote awafurahishe. Anataka ku balance pandembili na zote zibaki zikimpenda! Hilo ni jambo gumu sana kwa kiongozi!
 
Ni kweli ushauri unatolewa na mtu yoyote lakini sio kutoka kwa watu wenye uduni wa fikra kama nyie mnao utaratibu wa kupokea ushauri kutoka kwa watu wenye matatizo ya akili nyie endeleeni na utaratibu huo haishangazi sana kuona jinsi mambo yanavyokwenda ovyo ndani ya Chadema kama washauri wenyewe ndio hao!

Mkuu Rais Kikwete atachagua kufurahisha watanzania au ccm. Atachagua lipi? Hawezi kuchagua vyote kwa wakati mmoja. Hii ndo mada
 
mwambie mbowe aache ufisadi. kwann anajenga makasri nje ya nchi?? hizo hela ameiba wapi

Hii habari iko kwenye thread nyingine, hapa tunauliza JK atachagua kufurahisha watazania au wanaccm tu? Maana yeye anataka kuwafurahisha wote jambo lisilowezekana.
 
Mkuu Rais Kikwete atachagua kufurahisha watanzania au ccm. Atachagua lipi? Hawezi kuchagua vyote kwa wakati mmoja. Hii ndo mada

Mh. Kikwete sio raisi wa CCM ni raisi wa watanzania wote tatizo lako ni hili la kulazimisha vichaa kumshauri raisi!
 
Mh. Kikwete sio raisi wa CCM ni raisi wa watanzania wote tatizo lako ni hili la kulazimisha vichaa kumshauri raisi!

Kama Dr Kitila Mkomba unamfananisha na Kichaha basi kwa leo nimesitisha mjadala wa aina yo yote na wewe. This is too much for me.
 
Kama Dr Kitila Mkomba unamfananisha na Kichaha basi kwa leo nimesitisha mjadala wa aina yo yote na wewe. This is too much for me.

Hivi kwa fikra zako unafikiri kichaa lazima avae gunia? Kwa leo kaa chini utafakari lakini hizi tabia zenu za kulazimisha watu wasio na hekima kumpa ushauri raisi hatuzitaki ajabu yenyewe hata Chadema hamtaki ushauri wake iweje leo hii ulazimishe ampe ushauri mh. Kikwete?
 
Back
Top Bottom