robinson crusoe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2020
- 762
- 1,236
Bei ya Kikwete ilikuwa ndogo sana ktk kiti cha uraishakuna mtu yoyote ambaye angeweza kukubali hata kama ni ukweli unaojulikana. amefanya alichotakiwa kufanya KUKATAA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei ya Kikwete ilikuwa ndogo sana ktk kiti cha uraishakuna mtu yoyote ambaye angeweza kukubali hata kama ni ukweli unaojulikana. amefanya alichotakiwa kufanya KUKATAA.
Aisee .sikuwahi kuona taarifa ya Ikuku kipind cha Jk..huyu mwandishi wake..hakika alikuwa hajui kuandika taarifa ..na nina uhakika hakuwa mwandishi wa habariRais Kikwete akiwa Marekani ameongea na watanzania na kukanusha madai kuwa alimuokoa mwanae Ridhiwani nchimi China baada ya kukutwa na dawa za kulevya.
Rais amesema huo ni upuuzi na hawezi kuongelea upuuzi wa aina hiyo ambao ni uzushi usio na maana.
JK pia amewaambia watanzania waishio marekani kuwa sio kweli kwamba kusainiwa mikataba 12 kati ya Tanzania na China ilikuwa ni sehemu ya masharti yaliyotolewa na China wakati wa kumuachia Ridhiwani.
![]()
=======================================
Bora huko kuliko kuishi kwenye zama za wasiojulikanaPole pole tunarudi tulikotoka
Hawezi kukubali, japo huo ndio ukweliUlitegemea akubali?
... kwema kaka?Katika maombi mengi kwa Samia, tunaomba pia achunguze tabia ya Kikwete na mwanae juu ya madawa ya kulevya.
Kama madigala wa unga ni mawaziri hivi unategemea nini kweli?Haya madawa yatamwacha mtu au tutegemee mitoto kinondoni kusinzia hovyo
hakuna mtu yoyote ambaye angeweza kukubali hata kama ni ukweli unaojulikana. amefanya alichotakiwa kufanya KUKATAA.
hakuna mtu yoyote ambaye angeweza kukubali hata kama ni ukweli unaojulikana. amefanya alichotakiwa kufanya KUKATAA.
......``Haya ni maneno ya kipuuzi.....ni kuota jinsi ya kuyumbisha ajenda yetu ambayo imefanikiwa sana katika kubadilisha hali ya maisha ya Watanzania"_ jamani, ni maisha yapi hayo yamebadilishwa?