Rais Kikwete akanusha kumuokoa Ridhiwani katika kesi ya dawa za kulevya China

Aisee .sikuwahi kuona taarifa ya Ikuku kipind cha Jk..huyu mwandishi wake..hakika alikuwa hajui kuandika taarifa ..na nina uhakika hakuwa mwandishi wa habari
 
Haya madawa yatamwacha mtu au tutegemee mitoto kinondoni kusinzia hovyo
 
Sijui kama maombi haya ameyafanyia kazi au ndo nikomoeni na miradi ya waarabu.
 
Hehehehe kutoka katika hii kashfa mpaka kuwa Waziri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…