Rais Kikwete amethibitisha kuwa ni kigeugeu na ndumilakuwili

njaa za ufipa ndio zimemfanya mleta mada ajidhalilishe hapa jukwaani

dr slaa ndio kigeugeu namba moja afrika

hasira ya mleta ni kutokana na dalili za serikali nyiiiingiiiiiiiiiii kuyeyuka. msimamo ni 2 gov only. hutaki unaacha. acheni njaa zenu madaraka hayaji kwa serikali nyingi

mporaji wa wake za watu slaa ni janga la taifa

Hakika Rais Kikwete ni mtu wa kukumbukwa Tanzania hii. Amekuwa mwepesi wa kusifia mambo yanapienda vizuri na amekuwa mwepesi wa kukosoa yanapoharibika. Ndivyo alivyofanya kwenye tume ya Warioba


Suala la kuchela msibani inategemea ni msiba wa nani huo. Makabila mengine kama wenzangu wajaluo wanageuza misiba kuwa sherehe. Nadhani hata wajita ni hali hiyo. Hapo Muziki hupigwa na pombe hunywewa

Bahati nzuri watu wa Lumumba tunachangia kwa hoja. Tumejibu hoja zenu zote. Kama mna jipya leteni

:A S 13::juggle::rain:
 
Hivi J.M akimaliza muda wake na wewe kazi itakuwa ndiyo imekwisha au utaendelea kupiga debe kwa huyu Rais mwingine ajae??
Kwa bahati nzuri huku Lumumba hatushabikii watu. Tunashabikia viongozi wanaosimamia vema sera za chama chetu. Ni tofauti na misukule ya Kinondoni
 
dr slaa ndio kigeugeu namba moja afrika

hao ndiyo watanzania bana, walipewa nafasi ya kuchagua rais wa kuwaongoza 2005 na 2010 wakaona huyo mzu.ruraji wa m..soga ndiye anawafaa acha wakome! uongozi wa jk ni sawa na kutungika koti koti kwenye kiti cha manager halafu ukajidanganya kuwa una mtendaji humo ofisi! ha ha ha, it is just a disaster!
 
na wala makombo kama utaifakwanza wao kazi yao ni kusifia tu! wao hawaoni shida kusifia hata mizoga!
 
Nilijua unakuja na hoja kumbe yale yaleeeee!

tehe tehe tehe! watanzania bana, mlitundika koti pale ikulu halafu manjisifia eti mna kiongozi! muulize Shaka Ssali wa VOICE OF AMERICA atakuambia! a dr who doesn't know why his country is poor regardless of its riches in natural resources!
 
tehe tehe tehe! watanzania bana, mlitundika koti pale ikulu halafu manjisifia eti mna kiongozi! muulize Shaka Ssali wa VOICE OF AMERICA atakuambia! a dr who doesn't know why his country is poor regardless of its riches in natural resources!
Mnahangaika sana. Ni juzi tu viongozi wenu pale Bungeni Dodoma wamempigia makofi. Chezea JK wewe!
 
Tumekuja ndugu. Unasemaje?

Nadhani atakuwa anataka kusema uzalendo kwanza itikadi za chama baadae kama vile Warrioba na tume yake walivyofanya. Ila mimi nahisi tu atakuja kujisemea mwenyewe mwaya
 
Ndumila kuwili ni kama hawa kila siku kuvuruga bunge ili akae sana dodoma muone hapa.
 

Attachments

  • image.jpg
    113.5 KB · Views: 67
Kwa bahati nzuri huku Lumumba hatushabikii watu. Tunashabikia viongozi wanaosimamia vema sera za chama chetu. Ni tofauti na misukule ya Kinondoni

Oook, nimekuelewa Shi.vji. Chama kwanza taifa baadae, mnafurahisha sana vijana wa Lumumba
 
Nadhani atakuwa anataka kusema uzalendo kwanza itikadi za chama baadae kama vile Warrioba na tume yake walivyofanya. Ila mimi nahisi tu atakuja kujisemea mwenyewe mwaya
Jipambanue vizuri mkuu naona bado unapiga chenga unataka kusema nini kuwa wazi kabisa tukujue unasimamia nini.
 
Mkuu, hongera sana kwa ufafanuzi mzuri uliosheheni kila aina ya hoja. Kama kuna mwana CHADEMA atakuwa na uwezo japo wa kupangua nusu ya hoja zako mie narudisha kadi ya CCM mbele ya Dr Slaa
 
Ndumila kuwili ni kama hawa kila siku kuvuruga bunge ili akae sana dodoma muone hapa.

Anakunywa bia na wadau wengine, au akiwa nje ya dodoms alikuwa hana uwezo wa kunywa au kunywa bia ni kosa au kiu ndiyo inakusumbua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…