Rais Kikwete amethibitisha kuwa ni kigeugeu na ndumilakuwili

Rais Kikwete amethibitisha kuwa ni kigeugeu na ndumilakuwili

Ndumila kuwili ni kama hawa kila siku kuvuruga bunge ili akae sana dodoma muone hapa.
Tehetehetehe, yaani CHADEMA kwa uzinzi na ulevi bana! Hakika wanatia aibu. Usije kukuta huyo aliyekaa na Lissu ni mke wa mtu
 
Nadhani atakuwa anataka kusema uzalendo kwanza itikadi za chama baadae kama vile Warrioba na tume yake walivyofanya. Ila mimi nahisi tu atakuja kujisemea mwenyewe mwaya
Hivi una akili timamu kweli Mkuu? Au ndo viroba na gongo!
 
Kwa hoja alizotoa rais pmoja na shivji ni wazi kabisa ndiko tunakopaswa kwenda mengine ni ubabaishaji tu kama ule wa jaji warioba.
 
Ngoja maroboti ya Lumumba street yaje!!!
9.jpg
Ma-alien wa Lumumba??!!
 
Hapo penye rangi nyekundu, huyo ndiyo nani?
Wana JF,

Nimeonelea nilete mada hii ili kuonyesha namna kiongozi wetu Mkuu wa nchi Rais Jakaya Kiwete alivyo mnafiki,mwongo,kigeugeu na ndumila kuwili.Hoja yangu itazungumzia maeneo muhimu matatu ambayo Rais amewadhihirishia Watanzania na dunia yote kuwa ni mnafiki.

Kwanza wakti Rais Kiwete akiunda Tume ya Mabadiliko ya Katiba aliutangazia umma wa Watanzania kwamba kuna haja ya kuwa na Katiba Mpya itakayoipeleka Tanzania kwa miaka mingine 50-100. Tume iliundwa alimaarufu kama Tume ya Warioba ambayo iliafanya kazi kwa umakini na ustadi mkubwa sana. Tume ikamaliza Rasimu zote 2 na hatimaye kumkabidhi Rais Kiwete na akaisifia sana Tume hiyo.

Lakini shida imeanza kuonekana baada ya Tume kukabidhi Rasimu ya Mabadiliko ya Katiba na kufuatia kuundwa kwa Bunge Maalumu la Katiba-BMK na yeye kwenda Dodoma kulizindua Bunge hilo. Hapa ndipo Rais alianza kuonyesha rangi zake za undumila kuwili. Kile alichokizungumza Rais Kiwete Bungeni hakika hakikutarajiwa na Mtanzania yeyote mwenye kuitakia mema nchiu hii. Hotuba hii ambayo haikuwa hotuba baali kujibu mapigo kwa Tume ya Jaji Warioba na hotuba yake wakti akikabidhi Rasmu ya Tume yake.

Kila mtanzania alipigwa na bumbuazi kwa maneno hayo yaliyokuwa yamejaa kejeli,kebehi na dharau kwa Tume ya Jaji Warioba.Rais Kiwete aliisahmbulia kwa lugha ya kifedhuli na kukosoa mapendekezo yaliyomo kwenye Rasmu hiyo na hasa kipengele cha Muundo wa Serikali TATU na Ukomo wa Ubunge.

Jambo la lushangaza kabisa ni juzi alipokuwa London,Uingereza alipoongea na Watanzania na kuwaambia kuwa hana tatizo na Muundo wa Serikali 3 kama Watanzania wataamua hivo! Hapa ndipo penye unafiki wa Kiwete.Hii ilikuwa ni kauli ya ajabu sana maana ilikuwa inapingana na Hotuba yake ya Bungeni. Bungeni alitetea Serikali 2 kama msimamo wa CCM yake badala ya kutetea MAONI YA WATANZANIA 60% WANAOTAKA SERIKALI 3 KUPITIA TUME YA WARIOBA!!

Lakini pia kebehi,dharau na matusi ya Kikwete kwa Tume yaliendelezwa na Katibu wake Mkuu wa CCM Bwana Abdulrhaman Kinena alipohutubiwa wana CCM katika Viwanja vya Kidongo chekundu akihoji uhalali na umakini wa Tume ya Warioba ya kupendekeza Serikali 3. Kinena alisema kuwa kulikuwa ati na Mabaraza zaidi ya 110(ya CCM) yaliyopendekeza Serikali 2 lakini kwenye Rasimu ya Wariona haikuonyeshwa. Tume ikiulizwa inasema makabrasha yamepotea!!! Hapa Kinena alikuwa anaiponda Tume kwamba haikufanya kazi iliyotumwa baali imefanya kazi yake yenyewe!!!Ni dhahiri Kinena alikuwa nazungumza maneno haya kwa kujiamini kwa vile ndicho kilichomo ndani ya nafsi ya Kikwete!

Juzi Jaji Warioba ametupiwa virago kama kocha wa mpira aliyeshindwa kuifundisha Timu ya mpira. Ikulu ya Kiwete imedai kuwa Tume ilishamaliza kazi kwa hiyo kila mali waliyokuwa wakiitumia TUME yakiwemo magari virudishwe mara moja Ikulu.Je, kulikuwa na uharaka gani wa amri hizi za kibabe na kijeshi? Hivi kosa la Warioba na Tume yake ni kuingiza maoni ya Watanzania walio wengi kuwa wanataka Muungano wa Serikali 3?

Ni dhahiri kabiosa kuwa Kikwete na CCM yake wamewadhihirishia Watanzania na Dunia yote kuwa ni wanafiki na walitaka Tume ya Warioba iweke mapendekezo ya CCM kwenye Rasmu na siyo mapendekezo ya Watanzania walio wengi. Hii ni aibu kwa Kiwete, CCM na Serkali yake. Upuuzi huu ndiyo unaoendelezwa hata ndani ya BMK ya kutetea mawazo na maoni ya CCM na siyo mapendekezo ya Watanzania!!!

Tafakuri.
 
Mtoa mada una upungufu mkubwa sana wa ufahamu. Ngoja nikupe somo kidogo. Mada yako imejikita kwenye hoja ya katiba. Well umeelezea jinsi Rais alivyotangaza kuwa anadhamiria kuunda tume itakayokusanya maoni ya wananchi juu ya katiba mpya. Ukaeleza kuwa Jaji Warioba ndiye aliyepewa kazi hiyo. Well umeeleza kuwa Warioba amefanya kazi yake vizuri kiasi cha kupongezwa na Rais Kikwete. Well ukasema kuwa wakati anaenda kulizindua Bunge Maalum ndipo hali ya hewa ilipochafuka hasa baada ya Rais Kikwete kukosoa Rasimu hiyo. Well ukasema kuwa Rais alieleza akiwa London Uingereza kuwa hana matatizo na mfumo wa serikali tatu ikiwa wananchi wataamua. Hizo ndizo hoja zako juu ya Rais Kikwete.

kwanza, unapaswa kuelewa kuwa msukumo wa kuwa na katiba mpya haukutokana na utashi wa serikali. Msukumo huo ulitokana na tamaa za madaraka za viongozi wa vyama vya upinzani. Ukumbuke kuwa CHADEMA hawakubaliki Zanzibar. Kwao Zanzibar haina umuhimu wala faida kwao. CHADEMA hawana hata mbunge mmoja kule. CUF haikubaliki zaidi Tanzania Bara. Kwa sasa ina wabunge watatu tu ambapo wawili ni wa kuchaguliwa tena wote wakitoka mkoa mmoja tu wa Lindi na mmoja ni wa viti maalum. CUF nguvu yao kubwa ipo visiwani Zanzibar tena kwenye kisiwa cha Pemba tu. Unguja hawana kabisa nguvu. Hivyo shinikizo la vyama hivi juu ya katiba mpya hususan huu muundo wa serikali tatu linatokana na tamaa ya madaraka. CHADEMA wanaamini kuwa ikiwa kutakuwa na serikali ya Tanganyika, wao wanaweza kushinda kwa kile wanachoamini kuwa wanakubalika zaidi Tanzania Bara japo uhalisia uliopo ni kwamba hiki ni chama cha Kaskazini. CUF nao wanaamini kuwa ikiwa katiba mpya itapatikana yenye muundo mwingine zaidi ya uliopo, ni kwamba wao wanaweza kupata fursa ya kutawala Zanzibar na shauku yao kubwa ni kuwa na nchi huru ya Pemba. Katika mazingira hayo, ni wazi kuwa vyama hivi vilizunguka mlango wa nyima ili kuirubuni tume ya Warioba ikubaliane na matakwa yao. Hapo Rais Kikwete alikuwa na haki ya kuonesha wasiwasi wake juu ya hiyo tume.

kuhusu kuipongeza tume na baadaye kuikosoa, ni jambo la kawaida kumpongeza mtu unapomtuma kazi na akaimaliza. Sasa unapoiangalia kazi uliyomtuma halafu ukagundua kuwa ina mapungufu mengi na pengine ameenda kinyume na maelekezo yako, je utaendelea kumsifia? Ni wazi kwamba utaikosoa kazi hiyo na kuonesha mapungufu yaliyopo. Ndivyo alivyofanya JK. Aliipokea Rasimu ile na akaipongeza tume kwa kazi waliyofanya. Ila baada ya kuipitia, akagundua mapungufu kadhaa ambayo ni vema kuyaeleza tena kwenye bunge ambalo ndilo lenye maamuzi ya mwisho juu ya Rasimu hiyo. Ningemshangaa sana Rais Kikwete kama angeyaona mapungufu hayo halafu akayanyamazia.

Kuhusu kauli yake kuwa yupo tayari kuunga mkono muundo wa serikali tatu ikiwa wananchi wataamua, well. Namponyeza pia kwa uamuzi huo. Ikiwa wananchi wote au kwa kiwango kikubwa tumekubaliana kuunga mkono muundo huo, ni wazi kuwa hata yeye Rais ataungana nasi kwa vile anajua kuwa ni maamuzi ya wengi. Ila haiingii akilini kati ya watu laki tatu walioohojiwa na Warioba, watu 47,000 waonekane ni wengi kuliko wale 300,000. Hapa ni wazi kuwa Warioba na timu yake wameonesha udhaifu wa hali ya juu sana. Katika hali hiyo, ni wazi kuwa Warioba amejitakia kudharauliwa si na Rais tu bali na kila anayeitakia mema nchi hii.

Kauli ya kinana nayo ni ya kuungwa mkono. Mathalan, Kinana amehoji wapi zimeenda takwimu za mabaraza ya kata na wilaya. Mbona taarifa zake hazikutolewa? Ni wehu tu na watu wenye upeo mdogo wa kufikiri kama mtoa mada ndio watakaomshambulia Kinana
Poti, hongera sana kwa kujibu kwa hoja. Hakika inadhihirisha kuwa sisi Wangoni tupo juu kwa hilo
 
Kwa hoja alizotoa rais pmoja na shivji ni wazi kabisa ndiko tunakopaswa kwenda mengine ni ubabaishaji tu kama ule wa jaji warioba.
Mkuu, JK na Shivji wamemaliza kazi. Wamebaki waroho wa madaraka tu
 
Hapo penye rangi nyekundu, huyo ndiyo nani?
Wana JF,

Nimeonelea nilete mada hii ili kuonyesha namna kiongozi wetu Mkuu wa nchi Rais Jakaya Kiwete alivyo mnafiki,mwongo,kigeugeu na ndumila kuwili.Hoja yangu itazungumzia maeneo muhimu matatu ambayo Rais amewadhihirishia Watanzania na dunia yote kuwa ni mnafiki.

Kwanza wakti Rais Kiwete akiunda Tume ya Mabadiliko ya Katiba aliutangazia umma wa Watanzania kwamba kuna haja ya kuwa na Katiba Mpya itakayoipeleka Tanzania kwa miaka mingine 50-100. Tume iliundwa alimaarufu kama Tume ya Warioba ambayo iliafanya kazi kwa umakini na ustadi mkubwa sana. Tume ikamaliza Rasimu zote 2 na hatimaye kumkabidhi Rais Kiwete na akaisifia sana Tume hiyo.

Lakini shida imeanza kuonekana baada ya Tume kukabidhi Rasimu ya Mabadiliko ya Katiba na kufuatia kuundwa kwa Bunge Maalumu la Katiba-BMK na yeye kwenda Dodoma kulizindua Bunge hilo. Hapa ndipo Rais alianza kuonyesha rangi zake za undumila kuwili. Kile alichokizungumza Rais Kiwete Bungeni hakika hakikutarajiwa na Mtanzania yeyote mwenye kuitakia mema nchiu hii. Hotuba hii ambayo haikuwa hotuba baali kujibu mapigo kwa Tume ya Jaji Warioba na hotuba yake wakti akikabidhi Rasmu ya Tume yake.

Kila mtanzania alipigwa na bumbuazi kwa maneno hayo yaliyokuwa yamejaa kejeli,kebehi na dharau kwa Tume ya Jaji Warioba.Rais Kiwete aliisahmbulia kwa lugha ya kifedhuli na kukosoa mapendekezo yaliyomo kwenye Rasmu hiyo na hasa kipengele cha Muundo wa Serikali TATU na Ukomo wa Ubunge.

Jambo la lushangaza kabisa ni juzi alipokuwa London,Uingereza alipoongea na Watanzania na kuwaambia kuwa hana tatizo na Muundo wa Serikali 3 kama Watanzania wataamua hivo! Hapa ndipo penye unafiki wa Kiwete.Hii ilikuwa ni kauli ya ajabu sana maana ilikuwa inapingana na Hotuba yake ya Bungeni. Bungeni alitetea Serikali 2 kama msimamo wa CCM yake badala ya kutetea MAONI YA WATANZANIA 60% WANAOTAKA SERIKALI 3 KUPITIA TUME YA WARIOBA!!

Lakini pia kebehi,dharau na matusi ya Kikwete kwa Tume yaliendelezwa na Katibu wake Mkuu wa CCM Bwana Abdulrhaman Kinena alipohutubiwa wana CCM katika Viwanja vya Kidongo chekundu akihoji uhalali na umakini wa Tume ya Warioba ya kupendekeza Serikali 3. Kinena alisema kuwa kulikuwa ati na Mabaraza zaidi ya 110(ya CCM) yaliyopendekeza Serikali 2 lakini kwenye Rasimu ya Wariona haikuonyeshwa. Tume ikiulizwa inasema makabrasha yamepotea!!! Hapa Kinena alikuwa anaiponda Tume kwamba haikufanya kazi iliyotumwa baali imefanya kazi yake yenyewe!!!Ni dhahiri Kinena alikuwa nazungumza maneno haya kwa kujiamini kwa vile ndicho kilichomo ndani ya nafsi ya Kikwete!

Juzi Jaji Warioba ametupiwa virago kama kocha wa mpira aliyeshindwa kuifundisha Timu ya mpira. Ikulu ya Kiwete imedai kuwa Tume ilishamaliza kazi kwa hiyo kila mali waliyokuwa wakiitumia TUME yakiwemo magari virudishwe mara moja Ikulu.Je, kulikuwa na uharaka gani wa amri hizi za kibabe na kijeshi? Hivi kosa la Warioba na Tume yake ni kuingiza maoni ya Watanzania walio wengi kuwa wanataka Muungano wa Serikali 3?

Ni dhahiri kabiosa kuwa Kikwete na CCM yake wamewadhihirishia Watanzania na Dunia yote kuwa ni wanafiki na walitaka Tume ya Warioba iweke mapendekezo ya CCM kwenye Rasmu na siyo mapendekezo ya Watanzania walio wengi. Hii ni aibu kwa Kiwete, CCM na Serkali yake. Upuuzi huu ndiyo unaoendelezwa hata ndani ya BMK ya kutetea mawazo na maoni ya CCM na siyo mapendekezo ya Watanzania!!!

Tafakuri.
 
......wananchi wote au kwa kiwango kikubwa tumekubaliana kuunga mkono muundo huo, ni wazi kuwa hata yeye Rais ataungana nasi kwa vile anajua kuwa ni maamuzi ya wengi. Ila haiingii akilini kati ya watu laki tatu walioohojiwa na Warioba, watu 47,000 waonekane ni wengi kuliko wale 300,000. Hapa ni wazi kuwa Warioba na timu yake wameonesha udhaifu wa hali ya juu sana. Katika hali hiyo, ni wazi kuwa Warioba amejitakia kudharauliwa si na Rais tu bali na kila anayeitakia mema nchi hii.

Kauli ya kinana nayo ni ya kuungwa mkono. Mathalan, Kinana amehoji wapi zimeenda takwimu za mabaraza ya kata na wilaya. Mbona taarifa zake hazikutolewa? Ni wehu tu na watu wenye upeo mdogo wa kufikiri kama mtoa mada ndio watakaomshambulia Kinana

Usikariri ndugu yangu, kama watu elfu 47 ni wachache kuzungumzia hoja fulani, kwa nini Nyerere na wajumbe wachache waamue kuungana na Zanzibari ionekane halali lakini hao ionekane siyo? kwa nini watu laki 3 ionekane ni wengi wakati kuna watu zaidi ya milioni 44 waliokaa kimya? kwa nini tutambue kuchaguliwa Kikwete (milioni karibia 6 mwaka 2010) wakati wapiga kura walikuwa karibia milioni 20? Tume katika taarifa yake imeeleza kwa kina kuhusu hizo takwimu, kwamba waliotoa maoni kwa jumla walikuwa zaidi ya laki 3, waliotoa amoni kuhusu Muungano na muundo wake ndo hao ulioandika hapo juu sasa kulinganisha mtu aliyekaa kimya na yule aliyeongea kwamba aliyekaa kimya aliunga mkono hali ya awali maana yake ni kumtusi aliyeanzisha mchakato mzima kwa mba wananchi kwa sasa hawataki Katiba mpya ndiyo maana wengi walikaa kimya. Na kwa maana hiyo, kuendelea na utengenezaji ni ufisadi wa kupindukia kwa kuwa unatengeneza kitu ambacho watu hawakitaki. Na kama ni sahihi maana yake mambo yote yaliyofanyika huko nyuma ya maamuzi kama hakukuwa na ushahidi wa wananchi kutaka ni haramu kama hili la Muungano na EAC. Kidumu Chama Cha Mapinduziii.
 
Wana JF,

Nimeonelea nilete mada hii ili kuonyesha namna kiongozi wetu Mkuu wa nchi Rais Jakaya Kiwete alivyo mnafiki,mwongo,kigeugeu na ndumila kuwili.Hoja yangu itazungumzia maeneo muhimu matatu ambayo Rais amewadhihirishia Watanzania na dunia yote kuwa ni mnafiki.

Kwanza wakti Rais Kiwete akiunda Tume ya Mabadiliko ya Katiba aliutangazia umma wa Watanzania kwamba kuna haja ya kuwa na Katiba Mpya itakayoipeleka Tanzania kwa miaka mingine 50-100. Tume iliundwa alimaarufu kama Tume ya Warioba ambayo iliafanya kazi kwa umakini na ustadi mkubwa sana. Tume ikamaliza Rasimu zote 2 na hatimaye kumkabidhi Rais Kiwete na akaisifia sana Tume hiyo.

Lakini shida imeanza kuonekana baada ya Tume kukabidhi Rasimu ya Mabadiliko ya Katiba na kufuatia kuundwa kwa Bunge Maalumu la Katiba-BMK na yeye kwenda Dodoma kulizindua Bunge hilo. Hapa ndipo Rais alianza kuonyesha rangi zake za undumila kuwili. Kile alichokizungumza Rais Kiwete Bungeni hakika hakikutarajiwa na Mtanzania yeyote mwenye kuitakia mema nchiu hii. Hotuba hii ambayo haikuwa hotuba baali kujibu mapigo kwa Tume ya Jaji Warioba na hotuba yake wakti akikabidhi Rasmu ya Tume yake.

Kila mtanzania alipigwa na bumbuazi kwa maneno hayo yaliyokuwa yamejaa kejeli,kebehi na dharau kwa Tume ya Jaji Warioba.Rais Kiwete aliisahmbulia kwa lugha ya kifedhuli na kukosoa mapendekezo yaliyomo kwenye Rasmu hiyo na hasa kipengele cha Muundo wa Serikali TATU na Ukomo wa Ubunge.

Jambo la lushangaza kabisa ni juzi alipokuwa London,Uingereza alipoongea na Watanzania na kuwaambia kuwa hana tatizo na Muundo wa Serikali 3 kama Watanzania wataamua hivo! Hapa ndipo penye unafiki wa Kiwete.Hii ilikuwa ni kauli ya ajabu sana maana ilikuwa inapingana na Hotuba yake ya Bungeni. Bungeni alitetea Serikali 2 kama msimamo wa CCM yake badala ya kutetea MAONI YA WATANZANIA 60% WANAOTAKA SERIKALI 3 KUPITIA TUME YA WARIOBA!!

Lakini pia kebehi,dharau na matusi ya Kikwete kwa Tume yaliendelezwa na Katibu wake Mkuu wa CCM Bwana Abdulrhaman Kinena alipohutubiwa wana CCM katika Viwanja vya Kidongo chekundu akihoji uhalali na umakini wa Tume ya Warioba ya kupendekeza Serikali 3. Kinena alisema kuwa kulikuwa ati na Mabaraza zaidi ya 110(ya CCM) yaliyopendekeza Serikali 2 lakini kwenye Rasimu ya Wariona haikuonyeshwa. Tume ikiulizwa inasema makabrasha yamepotea!!! Hapa Kinena alikuwa anaiponda Tume kwamba haikufanya kazi iliyotumwa baali imefanya kazi yake yenyewe!!!Ni dhahiri Kinena alikuwa nazungumza maneno haya kwa kujiamini kwa vile ndicho kilichomo ndani ya nafsi ya Kikwete!

Juzi Jaji Warioba ametupiwa virago kama kocha wa mpira aliyeshindwa kuifundisha Timu ya mpira. Ikulu ya Kiwete imedai kuwa Tume ilishamaliza kazi kwa hiyo kila mali waliyokuwa wakiitumia TUME yakiwemo magari virudishwe mara moja Ikulu.Je, kulikuwa na uharaka gani wa amri hizi za kibabe na kijeshi? Hivi kosa la Warioba na Tume yake ni kuingiza maoni ya Watanzania walio wengi kuwa wanataka Muungano wa Serikali 3?

Ni dhahiri kabiosa kuwa Kikwete na CCM yake wamewadhihirishia Watanzania na Dunia yote kuwa ni wanafiki na walitaka Tume ya Warioba iweke mapendekezo ya CCM kwenye Rasmu na siyo mapendekezo ya Watanzania walio wengi. Hii ni aibu kwa Kiwete, CCM na Serkali yake. Upuuzi huu ndiyo unaoendelezwa hata ndani ya BMK ya kutetea mawazo na maoni ya CCM na siyo mapendekezo ya Watanzania!!!

Tafakuri.

kwani ni kwa hayo tu, rejea wimbo wa kigeugeu, hata rais wangu nae kigeegeu
 
Hivi una akili timamu kweli Mkuu? Au ndo viroba na gongo!

Mkuu ninazo tena za kunitosha,najiamini nina mawazo huru si ya kukaririshwa lumumba,najua ninachokitaka ambacho ni tanganyika. Natetea tanganyika tupate katiba kama zanzibar ambayo inawatambua wao kama taifa nasi tupate ya kwetu itambue taifa la tanganyika. Kinana mwenyewe kakubali kuwa makosa ni kuikubali katiba ya zanzibar iliyovunja katiba ya jamhuri ya muungano, na tume ya warioba haikuwa ya wapambe majuha wanaoimba wimbo wa ccm bali wazalendo wa kweli. Yes!! Nina akili timamu si juha ninayelipwa buku7 kwa siku lumumba na kupewa simu na Makamba kuja kupigia debe itikadi za chama
 
Mtoa mada una upungufu mkubwa sana wa ufahamu. Ngoja nikupe somo kidogo. Mada yako imejikita kwenye hoja ya katiba. Well umeelezea jinsi Rais alivyotangaza kuwa anadhamiria kuunda tume itakayokusanya maoni ya wananchi juu ya katiba mpya. Ukaeleza kuwa Jaji Warioba ndiye aliyepewa kazi hiyo. Well umeeleza kuwa Warioba amefanya kazi yake vizuri kiasi cha kupongezwa na Rais Kikwete. Well ukasema kuwa wakati anaenda kulizindua Bunge Maalum ndipo hali ya hewa ilipochafuka hasa baada ya Rais Kikwete kukosoa Rasimu hiyo. Well ukasema kuwa Rais alieleza akiwa London Uingereza kuwa hana matatizo na mfumo wa serikali tatu ikiwa wananchi wataamua. Hizo ndizo hoja zako juu ya Rais Kikwete.

kwanza, unapaswa kuelewa kuwa msukumo wa kuwa na katiba mpya haukutokana na utashi wa serikali. Msukumo huo ulitokana na tamaa za madaraka za viongozi wa vyama vya upinzani. Ukumbuke kuwa CHADEMA hawakubaliki Zanzibar. Kwao Zanzibar haina umuhimu wala faida kwao. CHADEMA hawana hata mbunge mmoja kule. CUF haikubaliki zaidi Tanzania Bara. Kwa sasa ina wabunge watatu tu ambapo wawili ni wa kuchaguliwa tena wote wakitoka mkoa mmoja tu wa Lindi na mmoja ni wa viti maalum. CUF nguvu yao kubwa ipo visiwani Zanzibar tena kwenye kisiwa cha Pemba tu. Unguja hawana kabisa nguvu. Hivyo shinikizo la vyama hivi juu ya katiba mpya hususan huu muundo wa serikali tatu linatokana na tamaa ya madaraka. CHADEMA wanaamini kuwa ikiwa kutakuwa na serikali ya Tanganyika, wao wanaweza kushinda kwa kile wanachoamini kuwa wanakubalika zaidi Tanzania Bara japo uhalisia uliopo ni kwamba hiki ni chama cha Kaskazini. CUF nao wanaamini kuwa ikiwa katiba mpya itapatikana yenye muundo mwingine zaidi ya uliopo, ni kwamba wao wanaweza kupata fursa ya kutawala Zanzibar na shauku yao kubwa ni kuwa na nchi huru ya Pemba. Katika mazingira hayo, ni wazi kuwa vyama hivi vilizunguka mlango wa nyima ili kuirubuni tume ya Warioba ikubaliane na matakwa yao. Hapo Rais Kikwete alikuwa na haki ya kuonesha wasiwasi wake juu ya hiyo tume.

kuhusu kuipongeza tume na baadaye kuikosoa, ni jambo la kawaida kumpongeza mtu unapomtuma kazi na akaimaliza. Sasa unapoiangalia kazi uliyomtuma halafu ukagundua kuwa ina mapungufu mengi na pengine ameenda kinyume na maelekezo yako, je utaendelea kumsifia? Ni wazi kwamba utaikosoa kazi hiyo na kuonesha mapungufu yaliyopo. Ndivyo alivyofanya JK. Aliipokea Rasimu ile na akaipongeza tume kwa kazi waliyofanya. Ila baada ya kuipitia, akagundua mapungufu kadhaa ambayo ni vema kuyaeleza tena kwenye bunge ambalo ndilo lenye maamuzi ya mwisho juu ya Rasimu hiyo. Ningemshangaa sana Rais Kikwete kama angeyaona mapungufu hayo halafu akayanyamazia.

Kuhusu kauli yake kuwa yupo tayari kuunga mkono muundo wa serikali tatu ikiwa wananchi wataamua, well. Namponyeza pia kwa uamuzi huo. Ikiwa wananchi wote au kwa kiwango kikubwa tumekubaliana kuunga mkono muundo huo, ni wazi kuwa hata yeye Rais ataungana nasi kwa vile anajua kuwa ni maamuzi ya wengi. Ila haiingii akilini kati ya watu laki tatu walioohojiwa na Warioba, watu 47,000 waonekane ni wengi kuliko wale 300,000. Hapa ni wazi kuwa Warioba na timu yake wameonesha udhaifu wa hali ya juu sana. Katika hali hiyo, ni wazi kuwa Warioba amejitakia kudharauliwa si na Rais tu bali na kila anayeitakia mema nchi hii.

Kauli ya kinana nayo ni ya kuungwa mkono. Mathalan, Kinana amehoji wapi zimeenda takwimu za mabaraza ya kata na wilaya. Mbona taarifa zake hazikutolewa? Ni wehu tu na watu wenye upeo mdogo wa kufikiri kama mtoa mada ndio watakaomshambulia Kinana

we lizaboni ni mvivu wa kufikilia nyie ndo mnaoloishwa maneno na kutulia bila kufuatilia ulicho ambiwa na kesho atakae kuambia akikosa msimamo utabadilika....mkuu hilo ni suala la statistics lisikupe shida wacha tukusaidie ..usichukue hiyo 300 ukaifanya kama sample data utakua unakosea we chukua number ya watu walio zungumzia muungano ndo u compute wangapi wametaka serikali ngapi. sawa?? Then kama wewe ulifuatilia mchakato wa utoaji maoni haikutakiwa kurudia rudia hoja kama suala limekwisha tamkwa ilikupasa mchangiaji kujikita kwa mambo mengine pia kwani rasimu ina vipengere vingi sio muungano tu. ahsante
 
Back
Top Bottom