Rais Kikwete amethibitisha kuwa ni kigeugeu na ndumilakuwili

Ndumila kuwili ni kama hawa kila siku kuvuruga bunge ili akae sana dodoma muone hapa.
Tehetehetehe, yaani CHADEMA kwa uzinzi na ulevi bana! Hakika wanatia aibu. Usije kukuta huyo aliyekaa na Lissu ni mke wa mtu
 
Nadhani atakuwa anataka kusema uzalendo kwanza itikadi za chama baadae kama vile Warrioba na tume yake walivyofanya. Ila mimi nahisi tu atakuja kujisemea mwenyewe mwaya
Hivi una akili timamu kweli Mkuu? Au ndo viroba na gongo!
 
Kwa hoja alizotoa rais pmoja na shivji ni wazi kabisa ndiko tunakopaswa kwenda mengine ni ubabaishaji tu kama ule wa jaji warioba.
 
Hapo penye rangi nyekundu, huyo ndiyo nani?
 
Poti, hongera sana kwa kujibu kwa hoja. Hakika inadhihirisha kuwa sisi Wangoni tupo juu kwa hilo
 
Kwa hoja alizotoa rais pmoja na shivji ni wazi kabisa ndiko tunakopaswa kwenda mengine ni ubabaishaji tu kama ule wa jaji warioba.
Mkuu, JK na Shivji wamemaliza kazi. Wamebaki waroho wa madaraka tu
 
Hapo penye rangi nyekundu, huyo ndiyo nani?
 

Usikariri ndugu yangu, kama watu elfu 47 ni wachache kuzungumzia hoja fulani, kwa nini Nyerere na wajumbe wachache waamue kuungana na Zanzibari ionekane halali lakini hao ionekane siyo? kwa nini watu laki 3 ionekane ni wengi wakati kuna watu zaidi ya milioni 44 waliokaa kimya? kwa nini tutambue kuchaguliwa Kikwete (milioni karibia 6 mwaka 2010) wakati wapiga kura walikuwa karibia milioni 20? Tume katika taarifa yake imeeleza kwa kina kuhusu hizo takwimu, kwamba waliotoa maoni kwa jumla walikuwa zaidi ya laki 3, waliotoa amoni kuhusu Muungano na muundo wake ndo hao ulioandika hapo juu sasa kulinganisha mtu aliyekaa kimya na yule aliyeongea kwamba aliyekaa kimya aliunga mkono hali ya awali maana yake ni kumtusi aliyeanzisha mchakato mzima kwa mba wananchi kwa sasa hawataki Katiba mpya ndiyo maana wengi walikaa kimya. Na kwa maana hiyo, kuendelea na utengenezaji ni ufisadi wa kupindukia kwa kuwa unatengeneza kitu ambacho watu hawakitaki. Na kama ni sahihi maana yake mambo yote yaliyofanyika huko nyuma ya maamuzi kama hakukuwa na ushahidi wa wananchi kutaka ni haramu kama hili la Muungano na EAC. Kidumu Chama Cha Mapinduziii.
 
Hivi una akili timamu kweli Mkuu? Au ndo viroba na gongo!
Sure mkuu vijana wengi wameathiliwa sana na gongo ndiyo maana wanazungumza masuala ya kitoto kabisa.
 

kwani ni kwa hayo tu, rejea wimbo wa kigeugeu, hata rais wangu nae kigeegeu
 
Hivi una akili timamu kweli Mkuu? Au ndo viroba na gongo!

Mkuu ninazo tena za kunitosha,najiamini nina mawazo huru si ya kukaririshwa lumumba,najua ninachokitaka ambacho ni tanganyika. Natetea tanganyika tupate katiba kama zanzibar ambayo inawatambua wao kama taifa nasi tupate ya kwetu itambue taifa la tanganyika. Kinana mwenyewe kakubali kuwa makosa ni kuikubali katiba ya zanzibar iliyovunja katiba ya jamhuri ya muungano, na tume ya warioba haikuwa ya wapambe majuha wanaoimba wimbo wa ccm bali wazalendo wa kweli. Yes!! Nina akili timamu si juha ninayelipwa buku7 kwa siku lumumba na kupewa simu na Makamba kuja kupigia debe itikadi za chama
 

we lizaboni ni mvivu wa kufikilia nyie ndo mnaoloishwa maneno na kutulia bila kufuatilia ulicho ambiwa na kesho atakae kuambia akikosa msimamo utabadilika....mkuu hilo ni suala la statistics lisikupe shida wacha tukusaidie ..usichukue hiyo 300 ukaifanya kama sample data utakua unakosea we chukua number ya watu walio zungumzia muungano ndo u compute wangapi wametaka serikali ngapi. sawa?? Then kama wewe ulifuatilia mchakato wa utoaji maoni haikutakiwa kurudia rudia hoja kama suala limekwisha tamkwa ilikupasa mchangiaji kujikita kwa mambo mengine pia kwani rasimu ina vipengere vingi sio muungano tu. ahsante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…