Rais Kikwete amteua Prof. Mussa Assad kuwa CAG mpya akimrithi Ludovic Utoh

maprof ndo wa kwanza kuharibu serikali

Profeza mwingine aliyeharibu kazi ni yule Judge wa mahakama .....nimesahau jina lake aliyepata mgawo wa ishikoro juzi juzi.

Uprofeza ni madarasani tu.
 
Hivi huyu aliyeandika ili tangazo ana-capacity kweli ya kutosha?! angalia level ya degree za mteuliwa - Uzamivu (PHD) badala ya Uzamivu (PhD), halafu Uzamivu (Master's) badala ya Uzamili (Master's). nafikiri hii inaonesha namna gani humo Ikulu watu wasivyokuwa makini.
 

Hongera Prof Mussa Assad, heko Rais kwa kuteua jembe, professional accountant.
 

Huyu mwalimu wangu wa accounting 101 yuko sawa ila apunguze slang utafikiri muhuni wa brooklyn au bronx.
 
Yule kaimu ESCROW imemponza. Yeye kaibua mambo mazito alifikiri atapandishwa cheo! Thubutu...!
 

Hata mimi ndo ninavyoona. Wakati anatoa tamko la escrow Kikwete atasema "sasa tumempata nguli wa mahesabu. kwahiyo tunategemea atupatia jibu kama pesa za escrow ni za umma au la". Na amemchukua mwenye CV kubwa ili watu wasihoji majibu atakayotoa. mtakumbuka aliyeteuliwa kupitia mitihani ya kidato cha nne na baadae kulazimisha standardization. Hawa wataalamu anajua kuwapa post na baadae wanakuja kudhaulika kwa kufanya tofauti na maadili ya taaluma zao. ngoja tuone. Yangu macho.
 
Utoh aliweza sana... Hope Prof Assad hatatuangusha ... I wish him nothing but success kwa maslahi mapana ya Watanzania...
 

nafikiri watu wengi wanachukulia ucha mungu kama udini kitu ambacho ni uongo. Hakuna hata mmoja hapa amaeleza udini alio nao. Watu ni kusema udini bila kuwa specific. Kwani pale mlimani alifelisha wakristo na kupasisha waislamu? tuaanzie hapo kwani ndo kazi amekuwa akifanya.
 
Wataalam wa hii kitu mnijuze,Hivi nini mantiki ya hizi teuzi kusema uteuzi wake umeanza toka Nov 5 wakati taarifa imetoka leo na hajaapa bado!?. Je, na mshahara wake unaanzia hiyo Nov 5!?
 
Angemuacha tu yule jembe utoh amsaidie kuimaliz hii ngwe yake katika majembe huyu ni mmoja wapo tatizo la hii nchi ukiwa mchapa kazi na mkweli huwa watu wanatamani hata ukafie mbali hata ushuda wasitoe ila kwa huyu bora angemeimba amsukumie gurudumu mpaka mwisho
 
Utoh aliweza sana... Hope Prof Assad hatatuangusha ... I wish him nothing but success kwa maslahi mapana ya Watanzania...
Wewe unasumbuliwa na chuki na roho ya husda tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…