Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa ma profesa siwaamini
Anayo kazi moja tu ya kupambana na mafisadi
Assad can be different the way i know him- Tahadhari kama walivyosema wengi ni kukubali kuyumbishwa na wanasheria
Kudos - Assad!
Tatizo pia ni sisi.Kwa mfano huu mtazamo kuwa kuteuliwa kwake maana yake "Kaula" ni lini utatutoka?
JK siku zote yuko makini anapofanya uteuzi isipokuwa wateuliwa baadae hufanya ya kwao na kusahau maagizo ya kiongozi.
VIVA ASSAD!