Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi wa Makatibu Wakuu wa Wizara kwa kuteua Makatibu Wakuu wanne wapya na kuhamisha mmoja.Mimi si mdini lakini........mhuuuu...!!!?
Sio kwamba ukishachagua cag umechagua mpaka asitaafu au afe?Kwani Rais atakaechaguliwa analazimika kuendelea kuwatumia atakao wakuta si anaweza kuteua anaoona wanamfaa kwa manufaa ya nchi sio uongozi alioupokea!
Kwani Rais atakaechaguliwa analazimika kuendelea kuwatumia atakao wakuta si anaweza kuteua anaoona wanamfaa kwa manufaa ya nchi sio uongozi alioupokea!
Rais kikwete leo amemteua prof,Mussa J Assada kuwa mthibiti na mkaguzi mkuu wa Hesabu za serikali(CAG),ATAAPISHWA KESHO.Yamkini ndio jitahada zake za kujibu mapendekezo ya bunge lilimalizika mwishoni mwa wiki lilipita
Chanzo;ikulu
kweli kabisa mkuu, ma professor wengi ni janga katika kazi za serikali, labda wanafanya vema katika taasisi binafsi.
Mfano :Nani alitegemea kwa CV aliyokuwa Mh. Prof. muhongo , PROFESSOR anna Tibaijuka, PROFESSOR Maghembe, PROFESSOR @Msola , nani alitegemea kuwa watakuja kufanya madudu namna hii.
Kuna mtu alikuwa na CV safi na yenye kuvutia kama Mh. Nundu? peruzi CV yake utaona, ila mwisho wa siku ni aibu tupu.
kwann asinge mwacha huyo aliyekuwa anakaim ili ampromoti au ameweka kama kumkomoa rwakapalila? mbona kasubiri hadi maamuzi ya bunge yafanyike?
Kutengua uteuzi wa watu kama hao siyo rahisi ..................... hiyo ni kampuni ya serikali!! They are on contracts!!
Hata Professor Mark Mwandoswa naye ni mzigo tu ndio maana kapewa wizara isiyokua maalum!
Sio kwamba ukishachagua cag umechagua mpaka asitaafu au afe?
Una maana wana mamlaka ya kuteua tu sio kutengua uteuzi wanaoufanya?