Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakumbuka Assad alikuwa mwenyekiti wa board ya NBC limited. Je alifanikiwa kivipi au mafanikio yake ni yapi!? Any news kabla hatujasema lolote.
prof Jay wa mitulinga.
Utou alishastaafu mama yangu.tatizo alimwachia fransis ambae inasemekana aliwahi kufeli mtihani wa nursery.Utoh kagonga nyoka kichwani, lazima aondolewe. Ngoja tusubiri na Hosea kama atabaki!?!
Hivi kweli tumekosa majina kwenye huu mtaa wa Obama?
PRESIDENTS OFFICE,
STATE HOUSE,
1 BARACK OBAMA ROAD,
11400 DAR ES SALAAM.
Tanzania
Hongera prof Asad hapa JK amechagua jembe.
Ndo vizuri,tumechoka na wezi,bora wawekwe watu waadilifu kuliko kuweka wezi wa kuchota mali za umma kwenye visalifeti.Upumbavu mtupu, ikulu kajaza waslamu, mabalozi waslamu, uteuzi wa wakuu wa mikoa hivi majuzi waslamu.. kila mahali anayajaza mislamu, anakera sana yani
profesa Sarungi
Inasikitisha Sana NduguNi ajabu sana kurugenzi ya habari Ikulu haijui tofauti kati ya shahada ya Uzamivu(Ph.D) na Shahada ya Uzamili(MA au Msc)