Rais Kikwete amteua Prof. Mussa Assad kuwa CAG mpya akimrithi Ludovic Utoh

Rais Kikwete amteua Prof. Mussa Assad kuwa CAG mpya akimrithi Ludovic Utoh

Asad kaua NBC, asad kaiharibu nssf. Ni mdini sana ndiyo tatizo lake. Kazi anaweza ila udini ndiyo tatizo lake kuu. Yaani yeye ni mjahidina sana. Naamini kwa hii nafasi atajaza waislam mpaka wee. Ningekuwa jk nisingemteua huyu mdini.

Pole sana mdada,najua the way wivu unavyouma, ushauri wangu ni kuwa ridhika tu na uteuzi
 
ooohhh shit yaan kumbe n cag m nilidhan ni mwanasheria mkuu HV huh ndo uzalendo gan wanaoutaka mpaka wanawapeleka wadogo zetu jeshin ili wakawe kasuku heeee,jamaa kapiga kaz kubwa halafu anatolewa jaman h nchi
 
Ule umarekani sijui ataenda nao huko serikalini...hongera thou Assad
 
Yaani tungelimuona wa maana kama angemteua AG mpya na siyo CAG.

Hapa kuna uozo unafichwa, amshaona jamaa kawaharibia dili kwa kutoa Report ya ESCROW sasa wanamtimua kibarua ili amuweke atakayeficha uozo wake na MAFISADI.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Hongera zake. Asiendekeze ubabe na jeuri ya kitaaluma na pia asiruhusu vihiyo walio serikalini kumuingiza cha kike.
 
tulitegemea AG mpya ye anatuletea CAG mpya... hii nchi kweli ni zaidi ya tuijuavyo!!! wazuri hawadumu...

Hata AG muda wake wa kutumikia umma kwa mujibu wa sheria ushatimia! Kwahiyo tutapata AG mwingine soon!



Sent from my WhiteBerry using JamiiForums
 
Rais kikwete leo amemteua prof,Mussa J Assada kuwa mthibiti na mkaguzi mkuu wa Hesabu za serikali(CAG),ATAAPISHWA KESHO.Yamkini ndio jitahada zake za kujibu mapendekezo ya bunge lilimalizika mwishoni mwa wiki lilipita

Chanzo;ikulu

prof,Mussa J Assada is dah man!!!! uteuzi mzuri sijui kama wataweza mcorrupt huyu.....
 
Tatizo la mheshimiwa huyu huwa akisikia neno Proffesor anachachawa sana na kuamini hawezi kufanya madudu ila hapa hamna kitu ni sanaa tupu na uteuzi huu unanipa mashaka sana icje ikawa mzee wa watu wamemstaafisha kwa nguvu ajili ya kufichua maovu yao ya kipuuz!
Awamu ya rais wetu huyu imeonekana sana kubadilisha uongozi mara kwa mara hasa wanapoonekana kwenda kinyume na matakwa ya mwenye nyumba lakin watanzania nadhania mmeona utendaji wa mzee huyu LUDOVICK tangu alipoingia madarakani mpaka leo anapostaafishwa,wewe unayekuja na wewe ukiwa mgeni wa ci jing ping umeisha .
Ludovick anaondoka huku sakata la ESCROW AC Halijaeleweka yan kiukweli watanzania TUMELOGWA NA ALIYELOGA SISIS KASHAKUFA


Hajastaafishwa amestaafu kwa mujibu wa sheria na alishongezewa miaka miwili imeisha.
 
Time will tell. Tulipenda watu hawa katika nafasi hizi Wawe wanakuwa confirmed na bunge kwa mujibu wa rasimu ya warioba. Leo ccm wamekiondoa kipengele hicho. Leo kwa sababu yoyote ile kila anayeteuliwa na raisi inaonekana amependelewa hata kama anasifa. Ilitakiwa wahojiwe na bunge kwa ukweli na uwazi ili kujenga confidence ya wananchi na kipunguza incidences za misuse of power. Leo wanahoji kigezo kilichotumika kumteua yeye. Pia walihoji kilichotumika kum tea kamishna mkuu wa TRA. Watahoji raisi atakapomteua top wa bandari na wengine. Anatumia vigezo gani?!
 
Anatakiwa kuwatoa MAFISADI WENZIO WALIOKULA ESCROW, Huyu CAG hana kosa katika hili. Au ndio hasira za kuwekwa hadharani report ya UFISADI WAO ndio wamemkasirikia????????


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Uttoh amewasaliti wamempiga chini.

By the way Prof Asaad ni 'm'baya' katika uhasibu.
Wadau waliosotea CPA(T) wanamtambua vizuri sana huyu profesa.

Mkuu Uttoh hakupigwa chini, muda wake wa kustaafu kisheria ulifika.
 
Profesa Assad ni msomi, mwenye weledi, ujuzi na uzoefu mkubwa wa uhasibu na udhibiti wa fedha ambaye ana Shahada ya Uzamivu wa Uhasibu (PHD in Accounting) kutoka Chuo Kikuu cha Southampton, Uingereza mwaka 2001 na Shahada ya Uzamivu katika Udhibiti wa Fedha (MA in Financial Accounting) kutoka Chuo Kikuu cha Dublin City, Jamhuri ya Ireland mwaka 1991.

Profesa Assad pia ana Stashahada ya Kitaaluma ya Uhasibu (Professional Diploma in Accounting) kutoka Chuo Kikuu cha Dublin City mwaka 1990 na Shahada ya Biashara (Bachelor of Commerce) ya Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam mwaka 1988.

Pamoja na uzoefu wa kitaaluma, Profesa Assad anao uzoefu mkubwa katika eneo la uhasibu na ukaguzi. Alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi (NBAA) kwa miaka saba (2007 - 2014); ni Rais na Mjumbe wa Chama cha Wahasibu Afrika (Pan African Federation of Accountants) tangu mwaka 2012; na ni mjumbe wa Bodi kadhaa za Wakurugenzi nchini Tanzania.

Naona ikulu wameendelea kutudhalilisha. Hivi PhD na Masters degree Kiswahili chake zote ni "Shahada za Uzamivu"? Sidhani hata kidogo. Lakini pia ni lini watakuwa na domain yao kuliko kuendelea kutumia hizi za public ofisi nyeti kama ile mpk lini?
 
Hii nchi inatakiwa Dar es Salaam nzima tuandamane... Kuonesha ni kiasi gani wananchi tuna hasira na wizi wao. Tunakua kama wajinga kila siku tunaskia wizi lakni hatujui hatma na muafaka wa hayo matukio. Tusiishie tu kuongea

Huku Dar labda uandamane wewe na kikundi chako, hii ni busy city watu hawaandamani kwa mambo ya kijinga. Labda litokee jmbo la msingi
 
HAYA NDIO MAMBO TUNAYO PINGA YAANI KILA KITU NI MPAKA ATEUE BABA RIZ... me nadhani tukubaliane na RASIMU ya WARIOBA KUWA RAIS APUNGUZIWE MADARAKA ikiwemo na ya uteuzi wa vviongozi watendaji.
na hili lingefanyika na kukubaliwa leo hii tusingekuwa na sintofahamu ya ni nini JAKAYA ataamua kuhusiana na HUKUMU YA VIBAKA WA TEGETA.
 
Back
Top Bottom