Rais Kikwete amteua Prof. Mussa Assad kuwa CAG mpya akimrithi Ludovic Utoh

Rais Kikwete amteua Prof. Mussa Assad kuwa CAG mpya akimrithi Ludovic Utoh

Huu uteuzi nina mashaka nao...ngoja niingie chimbo nitarudi!!

Asad kaua NBC, asad kaiharibu nssf. Ni mdini sana ndiyo tatizo lake. Kazi anaweza ila udini ndiyo tatizo lake kuu. Yaani yeye ni mjahidina sana. Naamini kwa hii nafasi atajaza waislam mpaka wee. Ningekuwa jk nisingemteua huyu mdini.
 
Hatuna historia ya Profesa kufanikisha mambo Tanzania
 
Nakumbuka Assad alikuwa mwenyekiti wa board ya NBC limited. Je alifanikiwa kivipi au mafanikio yake ni yapi!? Any news kabla hatujasema lolote.

Kaiharibu NBC, yaani hana tofauti na Muhongo.
 
Mkuu hebu tuwekee CV ya Francis tupate ku-compare na tuprove ukisemacho

Kaka CV haifanyi kazi. Kwani ma CEO wa kampuni za Apple, Google, Facebook et al., huwa na CV gani ya kutisha. Kwani yeye ndio anaenda kufanya ukaguzi? Mbona Muohongo kashindwa na masifa yake yote...
 
Asad kaua NBC, asad kaiharibu nssf. Ni mdini sana ndiyo tatizo lake. Kazi anaweza ila udini ndiyo tatizo lake kuu. Yaani yeye ni mjahidina sana. Naamini kwa hii nafasi atajaza waislam mpaka wee. Ningekuwa jk nisingemteua huyu mdini.
Pole mkuu
 
maumivu tu.......tutegeme

ndomana tunalilia katiba ya warioba ijeeeee
 
Historia inaonyesha Maprofessor hawadumu sana katika nafasi za uongozi. They don't make good leaders in Tanzania. Mfano:
- Prof Machunda
- Prof Kapuya
- Prof Meena (Mb)
- Prof Msola
- Prof Muhongo
Endelea
-
-
-

profesa Sarungi
 
Kisa kawaharibia deal zao?Ndio maana wamechagua mwingine?
 
Jaman km n kweli hiyo itakuwa pouwa mbona maana watu wanatetea uovu na uozo huku wanafunz wakikosa mikopo na hospital dawa hakuna
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Profesa Mussa Juma Assad, kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, inasema kuwa uteuzi huo ulianza Novemba 5, 2014.

Assad, anachukua nafasi ya Bwana Ludovick Utouh, ambaye amestaafu kwa mujibu wa Sheria za Utumishi wa Umma.
Tatizo la mheshimiwa huyu huwa akisikia neno Proffesor anachachawa sana na kuamini hawezi kufanya madudu ila hapa hamna kitu ni sanaa tupu na uteuzi huu unanipa mashaka sana icje ikawa mzee wa watu wamemstaafisha kwa nguvu ajili ya kufichua maovu yao ya kipuuz!
Awamu ya rais wetu huyu imeonekana sana kubadilisha uongozi mara kwa mara hasa wanapoonekana kwenda kinyume na matakwa ya mwenye nyumba lakin watanzania nadhania mmeona utendaji wa mzee huyu LUDOVICK tangu alipoingia madarakani mpaka leo anapostaafishwa,wewe unayekuja na wewe ukiwa mgeni wa ci jing ping umeisha .
Ludovick anaondoka huku sakata la ESCROW AC Halijaeleweka yan kiukweli watanzania TUMELOGWA NA ALIYELOGA SISIS KASHAKUFA
 
Huyu jamaa aliekua anakaimu atajisikia vibaya sana
 
Back
Top Bottom