Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja na Makosa hayo, aliye teuliwa ni JEMBE!!!Ni ajabu sana kurugenzi ya habari Ikulu haijui tofauti kati ya shahada ya Uzamivu(Ph.D) na Shahada ya Uzamili(MA au Msc)
Kwa hiyo kaimu CAG (FRANIS) anaendelea kuwa Msaidizi?
Hongera prof Asad hapa JK amechagua jembe.
Hata Muhongo mlipo mchagua mlisema ni jembe kumbe mwizi sasa ngoja tuone huyu sheikh atafanya nini.
Anaenda kuwa mkuu wa wilaya ya mafingaKwa hiyo kaimu CAG (FRANIS) anaendelea kuwa Msaidizi?
Jaman km n kweli hiyo itakuwa pouwa mbona maana watu wanatetea uovu na uozo huku wanafunz wakikosa mikopo na hospital dawa hakuna
ooohhh shit yaan kumbe n cag m nilidhan ni mwanasheria mkuu HV huh ndo uzalendo gan wanaoutaka mpaka wanawapeleka wadogo zetu jeshin ili wakawe kasuku heeee,jamaa kapiga kaz kubwa halafu anatolewa jaman h nchi
Hiyo sio position ya kisiasa na pili Assad ana record nzuri sana
Actually nafasi hizo tunaweka kaptula fupi safari hili kwani wala viti moto wameonekana ni wezi na si waadilifu wanaiba na kuwapelekea maaskofu pesa ya umma bana.Umesema kweli tupu...
Wenyewe wanakuambia ni zamu yetu
Anaenda kuwa mkuu wa wilaya ya mafinga
Historia inaonyesha Maprofessor hawadumu sana katika nafasi za uongozi. They don't make good leaders in Tanzania. Mfano:
- Prof Machunda
- Prof Kapuya
- Prof Meena (Mb)
- Prof Msola
- Prof Muhongo
Endelea
-
-
-
francis aliyekuwa anakaimu kapigwa chino. Je ni kwa sababu ya taarifa ya escrow?