Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshukulu we mwizi mwenzao umeiona coment yangu peleka salam kwao waambie ukumu yao October
Vitambi vitawashuka
= refu
Kwani we mjepo nawe ni waziri?mbona unatetea sana?
Mbona kutoka Jk mpaka pinda Kuna kiti katikati ni cha nani.?
Mkuu,Mbona kutoka Jk mpaka pinda Kuna kiti katikati ni cha nani.?
..picha zinaongea sana...ukiwatizama tu unaona walivyokuwa na frustrations....mana huko kwenye mawizara yao hakuna hela....na mambo hayaendi.....mbaya zaidi wanajua nani wezi wao..maana wamekaa nao hapo na hawana cha kuwafanya....inasikitisha sana...![]()
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri cha kwanza kwa mwaka huu wa 2015 Ikulu jijini Dar es salaam leo January 16, 2015. Kulia kwake ni Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali na kushoto kwake ni Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda
Hicho kiti ambacho hakina mtu hapo ndio cha nani? Au shein
![]()
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri cha kwanza kwa mwaka huu wa 2015 Ikulu jijini Dar es salaam leo January 16, 2015. Kulia kwake ni Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali na kushoto kwake ni Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda
Hii picha sina imani nayo naona kama ni ile ya mwaka jana sidhani kama ni ya leo kweli.
na mimi pia.. Tafuta upande wa kushoto au kulia wa rais halafu nioneshe pinda na bilal.. Anyway labda simu yangu!
sio muda wote kivuli huonekana.Mbona Waziri Kivuli Shein simuoni?
= refu