Rais Kikwete aongoza kikao cha kwanza cha Baraza la Mawaziri mwaka huu

Rais Kikwete aongoza kikao cha kwanza cha Baraza la Mawaziri mwaka huu

Inaonekana Bibi bomba hawajammiss kabisa.

Si vibaya akapunguza na walwe wa mstari wa nyuma ili waliobaki watoshe hapo kwenye meza.
 
attachment.php

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri cha kwanza kwa mwaka huu wa 2015 Ikulu jijini Dar es salaam leo January 16, 2015. Kulia kwake ni Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali na kushoto kwake ni Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda

Kweli ikulu yetu iko shaghala baghala, hata kazi ya kutundika picha inawashinda?
 
Kwa mtindo huu itafika wakati hata agenda za kikao tutakuwa tunapata
 
Vikao vya kunywa chai tu hivi havina maana yoyote
 
Back
Top Bottom