Rais Kikwete aongoza kikao cha kwanza cha Baraza la Mawaziri mwaka huu

Inaonekana Bibi bomba hawajammiss kabisa.

Si vibaya akapunguza na walwe wa mstari wa nyuma ili waliobaki watoshe hapo kwenye meza.
 

Kweli ikulu yetu iko shaghala baghala, hata kazi ya kutundika picha inawashinda?
 
Kwa mtindo huu itafika wakati hata agenda za kikao tutakuwa tunapata
 
Vikao vya kunywa chai tu hivi havina maana yoyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…