SGRRais Kikwete ametangaza nia ya kuanza kwa ujenzi wa Reli ya Kati kwa kiwango cha kimataifa. Rais amesema reli nyembamba inapatikana eneo la Afrika Mashariki tu.
Mh. Rais kayasema hayo mkoani Simuyi wakati akiweka jiwe la msingi kuzindua ujenzi wa barabara itakayounganisha mkoa wa Simiyu na mikoa ya jirani.
CHANZO: ITV
MY TAKE:
Hivi hizi ahadi zinatekelezeka kweli??!!
Watu wameshafukua makaburi..kuna uzi humu wa 2013..Ni kweli kabisa hicho alichokisema.Kila project kubwa atakuambia ana mchango. Alitoa maagizo akiwa anaondoka madarakani ifanyike. Alianza na uhamisho wa Makao Makuu Dodoma. Akasema ana mkono wake. Wakati tunajua mikono yake ilikuwa kwenye projects nyingi za kifisadi.
Hii SGR anakuambia ilianzishwa na Mkapa yeye sijui akafanya nini then akamwambia Magufuli ajenge. Yaani hata hajielewi.
Kwanini asinyamaze aonekane ana busara? Kwani ni lazima naye aongee aongee? Au umri nao ni tatizo? Amwache Samia afanye kazi bila naye kujichomekq chomeka.
Kwa nini asinyamaze? Au yeye hapendi kuonekana ana busara?
Mwamba nicholas umepotea wapi?Kinachoudhi zaidi ni hawa waandishi na wapuuzi wa CCM ,wameona kuwa hii ni habari..bila kujua kuonyesha nia ni tofauti sana na kutangaza au kuzindua projectm
Anaweka rekodi sawa tuKila project kubwa atakuambia ana mchango. Alitoa maagizo akiwa anaondoka madarakani ifanyike. Alianza na uhamisho wa Makao Makuu Dodoma. Akasema ana mkono wake. Wakati tunajua mikono yake ilikuwa kwenye projects nyingi za kifisadi.
Hii SGR anakuambia ilianzishwa na Mkapa yeye sijui akafanya nini then akamwambia Magufuli ajenge. Yaani hata hajielewi.
Kwanini asinyamaze aonekane ana busara? Kwani ni lazima naye aongee aongee? Au umri nao ni tatizo? Amwache Samia afanye kazi bila naye kujichomekq chomeka.
Kwa nini asinyamaze? Au yeye hapendi kuonekana ana busara?
Naam
Kupotea kwa huyu jamaa ni pigo kwa JF
2013 to date ni 10 yearsRais Kikwete ametangaza nia ya kuanza kwa ujenzi wa Reli ya Kati kwa kiwango cha kimataifa. Rais amesema reli nyembamba inapatikana eneo la Afrika Mashariki tu.
Mh. Rais kayasema hayo mkoani Simuyi wakati akiweka jiwe la msingi kuzindua ujenzi wa barabara itakayounganisha mkoa wa Simiyu na mikoa ya jirani.
CHANZO: ITV
MY TAKE:
Hivi hizi ahadi zinatekelezeka kweli??!!
Unavyosema pesa zilikuwa hakuna vipi kuhusu upigwaji wa Escow, meremeta, utorowoshaji wa mali zetu asili kama tembo nk, tulisainishwa mikataba mibovu mfano kufaidika na madini kwa 3% tena ni madina yetu, matumizi mabaya ya fedha za umma yote haya yalikuwa kipindi chake. JK hakuwa mtendaji mzuri, siwezi kukataa kwamba inaweza akawa amechangia kwenye ideas kwenye projects but tunamuhukumu kwa sababu hakuwa mtendaji wala msimamizi mzuri na ndio maana ufisadi ulidominate sana kipindi cha utawala wake na wala hakuwa na action zozote zilizochukuliwa hatua.Pamoja na hayo elewa kuwa hakuna mradi mkubwa unafikiriwa na kuanza ndani ya miaka 5 au 10 mawazo na tathimini vinakuwepo kabatini ila pesa ndio hakuna rais anayekuja anaangalia aanze na kipi aache kipi wakati huo naye anaanzisha mawazo mapya ambayo pengine yatatekelezwa na rais ajaye, Au unataka aseme uongo kama wabunge, wakiletewa barabara kwenye jimbo lake anajidai eti yeye ndiye kasababisha hiyo ije wananchi hawajui hiyo barabara iliombwa pengine miaka 20 iliyopita ila fedha ilikuwa bado haijapatikana.
Mkuu, habari za siku?Rais Kikwete ametangaza nia ya kuanza kwa ujenzi wa Reli ya Kati kwa kiwango cha kimataifa. Rais amesema reli nyembamba inapatikana eneo la Afrika Mashariki tu.
Mh. Rais kayasema hayo mkoani Simuyi wakati akiweka jiwe la msingi kuzindua ujenzi wa barabara itakayounganisha mkoa wa Simiyu na mikoa ya jirani.
CHANZO: ITV
MY TAKE:
Hivi hizi ahadi zinatekelezeka kweli??!!
Alikuwa mzee wa michakato tupu, nchi ilipata hasara sana kuwa na huyu uongoziniMkamaP, Salary Slip
..lakini JK alishatangaza hii "nia" in 2011.
..sasa tangu wakati huo serikali imefanya nini?
..kwanini in 2013 anarudia kutangaza "nia" aliyokwisha tangaza hapo awali??
..kwanini hatendi??
..wakati mwingine nalazimika kukubali kwamba kuna justification ktk hizi dharau na kejeli toka kwa majirani zetu wa Afrika Mashariki. Uongozi wetu umekuwa wa maneno-maneno tu kama hizo "nia" zinazotangazwa na viongozi wetu.
..someni hapa:Tanzania, Rwanda, Burundi team up on $5bn rail proposal
cc Geza Ulole, Nguruvi3
Poa tu mkuu inakuwaje pande za huko? Hapa tu tumbo la uharo limenishika asee naachia vitu vya hatarii balaa mbrrr mbrrrr mbrr maamaee.Mkuu, habari za siku?
umesahau bwawa la nyerere alipoenda kuwashwawashwa pembeni yake. si alete na mada motomoto kama alivyoponea tundu la choo 2010Kila project kubwa atakuambia ana mchango. Alitoa maagizo akiwa anaondoka madarakani ifanyike. Alianza na uhamisho wa Makao Makuu Dodoma. Akasema ana mkono wake. Wakati tunajua mikono yake ilikuwa kwenye projects nyingi za kifisadi.
Hii SGR anakuambia ilianzishwa na Mkapa yeye sijui akafanya nini then akamwambia Magufuli ajenge. Yaani hata hajielewi.
Kwanini asinyamaze aonekane ana busara? Kwani ni lazima naye aongee aongee? Au umri nao ni tatizo? Amwache Samia afanye kazi bila naye kujichomekq chomeka.
Kwa nini asinyamaze? Au yeye hapendi kuonekana ana busara?
Ahadi imetekelezeka, SGR hiyo ....Hivi hizi ahadi zinatekelezeka kweli??!!
Akiongea vitu visivyo vya kweli na Wananchi wanajua kuwa anasema uongo sio vizuri...inamwondolea Busara, na hali ya kuaminiwa kwa yote atakayosemaMkuu, kwani akiongea anakutekenya? Au unakwaruzika? As long as yupo hai muache aongee. Wajibu wako wewe ni kusikiliza anachokiongea kwa umakini utajifunza na kujua mengi.
Ametukumbusha, kuna watu wameanzisha hadi uzi eti mzee akae kimya. Sasa atakaae kimya wakati na yeye alikuwa sehemu ya hii mipango ambayo tunaona matunda yake.Rais Kikwete ametangaza nia ya kuanza kwa ujenzi wa Reli ya Kati kwa kiwango cha kimataifa. Rais amesema reli nyembamba inapatikana eneo la Afrika Mashariki tu.
Mh. Rais kayasema hayo mkoani Simuyi wakati akiweka jiwe la msingi kuzindua ujenzi wa barabara itakayounganisha mkoa wa Simiyu na mikoa ya jirani.
CHANZO: ITV
MY TAKE:
Hivi hizi ahadi zinatekelezeka kweli??!!