Rais Kikwete atangaza nia ya kuanza kwa Ujenzi wa Reli ya Kati kwa kiwango cha Kimataifa (SGR)

Rais Kikwete atangaza nia ya kuanza kwa Ujenzi wa Kimataifa wa Reli ya Kati.​


Soma huo uzi 2013.. acheni kumbeza mzee wetu.
 
Mbona ameongea alichokianzisha, mwenyewe na anaona fahar kimetumia na amekishuhudia kama hajaondoka katika uso wa Dunia, kila mtu anapenda kuona kile anachoweza kinatimia hata sio yeye atakitimiza
Mwenyewe kasema alianzisha Mkapa, yeye kaendeleza mchakato.
Kila kitu kikubwa au kizuri ili kifanikiwe kikamilike lazima kipitie michakato (processes).
 
Ni misifa kwa kwenda mbele, watz wanajua nani shujaa wa taifa hili, hayupo lakin kazi zake twaziona vema, miradi ya shujaa haihitaji filters ili iinekane ku shine
 
Anajaribu kusawazisha Ili tuache kuaminishana ujinga!

Miradi yote migumu sana alipewa chuma kutokana na haiba yake ya uchuma na kutoyumbishwa!

Yes aliahidi maisha Bora kwa kila Mtz asingeanzisha hiyo miradi coz ingembana kutekeleza ilani yake ya maisha Bora Kwa Kila mtz!!

Tujaribu kufikiri katika nyuso tofauti sana kauli za viongozi!!
 
JK kasema baada ya kukamilisha ujenzi wa barabara sasa mkazo ni ujenzi wa reli ya kisasa(SGR).
 
Technology bana watoto walikuwa bado hawajazaliwa wakatiki anaongea thus akaja kukurupuka na uzi huu, kuwa makini unapoandika
Mzee kikwete alifanya mambo mengi saana na yy ndo alimwambia Magu agombee na jk ndo founder wa makonda watchout bro
 
Aiseeee
 
Kwahiyo leo mimi nikitangaza nitajenga daraja la kutoka Magogo mpaka Zanzibar nakuwa namaanisha au ni usanii?
 
Uliona mbali sn
 
Hata mm imeniuma sana baada ya kuuina uzi huu wenye ushahidi wa aliyoyasema juzi. Watu wametokwa na povu kama lote, lkn kumbe alichokisema ndiyo ukweli wenyewe.

Kikwete huwa ni mkweli sana huyu mzee, Mungu ampe maisha marefu
 
Wewe ni mwongo. Kwa kauli yako unajuwa kuwa Elon Musk alinunua kampuni kwa watu wengine, halafu unasema hakuna mtu anakumbuka majina yao wakati wewe mwenyewe inajuwa. Contradiction
 
Hata mm imeniuma sana baada ya kuuina uzi huu wenye ushahidi wa aliyoyasema juzi. Watu wametokwa na povu kama lote, lkn kumbe alichokisema ndiyo ukweli wenyewe.

Kikwete huwa ni mkweli sana huyu mzee, Mungu ampe maisha marefu
Hata mimi kwa kweli imeniuma sana.
Sema ndo hivyo watu wakishakuchukia, hata ukisema ukweli lazima watautilia shaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…